taa

Trans Australia Airlines (TAA), renamed Australian Airlines in 1986, was one of the two major Australian domestic airlines between its inception in 1946 and its merger with Qantas in September 1992. As a result of the "COBRA" (or Common Branding) project, the entire airline was rebranded Qantas about a year later with tickets stating in small print "Australian Airlines Limited trading as Qantas Airways Limited" until the adoption of a single Air Operator Certificate a few years later. At that point, the entire airline was officially renamed "Qantas Airways Limited" continuing the name and livery of the parent company with the only change being the change of by-line from "The Spirit of Australia" to "The Australian Airline" under the window line with the existing "Qantas" title appearing above.
During its period as TAA, the company played a major part in the development of the Australian domestic air transport industry. The establishment of TAA broke the domestic air transport monopoly of Australian National Airways (ANA) in the late 1940s, and taking over the Queensland air network from Qantas. It was also at the time TAA supported the Flying Doctor Services of Australia by providing aircraft, pilots and engineers to ensure every emergency was answered quickly. Qantas had also been instrumental in the formation of the Flying Doctor Service.
The airline's headquarters were located in Melbourne. In 1954 TAA became the first airline outside Europe to introduce the Vickers Viscount "propjet", and in 1981 it introduced the Airbus A300, the first wide-body aircraft to be purchased by an Australian domestic airline providing TAA with a clear edge over major competitor at the time, Ansett which had purchased instead, the Boeing 767-200, receiving the type approximately a year later. Ironically, although the A300s were initially painted in full Qantas livery, they were phased out within a few years being replaced by previously international operated Qantas 767-238ERs, 767-338ERs and later supplemented by seven ex British Airways 767-336ERs.
Qantas revived the Australian Airlines brand between 2002 and 2006 to serve the low-cost leisure market of visitors to and from Australia but using a full-service model, operating selected Qantas 767-338ERs – although the livery used was not the same as that used by the previous domestic operation.

View More On Wikipedia.org
  1. Ryamalungu

    INAUZWA Kibanda cha biashara ya uwakala cha kisasa kinauzwa

    Kibanda ni cha kisasa, kina taa nne ndani na mbili nnje, kina feni ya juu, socket, switch kinapatikana Dar es salaam kigamboni ukitaka kuja kuja kukiona unakuja kukiona.. mawasiliano 0715584281
  2. F

    Bodi ya Maziwa kuharibu maziwa ya ng'ombe kwa kuyamwagia mafuta ya taa

    ITV leo asubuhi imemuonyesha Waziri wa Mifugo, Mhe. Luhaga Mpina akitoa maelekezo ya kuzuia vitendo vya KISHETANI vinavyofanywa na Msajili wa Bodi ya Maziwa Tanzania kuchafua maziwa ya ng'ombe yanayouzwa na Wajasiriamali wanawake katika eneo la Ubungo kwa kuyamwagia mafuta ya taa, au rangi ili...
  3. R

    Msaada taa ya Overdrive ina blink

    Wataalam naombeni msaada (ufafanuzi), Nina Noah sr40 nimegundua Mara ninapo-switch overdrive on taa haizimi Kama ilivyo kawaida ya gari ikiwa katika overdrive mode (gear) badala yake taa inawaka na kuzima (flash/blink) tatizo ni nini wajameni na wale wakazi wa Arusha naomba tuelekezane gereji...
  4. P

    Thomas Isidore Sankara: Taa ya AFRIKA iliyozimika ghafla ikiwa na umri mdogo wa miaka 38 kwa mapinduzi na kuuawa na Rafiki yake Kipenzi

    “While Revolutionaries as individuals can be murdered, you cannot kill Ideas”, Haya yalikuwa ni maneno ya Thomas Sankara aliyoyatamka wiki moja kabla ya kuuawa. Thomas Sankara alikuwa kiongozi na akiwa na miaka 33 tu, Lakini mwenye maono makubwa na siasa za mrengo wa kushoto, anatambulika...
  5. Transistor

    Taa za umeme za LED huleta nafuu katika bili ila ni hatari kwa afya

    Heri ya mwaka mpya wakuu, Taa za LED zimepata umaarufu miaka ya hivi karibuni kutokana na kuwa na mwanga mkubwa huku ulaji wake wa umeme ukiwa ni kidogo. Licha ya faida hiyo kutokana na tafiti mbalimbali taa za LED,zimeonekana kuwa na madhara kiafya,licha ya wataalamu wanao unda taa hizi...
  6. Superbug

    Uchaguzi 2020 CCM taa nyekundu na muda unawatupa mkono mtoseni Yoha baharini mpone tufani

    CCM sikio la kufa halisikii dawa kumbukeni hadithi ya Yona kwenye merikebu pia kumbukeni hadithi ya belshaza na maandishi ya ukutani menemene tekeli na peresi chanzo cha yote haya ni Rais Magufuli. Washauri wake wabaya wanamzamisha yeye na nyie pia. Wenzenu kina Rais Mstaafu Mkapa na Kikwete...
  7. V

    Baby zima taa naumia macho!!

    Wanajamii nisaidieni hii tabia ya baadhi ya mademu kuomba taa izimwe kabla ya Show wanahofia nini? W engine ukitext unakuta inakaba vizuri nyingine zinalegea na kuburuza hadi kwenye magoti zisipozuiliwa na kufuli. Msaada uzoefu wenu unasemaje??
  8. maganjwa

    Historia ni taa katika giza

    mtu asiyejua historia yake ni sawa na mtu aendaye katika giza maana yake unajua historia ya watu ila ya kwako hujui. mfano watu wengi wanajua sana historia ya ulaya kuliko historia ya africa na hata jamii yako kwa kuwa tumesoma tukifundishwa habari ya malkia wa uingereza na fahari zake lakini...
  9. FRANCIS DA DON

    Napendekeza taa za mwanga barabarani na nyaya za simu zifungwe kwenye nguzo za umeme

    Yaani badala ya kununua milingoti ya chuma na wire kwa ajili ya kufunga zile taa za mwanga barabarani, napendekeza taa ziwe zinafungwa kwenye mistimu ya umeme iliyopo kando kando ya barabara na ziungwe kwenye umeme moja kwa moja, hii itakoa fedha nyingi mno. Pia badala ya kusimika mistimu ya...
  10. N

    Al Bashir akabiliwa na hukumu ya kifo kwa kupindisha taratibu za kidemokrasia

    Kufuatia mapinduzi ya mwaka 1989 yaliyomweka madarakani rais wa Sudan aliyeondolewa madarakani Al Bashir, sasa atashtakiwa kwa makosa ya kuhujumu mfumo wa kidemokrasia. Endapo atatiwa hatiani, basi hukumu yake ni kifo au kifungo cha maisha jela. Hii ni taa nyekundu kwa CCM wanaovuruga mfumo wa...
Back
Top Bottom