Habari wanaJF?
Kama una uhitaji wa website au web application nitakusaidia kukutengenezea kwa muda kama ambavyo tutakubaliana
Aina ya website nazotengeneza
1.Wordpress websites na blogs nafanya kwa shilingi laki mbili mpaka tatu
2.Website ambazo hazina database au static websites.Hizi...
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
Eti ndugu zangu watanzania;
Upi ni wakati sahihi wa kumsomesha mtoto katika Private School kwa mzazi wa kipato cha chini? Primary Level au...
Mwanasheria Mwandamizi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzaniania (TCRA) ambaye ni Katibu wa Kamati ya Maudhui inayofungia Vyombo vya Habari kwa kukiuka Kanuni za Maudhui mitandaoni, Dkt. Philip Filikunjombe amechukua fomu kuomba kuwania nafasi ya Ubunge Jimbo la Ludewa
Kama inavyojieleza ...
Ninahitaji uelewa wa solar power sytem ambayo itaweza kuwasha taa 14 na TV ambayo sio ya solar na sehemu ya kuchaji simu. Kwa mahitaji haya mahitaji solar yenye ukubwa gani?
Schoolinsight ni mfumo unaotumika ku "manage" taarifa katika mashule kuanzia ngazi ya nursery hadi Advanced level.
Mfumo huu ni "software as a service" ambayo tayari ipo hosted kilichobaki ni shule kufungua account na kuanza kutumia huduma hii.
Kwa shule ambayo itafungua account itapata 3...
Leo Juni 23, China imezindua satelaiti yake ya mwisho kukamilisha mfumo wa ‘Geolocation’ unaoitwa BeiDou Navigation Satellite System (BDS)
Satelaiti hiyo iliyopewa jina la BeiDou-3GEO3, itakamilisha mfumo wa mtandao katika soko lenye ushindani wa mitandao kama GPS wa Marekani, GLONASS wa Urusi...
Long Range Identification Tracking system ni mfumo ulioanzishwa kwa ajili ya kufuatilia mienendo ya meli ikiwa pwani ya bahari na nje ya eneo la nchi husika.
Huu mtambo hufungwa na nchi husika na kuna makubaliano ya kubadilishana taarifa Kwa wanachama au nchi zilizo sajili meli ambazo hutumia...
AIS-Automatic Identification System hiki ni kifaa kinachotumika kutoa taarifa za meli na huwa kinafungwa katika meli au mnara wa mawasiliano au kuongozea meli (Vessel Traffic Services).
Ufanyaji kazi wake
AIS imeunganishwa na GPS, Satellite, mfumo wa mawasiliano wa VHF, transponder na...
Schoolinsight ni mfumo unaotumika ku "manage" taarifa katika mashule kuanzia ngazi ya nursery hadi Advanced level.
Mfumo huu ni "software as a service" ambayo tayari ipo hosted kilichobaki ni shule kufungua account na kuanza kutumia huduma hii.
Kwa shule ambayo itafungua account itapata 3...
Schoolinsight ni mfumo unaotumika ku "manage" taarifa katika mashule kuanzia ngazi ya nursery hadi Advanced level.
Mfumo huu ni "software as a service" ambayo tayari ipo hosted kilichobaki ni shule kufungua account na kuanza kutumia huduma hii.
Kwa shule ambayo itafungua account itapata 3...
Chadema mnapofanya siasa zenu tambueni kuwa ni ngumu kuchukua nchi bila kufanya urafiki na vyombo vya ulinzi na usalama. Either mtatumia umwagaji damu, Vyombo vya ulinzi ndio watanzania wenyewe ukiona umekubalika 50% kwa watanzania na ndani ya ulinzi ndio hivyo hivyo, maafisa wa vyombo wanataka...
1. Kama wewe umesomea Bachelor of Engineering (B.Eng) kwa mfano umesomea Bachelor of Engineering in Mechanical Engineering/Electrical Engineering kama nafasi imetangazwa na imetaja inahitaji mtu mwenye Bachelor of Science in respective coarse my dear uki apply inagoma, and vice versa.
2. Mfumo...
Posting Country: Tanzania, United Republic of
Full Time / Part Time: Full Time
Contract Type: Permanent
Joining Vodacom is more than a job, what we do matters. We don’t just carry minutes, texts and data – we carry people’s lives. And that’s a huge responsibility. If you think for a minute...
Habari za asubuhi wanaJF,
Majuzi nilipost kuwa nilikuwa nahitaji mtaalam wa kutengeneza health database. Nilipata msaada na asanteni kwa walioniandikia inbox.
Leo, nina hitaji lingine:
Health Management System (HMS) kwa ajili ya mazingira ya hospitali na zahanati
Mteja tunayemfanyia kazi ana...
Position: Senior Information System Auditor
Air Tanzania Company Limited (ATCL) is in the process of revamping its operations and has introduced new equipment to its fleet as part of implementation of its five years Corporate Strategic
Plan (2017-2021). In line with this expansion, the...
Je, wewe ni mmiliki wa shule, Kampuni binafsi au NGO,
Je, unahitaji kujipatia huduma mojawapo kati ya hizi au zote kwa pamoja?
Websites,
Android Apps,
Domain Names,
ERP system
Accounting system
CRM system
SEO services
Online Promotion
Je, budget yako ni kati ya TZS 49900 na kuendelea?
Kama...
Kwa wale wanafanya shughuli za electronics design, Engineering ama Hobbyists hii ni natoa offer ya electronics boards na Sensors
1. Aduino Mega (genuine) for 25K unaokoa 20K from 45k
2. Arduino Uno (without chip) 15K unaokoa 20K from 35K
3. Arduino Camera 20K unaokoa 20K from 45K
4. Current...
Mifumo ya Ulinzi wa Anga (Missile Defense Systems)
Patriot "MIM-104" SAM System (USA)
===
S-300 Missile System (Russia)
===
THAAD "Terminal High Altitude Area Defense" (USA)
===
S-400 Missile System (Russia)
===
Iron Dome (Israel)
===
Arrow 3 (Israel)
===
To Be Continued!
Israel unveils 'laser sword' defence system that can stop rockets and drones, following Iranian missile attack on US forces in Iraq
Israel has unveiled a 'laser sword' defence system that can stop rockets and drones as tensions in the region continue to simmer. The technological breakthrough...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.