system

  1. sanalii

    Ni computer (system) gani inayochukua siku nne kufanya mabadiliko? Kwanini waziri mwenye dhamana asiwajibishwe?

    Kuna watu wanaleta utetezi kua mitandao ambaayo haijabadilisha vifurishi ni kutokana na suala la programing, pia kwenye gazete wanasema inaeeza kuchukua siku zaidi ya nne, mpaka leo hii bado mitandao hiyo haijabadilisha vifurushi. 1. Je, ni kweli wataalamu wa serikali wanaamini kua system...
  2. E

    Car4Sale Subaru impreza xv 2013 model with hybrid system

    Subaru impreza xv 2013 model yenye hybrid system, inauzwa 39M Tsh Kwa maelezo zaidi PM.
  3. Raaj

    Naomba mwenye ufahamu kuhusu kozi ya Health Management System

    Habari ndugu wana Jf, Naomba mwenye ufahamu kuhusu kozi ya health management system (Katibu wa Afya) hasa katika suala la mshahara na fursa nyinginezo zinazohusu kozi hii. Asanteni
  4. Rahma Salum

    Namna Vyombo vya Habari vya Kimataifa vilivyoingia mtegoni kueneza uvumi wa kifo cha Kim Jong Un

    Rais wa Korea Kaskazini alionekana akiwa hai mara baada ya vyombo vya habari vya Kimataifa kama CNN kuripoti kuwa amefariki dunia. Je, ni kitu gani kilipelekea vyombo hivyo vya habari kutoa taarifa kuhusu kifo chake? Mwaka 2020 kulitokea uvumi kuhusu kifo cha Rais wa Korea Kaskazini, Kim...
  5. Geza Ulole

    Apparent JKIA does not have traffic control system, aircraft rely on Kilimanjaro Airport's traffic control system!

    ECONOMY New Sh346 million air traffic control system to boost JKIA safety WEDNESDAY MARCH 10 2021 Terminal 1A at Jomo Kenyatta International Airport. FILE PHOTO | NMG The Kenya Civil Aviation Authority (KCAA) will install a new Sh346 million air traffic control system at the Jomo Kenyatta...
  6. Samedi Amba

    Wenye system za shule (school management system) nawaomba

    Kuna mteja nimempata. Anahitaji school management system. Kama ya kwako ina sifa zifuatazo, nakuomba: Inaweza kuwa installed offline ina uwezo wa kuvuta reports sawasawa (ntaomba evidence of this). iko flexible enough to change kama inakidhi mahitaji haya, tujuzane. I need it urgently, so the...
  7. MK254

    Ujamaa system bana, sasa ni marufuku kwa Watanzania kufanya "jogging" siku za Ijumaa, Jumamosi, na Jumapili

    Yaani tu basi.... ======= Polisi Dar wapiga marufuku jogging siku za ibada Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema kuwa halitatoa vibali kwa ajili ya watu kufanya mbio za taratibu (jogging) katika siku za ibada kwa sababu wafanya mazoezi hao wamekuwa wakiwachelewesha waumini...
  8. 2

    Msaada wa kupata cheti cha CISA (certified information system auditing)/cissp/ceh

    Naombeni mzoefu na kufanya hii mitihani ya certification mfano wa iyo ya CISA /CISSP/CEH anipe mwongozo mzuri, maana nataka mwaka huu nipate iyo certification moja wapo wakuu hasa hasa iyo ya CISA, wa atakaye weza nisaidia nikapata basi nitamredishia fadhira (tutaongea) kwa kazi iyo. Gharama za...
  9. S

    Irrigation system maji ya visima virefu yenye chumvi

    Naomba kujua changamoto za irrigation system source ya maji ni kisima kirefu 100 mtrs. Ukimwagilia maji shambani kwa mpira wa kawaida baada ya km mwezi pakikauka panapauka inaiona chumvi chumvi juu ya udongo lakini hayo maji kwa kunywa huisikii kbs chumvi na tunayanywa kama kawaida...
  10. EvilSpirit

