Kikubwa tutafuteni tu Hela za Kutunza Familia zetu ila Kuwashadadia akina Sabaya na Makonda kuwa Wafungwe Maisha au ikiwezekana Wanyongwe ili mfurahi na mridhike ni Kupoteza muda Wenu kwani hawa Watu 'System' iliwatumia huko nyuma na huenda hata Kuachiwa kwa huyu Sabaya Kuna 'Operation'...
Habari za mchana huu wana JF wenzangu...........................Poleni na harakati za kufanya mkono uende kinywani
Kwa faida ya wengi, naomba mods msiuunganishe uzi huu na nyuzi nyingine kutokana na unyeti na umahsusi wa mada tajwa humu.
Naomba kwa yoyote anayefahamu kwa kina kuhusu mchakato...
CHANGAMOTO KATIKA SYSTEM YA AJIRA ZA TAMISEMI
Mwenge catholic university vimeingizwa vyuo viwili hali ya kuwa kipo kimoja tu
hivyo vyuo viwili vinavyoyumia jina moja la mwenge catholic university kimoja kina course nne (4) ambazo ni
(1) ordinary diploma in holder certificate of secondary...
CHANGAMOTO KATIKA SYSTEM YA AJIRA ZA TAMISEMI
Mwenge catholic university vimeingizwa vyuo viwili hali ya kuwa kipo kimoja tu
hivyo vyuo viwili vinavyoyumia jina moja la mwenge catholic university kimoja kina course nne (4) ambazo ni
(1) ordinary diploma in holder certificate of secondary...
Napongeza marekebisho yanayofanywa na TRA kwenye ukusanyaji wa mapato kwa kutumia njia za kielektroniki. Mabadiliko hayo ni pamoja na mfumo mpya wa kuwasilisha ritani za VAT ambapo mfumo ulioboreshwa na kuanza kutumika kwa mwezi machi 2022 una changamoto kubwa. Kwamba kawaida risiti...
Long Description
Role purpose:
The System administrator focus on all Management of Charging system application, Database, OS and Infrastructure which also include design and deployments of product, services and Technical projects lead. Administrator has a good understanding of established...
One of the Way is to Join Windows Insiders which will enable you to upgrade to windows 11 even if your pc does not meet system requirements.
How to Join Windows Insider Programme?
The Windows Insider Program is a community of millions of Windows' biggest fans who get to be the first to see...
Stabilization System ni mfumo maalum Kwenye chombo Cha majini Ili kukipa usawa kikiwa Kwenye Hali ya kutembea, bandarini au kikielea juu ya maji.
Stabilizer Kwa lugha rahisi ni sawa na suspension system katika magari. Kwenye meli ship stabilizer husaidia kupunguza chombo kuyumba sababu ya...
Wakuu habari, nataka kujua kama kuna mtaalamu wa kunifundisha namna ya kutengeneza forex robot (automated trading system) kwa kutumia MQL script language hata kwa malipo
Ni programu ambayo inasaidia ku trade automatically, ukishaitengeneza na kuweke vigezo vyako vya ku trade, unaijaribisha...
Muhimbili National Hospital (MNH) is a tertiary Specialised and Super Specialist Hospital in Tanzania organized into nine Directorates with bed capacity of 2,178 out of which 1,570 beds are at the Main Upanga Hospital and 608 beds are at Mloganzila facility which is 30 km away from the main...
Habari wanajamii!..
Naona mfumo huu wa kulipia huduma kabla ya matumizi umeanza kuwa mfumo pendwa licha ya kuwa mfumo unaomuumiza zaidi mtumiaji au mlaji hususani huduma inapokosa ubora.
Ni kweli wananchi tunapaswa kulipia huduma tunazopatiwa na Serikali ili kusaidia suala zima la uendeshaji na...
Vladimir Putin didn’t just invade the Ukraine on 24/02/2022, he officially ended the petrodollar system.
How? Remember, Russians don’t do anything without a plan. They & China have been prepping for this moment for years & are now ready.
Russia has stated NATO expansion
into Ukraine was a...
Poleni na majukumu wakuu
Naomba kuuliza,kwenye hii vita inayoendelea huko ulaya,tunaona jinsi wenzetu wa Ukraine wanavyojitahidi kuzidungua ndege za Russia na kuzuia baadhi ya makombora kwa kutumia mfumo wao wa ulinzi wa anga.
Hivi sisi hapa kwetu tunayo air defence system, na kama tunayo ni ya...
Habari waku, mimi ni kijana nnayejihusisha na ufundi wa magari kwa muda wa miaka miwili na nusu sasa, napatikana Arusha mjini.
Katika shughuli zangu nilifanikiwa kununua Mashine yangu ya diagnosis kutoka China Aina ya Launch X431 V+ na nikaanza kazi ya diagnosis kama extra coz bado nipo...
Click Up company limited tumeleta mfumo maalaumu kwa ajili ya kumanage na kutunza kumbukumbu za shule yako. mfumo huu unakuja na biometric device maalumu kwaajili ya kufuatilia attendance ya walimu shuleni.
Gharama ya mfumo pamoja na biometric device kwaajili ya attendance ni 700,000 TZS...
System Programmer
Tanzania Mentors Action (TMA) is the local non-governmental organizations (NGO’s) registered under the Ministry of Health Community Development, Gender Elderly and Children (MOHCDGEC) with registration number ooNGO/R2/000156. TMA goal is to improve community life through...
Role Purpose
The Infrastructure Operations Specialist focuses upon administration of central and/or local data centres, legacy and/or centralized infrastructure, standards and requirements and provides support for the availability of Vodafone IT applications and Data Centre activities and...
HELLO GUYS!
Baada ya kusubiri muda mrefu kidogo tukisubiri tuweze kuongezeka napenda kuwakumbusha kuwa hapa ni sehemu salama zaidi na mafunzo yote yatatolewa bure bila malipo yoyote na tutajitahidi kila siku kuleta angalau somo moja ili kufikia malengo ya kila mmoja kuweza kuelewa nini maana ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.