Eti jamani, hasa nyie mlio kwenye system hebu tupeni mwanga kidogo; ni kwanini mikataba inayoingia serikali huwa inafanywa kiwa siri kiasi mwananchi wa kawaida hapaswi kabisa kujua.
Mathalani hii mikataba ya mikopo, ni kwanini msiiweke hadharani ili tujue masharti yake yakoje, why?
Kiuhalisia ni vyema kila kiongozi aliye madarakani akawekewa guidance ya namna ya kuendesha serikali na muongozo huo uwepo kwenye katiba, isiwe utashi au mapenzi yake binafsi, bali katiba iseme hivyo na awajibishwe endapo hatoifuata.
Mfano leo ukaniambia kwamba tunakupa madaraka fulani, na...
Nawaza hapa kwa nia njema, wadau tunakesha tukiachia software za kishua tu huko nje zinatumika, ina maana hatujafikia kiwango cha kushawishi hizi serikali za ukanda huu, mpka ERP inafuatwa India kwa gharama ya milioni 30 dola za Kimarekani. Hela ndefu sana hiyooo.
=========
A statement...
Kampuni ya Samsung wameachia updates ya os ya Android 12 ama UI 4 kuanzia tarehe 15 mwezi huu kwa simu za Samsung Galaxy S21 Ultra. Ila hii updates ilianzia huko Marekani, Ulaya na Korea Kusini kwenyewe.
Naona kadri siku zinavyoenda inasambaa kwa mataifa mengine. Leo mimi simu yangu imepata...
Elimusoft inakuletea OFA ya kufungia mwaka
Tunatoa huduma ya SCHOOL & COLLEGE MANAGEMENT SYSTEM free kwa mwaka 2022 shule na vyuo katika ngazi zote
Mfumo una features zaidi ya 40, baadhi yake ni kama
Kutoa GPA ya motokeo ya mtihani ya kila mwanafunzi
Kutoa DIVISION ya matokeo ya mihani ya...
Wadau
Nimepewa nafasi ya kuwa sole distributor wa solar solutions/products kutoka wa manufacturer wa china, mimi sina utaalam wa hiyo makitu . Sasa kabla ya kufanya any commitment na kuingia mkataba na manufacturer, nahitaji mtaalam ambaye tunaweza tukashirikiana (partners in business)...
Imagine kiongozi wa kisiasa (wakati wa magufuli) anaamrisha wizi wa kura hapa ni kuvijaribu vyombo vya ulinzi na usalama vilinde dhuluma. Rejea uchaguzi wa 2020. The states security apparatus were tested .
Kesi ya mbowe Kama kweli lengo ni kumfunga kwa gharama yoyote hata iweje Basi mahakama...
Wengi mnamkumbuka mwanasiasa James Ole Milya huyu amewahi kuwa mwenyekiti wa Uvccm mkoa wa Arusha na mbunge wa jimbo la Simanjiro.
Huyu ni aina ya vijana wapambanaji kwenye ulingo wa siasa hapa nchini tetesi ni kwamba awali alikuwa anabebwa na kundi la Friends Of Lowasa lakini baadae kundi hili...
Wakuu kwa wale tuliomba nafasi za kazi kwa ICT OFFICER II (COMPUTER SYSTEM ADMINISTRATION) ya TRA ,tupeane Nondo .
1. Maswali ya kusoma
2. Pepa huwa zinakuwaje .
Karibuni
TECNO today announced that its latest smartphone to release in November TECNO CANOM 18 Premier has received two new internationally recognized TÜV Rheinland certifications respectively for Low Blue Light (Hardware solution) and Safe Fast-charge Systems. This will provide consumers better eye...
Huu upepo umeanzia Marekani, Nlisoma mtandaoni kua mamilioni ya vijana wengi wa kiume Kule united states hawaendi tena chuo, kijana akimaliza high school, anaingia kitaa Anajiajiri kwa kupiga mishe zake Binafsi, vijana wa USA wanaona kugraduate chuo unadaiwa $60,000 na kazi hazilipi ni ujinga...
Posting Country: Tanzania, United Republic of
Date Posted: 20-Oct-2021
Full Time / Part Time: Full Time
Contract Type: Permanent
At Vodacom, we’re working hard to build a better future. A more connected, inclusive and sustainable world. As a dynamic global community, it’s our human spirit...
Waaungwana Kama heading inavyoonesha hapo juu.
TARURA amekuja na namna nyingine ya kukusanya ushuru wa Maegesho ya Magari, Mfumo huu Mpya ni wa kielektroniki na uko based on Control Number.
Nimefanya Research ndogo na kugundua kuwa Huu utaratibu mpya mbao ni Mzuri umegeuka kuwa ainia ya Wizi...
wakuu samahanini nilikuwa naomba ufafanuzi kuhusu course ya bachelor of science in information system kweny upatikanaji wa ajira zake na hata uwezo binafsi wa kujiajiri..m ni first year mtarajiwa
Wakuu samahanini nilikuw naomba ufafanuzi kuhusu bachelor of science in information system kwenye upatikanaji ajira na hata pia uwezo wa kujiajiri binafsi kama inawezekana?
01.INTRODUCTION.
A case or suit is the contra-verse or misunderstandings between the two or more parties.Therefore parties are the one who bring the case to the particular legal institution, therefore parties and the case are two sides of the same coin.This means that one of them determine...
Je unajua kwamba domain name ni mtaji?
Unapoona jina kama jamiiforums.com hii ni domain name unapoona jina kama tzhosts.com hii ni domain name.Leo nataka tuzungumzie kidogo maana na umuhimu wa domain na jinsi ambavyo unaweza kuitumia ili kujiongezea pesa.
Ngoja niwape mfano.Leo hii unaweza...
Habari za wakati huu;
Je wewe ni mmiliki wa biashara?kati ya hizi zifuatazo?Duka la Spear za Magari,Duka la Dawa,Duka la bidhaa anuai,Bar,Restaurant na Pub.Je biashara yako ina tawi zaidi ya moja?Je unahitaji mfumo wa kukuwezesha kutunza kumbukumbu za biashara yako na kukuwezesha kufuatilia...
Mataifa mengi duniani yamekumbwa na msukumo wa nje na hata wa ndani wa kuleta mabadiriko katika uongozi wa uma. Na madai ya kuataka mabadiriko yanatoka katika vyanzo mbalimbali ikihusisha Wananchi , Asasi za kiraia , vyombo vya habari na vyama vya upinzani.M ara nyingi madai yao yamejikita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.