swala

  1. T

    Je, mbinguni kutakua na wanyama kama Simba, Chui, Swala au Mamba, na je wataishi pamoja bila kulana?

    Je, mbinguni ambapo tunaahidiwa kutakua na perfect life, hakuna kifo, hakuna kulia, hakuna njaa, ni furaha mwanzo mwisho, ni kuimba na kuabudu mwanzo mwisho wanyamapori kama simba, chui, swala, nyumbu na wengine watakuwepo? Je wataishi kwa upendo bila kulana, watashirikiana kila kitu? Je, wao...
  2. S

    Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kwenye mikutano yako ongelea suala la kurudisha Bunge Live, kurekebisha Makato ya Bodi ya Mikopo na suala zima la Mafao ya Wastaafu

    Kamanda Lissu; nakushauri,pamoja na mambo mengine, usisahau kuongelea mambo hayo matatu yanayogusa na kuumiza wananchi wengi wa nchi kama ulivyozungumzia suala la TRA na wafanyabiashara pamoja na swala la wafanyakazi kutoongezewa mishahara siku ya jana mkoani Morogoro. Awamu hii ya tano...
  3. Pdidy

    TFF swala la Morrison weken wazi aliitaji masaa matatu leo hii mkiongeza muda ni utovu wa nidhamu

    Hili jambo limekuwaa kituko Binàfsii hii KAMATI ya maadili yote ya kuvunja baadaa ya Kutoa matokroo Uwezii ukakaaa sikutatuu mnajadili Makaratasi huu utovu wa nidhamu Na kama WAHUSIKA wanamisi docs mnashindwa n kutoa uamuzi wenu maramoja bila kupepesa macho Nadhanii kama mtaongeza MDA leoo...
  4. Sky Eclat

    Uchaguzi 2020 Msemaji wa Serikali, Dkt. Abbas: Suala la CHADEMA kuongeza ubeti wao katika wimbo wa Taifa tumemuachia Msajili wa Vyama vya Siasa

    SUALA LA CHADEMA TUMEMUACHIA MSAJILI WA VYAMA Masuala yote yanayohusu maudhui ya utangazaji kisheria yapo chini ya Waziri mwenye dhamana ya habari, Sheria ya Huduma za Habari ya mwaka 2016 pia imefafanua hilo, Sheria inatungwa lakini Kanuni zinatungwa na Mamlaka inayotekeleza sheria hiyo...
  5. L

    Kweli nimeamin Wanachama, mashabiki na wapenzi wa Timu ya Yanga linapokuja swala la Timu ya Yanga wote wanakuwa na akili sawa!!

    Bila kujali elimu zao, nafasi zao kama waziri', muhandisi, kamishna, mkurugenzi au mwandishi wa habari wote level yao ya uelewa inakuwa chini ya STD 7!! Imagine mwandishi eti anahoji mbona Morrison alikubali kwenye audio clip badala ya kuhoji Mkataba ni OG au Fake! Imagine mtu mwenye akili...
  6. Tony254

    Likija kwenye suala la miundo mbinu, University of Ghana imeshinda university yoyote ya Kenya au Tanzania

    University of Nairobi imeishinda university of Ghana kimasomo, (tukizingatia ranking) lakini university of Ghana ina miundo mbinu (infrastructure) ya ajabu. Imejengwa ikajengeka. Ina majengo mengi na yenye hadhi ya juu. Hakuna university hapa A.M imeikaribia kwa majengo.
  7. T

    Harrison Kapiga tafadhali usipotoshe watu kwenye suala la kusifia watu wakiwa hai

    Kuna Jambo linaendelea clouds media ktk vipindi vyao wameanzisha msemo usimsifie MTU akiwa amekufa msifie akiwa hai. Kiuhalisia huyu Kapiga ndie anaonekana yupo mbele ktk kusema msifie MTU kabla hajafa. Mm naona ni unafikiri na kujikomba na mwisho wahiki amekianzisha kitamletea maadui wengi...
  8. PAZIA 3

    Tundu Lissu: Tunasikia taarifa watu wanakufa kwa Corona lakini haisemwi wazi. Serikali imerekebisha Sheria inayozuia kupeana taarifa

    Muda mfupi mh Tundu Lissu atakuwa mbashara kuanzia saa 8: 00 mchana,Vituo vitakavyokuwa live Ni @standardKenya na @KTNNews, hii Ni kwamjibu wa Tumaini Makene ====== Mwandishi: Mchakato wa kupona ulikuwaje? Lissu: Asante kwa kushiriki kwenye kipindi chenu na kuongea na wananchi wa Kenya kuhusu...
  9. W

    Uchaguzi 2020 Hongera Tundu Lissu. Watanzania wamepata wa kuwafuta machozi

    Leo nina furaha sana. Nina furaha kwa Lissu kuteuliwa na Chama chake. Ninaamini sasa tutakuwa na uchaguzi. Watanzania wengi wamefurahi wamepata mtu wa kuwafuta machozi kutokana na kifungo, minyororo, na mateso ya miaka mitano. Hongera sana. Nimemuona Lissu halisi. Mungu akulinde na akupe...
  10. S

    Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kaongea jambo moja ambalo kila mtu anapaswa kulitafakari na kujiuliza kama ambavyo yeye anajiuliza

    Lissi kafanyiwa mahojiano(kwa lugha ya kingereza) huko Ubelgiji(probably leo) kuhusu swala zima la kama tutarajie uchaguzi huru na wa haki, ila alivyojibu,ni wazi mwenzetu huyu sUala la kutegemea uchaguzi huru na wa haki, kwake halipo kabisa kwani ameonyesha wazi hatarajii hilo kutokea, ila...
  11. U

    Uchaguzi 2020 Suala la ajira ndio litamuondoa Rais Magufuli madarakani hasa vijana ambao ndio wengi

    Huyu jamaa swala la ajira ameliona lakawaida sana bora ajenge barabara, madaraja na flyover na kununua wapinzani tu. Mwenzake jk swala la ajira alilikumbatia sana kiasi ambacho kila mwaka walimu wote waliajiliwa labda ukatae mwenyewe ajira. Madaktari nao wanasugua benchi kitaa. Ikumbukwe kwamba...
  12. Janja PORI

    Suala la Uchafu Salasala, Wilaya ya Ubungo na Kinondoni. NEMC mpo?