    Mwenye uelewa jinsi system ya mita za umeme za wireless zinavyofanya kazi anijuze

    Kama kuna mtaalamu yeyote anaelewa jinsi system za mita za umeme zinavyofanya kazi anipe ujuzi.Mita hizo ni hizi za sasa hivi tunazozitumia majumbani kuingiza LUKU kama wenyewe mnavyoiita.Maana nilisikia zinakuwa controlled somewhere kwa kutumia Network.Pia nataka kujua asili ya hilo neno LUKU.
  11. L

    Msaada: Kampuni gani nzuri ya tracking system kwenye magari kati ya hizi?

    Habari wakuu; ninataka kufunga tracking system kwenye gari yangu ndogo ambayo naikodisha. Nimegoogle nikapata kampuni kadhaa hapa (Cartrack, U-track, Afritrack, Wetrack). Ninaomba wenye uzoefu na hizi kampuni wanisaidie ipi hapa iko poa zaidi. Na kama kuna kampuni zingine pia naomba mapendekezo...
  12. R

    Tahadhari na ushauri kwa system: Msimwonee haya mtu, akishindwa achaneni naye na akishinda atangazwe

    Heshima kwenu wakuu" system" Sasa ni dhahili nyie waendeleazaji na waongozaji wa Taifa mmeona ukweli ulipo. Sasa mnaona nini watanzania wanataka. Ninyi mna macho na masikio mawili mawili mnasikia na kuona kuliko mtu yeyote. Mwaka 2015 mlitusaidia kuondokana na Lowasa japo alionekana kuwa na...
  13. ECPENDABLE

    Wataalam waliowahi kutumia home theatre system SONY WATT 300 wanipe ubora wake in performance au miyeyesho nakaribisha majibu

    Wakuu, msaada kwa ambae amewahi kutumia Sony home theater Watt 300 vipi ubora wake wa sound na performance machaguo yangu ni kama mnovoona kwenye picha nikamate sony au hilo subwoofer nakaribisha majibu.
  14. JituMirabaMinne

    Tunafanya full system diagnosis kwenye magari

    Hii ni Diagnosis ambayo inacover mifumo yote ya gari yako tofauti na OBD2 ambayo kwa mashine nyingi huwa inacover tu faults za engine japo ilitakiwa kucover power train yote(Yaani Engine na Automatic gearbox). Hapa chini nimescreenshot baadhi tu ya mifumo ambayo inakuwa covered na Fully system...
  15. L

    Aborder multimedia speaker system in sale

    Habari wadau, nauza aborder multimedia system AB3822BT kwa shilingi 155000/= Mawasiliano : +255783696253. Nipo beta barabara ya chang'ombe Dar es salaam
  16. R

    Msaada wa haraka sana kuhusu namna ya kuomba kazi zilizotangazwa kwenye system

    Wana Jamii forums elimu heshima Naomba msaada, ninapoingia kwenye hii system ya kuomba hizi ajira, nimekutana na changamoto zifuatazo na nimeshindwa kufanya chochote, email already exist Mara account already exist nimeshindwa kufanya chochote nisaidie jamani mwaka Jana niliomba lakini...
  17. L

    Deki ya DVD Home Theatre (LG) inauzwa 130000/=

    NAUZA DEKI YA LG HOME THEATER DH4530T SPECIFICATIONS 330W (5.2ch) BASS BLAST 1080P FULL HD UP-SCALING USB CONTENTS PLAYBACK HDMI out & SIMOLINK PORTABLE IN NAMBA YA SIMU; 0783696253
  18. Rebeca 83

    Hivi hii work placements system inaweza kufanya kazi kwetu Tanzania?

    Hello JF, Nadhani nishawahi kulileta before.. Ningependa kuona serikali yetu.. ina invest kwenye skills za vijana/graduates wetu... Kwa mfano Jeshi lingefutwa, badala yake vijana watafutiwe ajira zile za temporary... 3-6 Months! za masomo waliyosomea Hio hela inayotumika kuwa train vijana...
Back
Top Bottom