Habari wadau,
Nawakaribisha kwa ajili ya huduma zangu nzuri .
Niko na systems au applications ambazo zinafaa sana kwa wale wenye maduka ,supermarkets ,pharmacy au biashara nyingine yoyote ambayo unahisi unapenda kuangalia mahesabu yako viruzi.
Vitu ambavyo unaweza kuvipata
1. Kurekodi mauzo...
Kinachofanywa na dola kwasasa dhidi ya chadema kimevuka mipaka ya uvumilivu. Na ni Jambo linalojirudiarudia hii maana yake haya mambo yanapangwa na kuratibiwa makusudi.
Pengine system inafanya hivi ili kuichonganisha ccm na wananchi ili waiprovoke jamii halafu jamii ifanye Kama tahrir square...
Get standalone electronic signature system that allows you to sign your documents digitally while keeping the public and private keys secure.
It Supports multiple digital signature formats including ODF, PDF, OOXML, XML, and MRTD or ePassport DS. You can sign your documents and code like Java...
ELECTRONIC HEALTH RECORDS SYSTEM
FEATURES
PATIENT DEMOGRAPHICS
Track patient demographics
Primary information (name, date of birth, sex, identification)
Marital status
Contact information of patient and patient's employer
Primary provider
HIPAA information
Language and ethnicity
Insurance...
Offer Deal for Tanzania Hosting
Buy Domain from microsafi.com for at least 1year and get a free Hosting for the first year. Our hosting plans include everything you need to start building your dream online. Web hosting is our specialty. Happy customers are the priority. Our aim is to host your...
MYU Capital is analytics and investment research company, develop data science system.
We Assist enterprise to develop data science system for different purpose you will pay zero in acquisition, and paying only installation and set up cost. After handover system to you we will fix all problem...
Finland has the world’s best education system. The country has been in the limelight since the year 2000 and successfully made it into the year 2018.
In fact, when five new parameters were added in the year 2017 for the categorization of best education systems worldwide, Finland managed to...
Rais Samia ametoa tsh milioni 100 ili kuboresha soko la Machinga comllex na kuwezesha wamacbinga wote wa kariakoo kuhamia hapo Karume
RC Makalla amesema maboresho yanaanza mara moja ikiwa ni pamoja na kuzungushia uzio wa mabati na kuweka meza za kisasa za kupanga biashara
Chanzo: ITV habari
MFUMO WA RUFAA YA MATIBABU ni mfumo ambao unamwezesha mgonjwa kutoka kituo kimoja kwenda kigine kwaajili ya kujipatia Matibabu, kulingana na ukubwa wa tatizo, au uhaba wa wataalum , au kulingana na kutokuwepo kwa vifaa vya kutosha katika kituo husika.
Rufaa ya Matibabu hutolewa kulingana na...
Habari Wakuu,
Inafika hatua naanza kujiuliza hawa watu wanaondoka katika mazingira ya kawaida tu au kuna system inawaondoa kwa kutumia mbinu zilizoenda shule?
Yaani Bwana yule na watu wake wa karibu, wanaondoka mmoja baada ya mwingine, huku yule mwingine akiponea chupuchupu baada ya kudaiwa...
Kama tunavyojua, kwa mujiba wa katiba yetu Mheshimiwa Rais halazimiki kufuata ushauri wa mtu yeyote yule.
Hivyo basi tunapokuwa na rais msikivu tena anayefanyia kazi maoni na malalamiko ya watu wake ni baraka kubwa kwa taifa
Kwa sasa ukiangalia statement ya deni lako kwenye mfumo wa bodi ya...
Tulioona mengi kwa miaki mingi tunafahamu kuwa kiongozi hakuibuka tu, na kupewa madaraka ya juu.
Wakati wa Mwalimu walienda mbali zaidi, viongozi walipikwa wakapikika. Na walijua mwishowe kuwa madaraka ya mwiho ni kauli ya wananchi kwa ujumla wao.
Na viongozi walipelekwa mafunzo, iwe JKT, Vyuo...
Kumekuwa na upotoshaji mkubwa sana unaofanywa maksudi na media na sijui kwanini.
Mfano mpaka sahivi hamas amesharusha makombora zaid ya 1000+ Israel lakin kinachowasaidia Israel ni kuwepo kwa mfumo wa iron dome defense system.
Hamas anaporusha Yale makombora yake achagui, tofauti na Israeli...
Bomba kubwa la mafuta nchini Marekani limeripotiwa kuwalipa wahalifu wa mtandaoni wanaofahamika kama DarkSide kiasi cha dola milioni tano $5m (£3.6m) kama kikombozi ,baada ya bomba hilo kuvamiwa mtandaoni.
Bomba la Colonial lilikuwa linapata wakati mgumu kufanya shughuli zake baada ya kudukuliwa...
INFORMATION SYSTEM (IS) SPECIALIST
Médecins Sans Frontières (MSF) is an international, independent, medical humanitarian organisation that delivers emergency aid to people affected by armed conflict, epidemics, natural disasters and exclusion from healthcare. MSF offers assistance to people...
Democtratic, plutocracy vs meritocratic system, federal vs unitary state
1. Marekani na tanzania zote ni nchi za kidemokrasia. Lakini marekani ni #federal state, wakati tanzania ni #unitary state.
2. China na tanzania zote ni unitary state, lakini tanzania ni nchi ya kidemokrasia(democratic...
Kuna watu baada ya Rais na Amiri jeshi mkuu Mh SSH kuanza uteuzi wa viongozi mbalimbali kuna watu roho zimewauma sana na wanatumia watu sana ili wamchafue Rais wetu kipenzi,
Kuna watu hawakutaka awe pale sasa watu wanajifanya kumkosoa sana na kundi linaloongoza ni lile kundi la mataga waliokua...
Kila mtu makini naamini hushangaa na kutatizwa sana pale ambapo mamlaka ya uteuzi ya viongozi iwe Rais ama Waziri ama yeyote ili mradi ni mamlaka ya uteuzi inapofanya uteuzi muda huu, kisha in less than 24hrs inatengua uteuzi huo huo...
Hili lilijitokeza mara kadhaa ktk utawala wa Rais Hayati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.