    Leo asubuhi nimeskia Clouds Media wanazungumzia wakazi wa Salasala, Goba na maeneo yanayopakana na mito kutupa takataka mitoni, hii husababisha msimu wa mvua mito kujaa ama kupeleka takataka baharini, ubaya taka taka hizi ni plastic. Swali ni kwamba viongozi wa Serikali za mitaa wanakimbia...
  13. OLS

    Wale wachezaji Tatu Mzuka mnilijua hili?

    Hawa jamaa nimewaangalia kwa ukaribu wanavyoendesha bahati nasibu yao. Watu hawa huwa na namba tatu za bahati, kinachonishangaza ni kuwa kila wakati huwapigia simu watu wawili tu wakati wanasema kuwa namba za bahati zinakubalika kwa arrangement yoyote. Sasa chukulia namba za bahati ni 658, hizi...
  14. Superbug

    Viongozi wa Dini ishurutisheni Serikali ijisafishe suala la Lissu kama inasingiziwa

    Viongozi wa dini mpaka sasa ishu ya Lissu vs Serikali mmeikalia kimya huku kila upande ukijihisi una haki. Mpaka Sasa Lissu ni mshindi kwasababu hana kosa lililompasa kuuwawa katika mazingira Yale. Na Wala hana kosa lolote lililomstahili kifo. Binafsi sijamsikia igp siro akisema lolote ila...
  15. J

    Mbunge Lwakatare: Hakuna mbunge asiyelewa, suala la Mbowe tusitie chumvi tusubiri ripoti ya vyombo vya uchunguzi

    Akizungumza katika kipindi cha Medani za Siasa kinachorushwa na luninga ya Star mbunge wa Bukoba mjini mh Lwakatare amesema Mbowe ni rafiki yake mkubwa na hata juzi alimsindikiza hadi Air port wakati anahamishiwa Dsm kwa matibabu. Kuhusu wabunge wa CCM na Spika kuamini kuwa Mbowe alianguka...
  16. J

    Askofu Gwajima aushangaa ubalozi wa Marekani kuzungumzia suala la Mbowe aliyedondoka au kuvamiwa

    Akizungumza katika kipindi cha Aridhio kinachorushwa mubashara na TBC, askofu Gwajima amesema balozi wa Marekani nchini hapaswi kuingilia mambo ya ndani ya taifa letu. Gwajima amesema juzikati balozi wa US amezungumzia swala la Mbowe aliyeanguka au kuvamiwa na kuacha kuzungumzia mambo ya nchi...
  17. mgt software

    Yako wapi Magazeti nguli yaliyovutia kuyasoma? Nani kayazuia kuibua ufisadi, au swala hili wameiachia CAG? Je, wameishiwa mbinu za kijasusi?

    Wana JF, Tangu Rai inunuliwe Watanzania tumeishiwa na hamu ya kusoma magazeti, zamani kulikuwepo waandishi nguli wasio waoga waliokuwa wanapambana na serikali kufichua maovu hata kama habari itawaweka matatizoni. Siku hizi magazeti yote yamegeuka kuanza kuisifia serilali, au au kushadadia...
  18. Tz boy 4tino

    Suala la ubaguzi wa rangi Marekani lina mzizi mkubwa

    Swala la ubaguzi wa rangi Marekani sio swala linalotokea kwa bahati mbaya. Chuki ya Mzungu dhidi ya mweusi sio tabia/hulka ya mtu. Ubaguzi Marekani unatokana na mfumo wa nchi hiyo, Wabaguzi wa rangi nchini Marekani hawajatokea kwa bahati mbaya bali mfumo ndo umetengeneza watu wa namna hiyo...
  19. D

    Wanawake maoni katika hili suala

    Kutongoza ndio msingi wa mahusiano na ndoa. Mahusiano mengi kama sio yote huanza kwa mwanamke kutongozwa kisha huamua akubali ama akatae. Mara nyingi mwanamke ndiye anaeamua kama haya mahusiano yaanze ama yasianze. Namna unavyomtongoza mwanamke inaweza kupelekea kukataa ama kukubali. Japo...
  20. J

    Bakwata: Sikukuu ya Eid itakuwa tarehe 24 au 25 May, 2020 kutegemea mwandamo wa mwezi, hakutakuwa na Swala ya kitaifa wala Baraza

    Bakwata imetoa taarifa kwamba sikukuu ya Eid itakuwa ama siku ya Jumapili tarehe 24 may au siku ya Jumatatu tarehe 25 may kutegemea na mwandamo wa mwezi. Taarifa imesema ili kuepuka misongamano hapatakuwepo Swala ya Eid kitaifa na kila mtu atapaswa kuswali katika eneo la kwao. Kadhalika...
Back
Top Bottom