taa

Trans Australia Airlines (TAA), renamed Australian Airlines in 1986, was one of the two major Australian domestic airlines between its inception in 1946 and its merger with Qantas in September 1992. As a result of the "COBRA" (or Common Branding) project, the entire airline was rebranded Qantas about a year later with tickets stating in small print "Australian Airlines Limited trading as Qantas Airways Limited" until the adoption of a single Air Operator Certificate a few years later. At that point, the entire airline was officially renamed "Qantas Airways Limited" continuing the name and livery of the parent company with the only change being the change of by-line from "The Spirit of Australia" to "The Australian Airline" under the window line with the existing "Qantas" title appearing above.
During its period as TAA, the company played a major part in the development of the Australian domestic air transport industry. The establishment of TAA broke the domestic air transport monopoly of Australian National Airways (ANA) in the late 1940s, and taking over the Queensland air network from Qantas. It was also at the time TAA supported the Flying Doctor Services of Australia by providing aircraft, pilots and engineers to ensure every emergency was answered quickly. Qantas had also been instrumental in the formation of the Flying Doctor Service.
The airline's headquarters were located in Melbourne. In 1954 TAA became the first airline outside Europe to introduce the Vickers Viscount "propjet", and in 1981 it introduced the Airbus A300, the first wide-body aircraft to be purchased by an Australian domestic airline providing TAA with a clear edge over major competitor at the time, Ansett which had purchased instead, the Boeing 767-200, receiving the type approximately a year later. Ironically, although the A300s were initially painted in full Qantas livery, they were phased out within a few years being replaced by previously international operated Qantas 767-238ERs, 767-338ERs and later supplemented by seven ex British Airways 767-336ERs.
Qantas revived the Australian Airlines brand between 2002 and 2006 to serve the low-cost leisure market of visitors to and from Australia but using a full-service model, operating selected Qantas 767-338ERs – although the livery used was not the same as that used by the previous domestic operation.

View More On Wikipedia.org
  1. Erythrocyte

    Tunaposema CHADEMA ni taa ya nchi hatutanii, hebu angalia video hii

    John John Mnyika alishaweka angalizo mapema sana kuhusu chanjo ya COVID-19, sasa angalieni kilichosemwa leo .
  2. COMOTANG

    TAA na TANROADS lini mtatulipa fidia wadau wa Msalato?

    Habari za leo, napenda kukuulizeni TAA & TANROADS Ni lini MTATULIPA FIDIA wadau tuliofanyiwa uthamini toka mwaka 2018 ili kupisha ujenzi wa UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO?
  3. Mohamed Said

    TAA hakikuwa chama cha kushughulika na maslahi ya wafanyakazi waafrika wa Tanganyika

    TAA HAKIKUWA CHAMA CHA KUSHUGHULIKA NA MASLAHI YA WAFANYAKAZI WAAFRIKA WA TANGANYIKA Abdul Sykes alikuwa na fikra ya kuunda chama cha siasa toka yuko Burma wakati wa Vita Vya Pili Vya Dunia (1939 – 1945) na alipoingia katika uongozi wa TAA mwaka wa 1950 na kuwa mjumbe katika TAA Political...
  4. Mohamed Said

    Makosa katika historia ya TAA yanayohitaji kurekebishwa haraka

    Historia ya TAA kama ilivyoelezwa na CCM hapo juu inahitaji kusahihishwa. Naweka hapo chini kipande kutoka makala niliyoandika mwaka wa 2019 kusahihisha makala ya Mzee Pius Msekwa kuhusu historia ya TAA: "Katika gazeti la Tazama la leo tarehe 14 Oktoba 2019 kuna makala iliyoandikwa na Pius...
  5. Y

    Serikali ya Awamu ya Sita wekeni taa Uwanja wa Ndege wa Bukoba, msisubiri vifo na majanga

    Chonde Chonde Serikali ya Awamu ya 6 wekeni taa katika uwanja wa ndege wa Bukoba, msisubili vifo na majanga yatokee ndiyo taa hizo ziwekwe. Tatizo hili limekuwa la muda mrefu na sijui tatizo liko wapi, ambapo uwanja wa ndege wa Bukoba ni kati ya viwanja vichache nchini vyenye habiria wengi na...
  6. JituMirabaMinne

    Zima gari lako haraka kama ikiwaka taa hii kwenye dashboard

    Kama unaendesha gari lako ghafla taa hii nyekundu ikawaka ni vema ukatafuta mahali ambako pako salama ukapaki gari yako na ukaizima kwanza. Rangi nyekundu iliyoko kwenye hiyo alama inatosha kukuambia kwamba hilo ni tatizo ambalo linahitaji kutatuliwa haraka sana kabla halijaleta madhara...
  7. Mjina Mrefu

    Ukiachana na "Kazime Taa" Ni kauli gani nyingine ya ndio unayoijua?

    Wakuu, Kuna kauli nyingi za hawa warembo wetu wanazisema tukiwa katika harakati za kusaka tunda.. Ni kauli gani ukizisikia tu, unajua hapa tayari mambo yametiki? Mimi; Kazime Taa Huyu hapa bodaboda muelekeze Shusha nyingine unazozijua..
  8. CAGvsSPEAKER

    Rais Samia kupokea ripoti ya CAG, Machi 28, 2021 saa nne asubuhi Dodoma

    Mhe.Rais kesho kupokea ripoti ya CAG.
  9. M

    Taa, Polisi na adha ya foleni barabara ya Sam Nujoma

    Kwanza nianze kwa kuipongeza Serikali kwa kukamilisha interchange ya Kijazi, (Dar kama New York). Sasa kuna hizi taa zimewekwa mpya kuingia kituo cha mawasiliano, naona zinaenda kurudisha foleni ambayo ilishaisha, naomba Tanroads wafanye utafiti tena wa hizi taa isije ikawa tunarudisha tatizo...
  10. Idugunde

    Madhaifu na makosa ya Serikali ya awamu ya tano hamuwezi kuyaona kwa taa ya kandili

    Unachambua mchele ukitegemea kuona mawe kwa kutumia taa ya kandili ujue unaumiza macho. Maana ina mwanga hafifu tofauti na stima. Je, ni rahisi kuibananisha na kisha kuihukumu Serikali inayojiwajibisha yenyewe? Hapana, maana serikali makini inajisimamia inavyotakiwa. Huwezi kusikia ufisadi wa...
  11. uran

    Ni kwanini mji wa Moshi hauna taa za barabarani za kuongoza Magari?

    Wakuu imebidi niuize ili nijue. Ni kwanini mji wa Moshi ambao ndio makao makuu ya Mkoa wa Kilimanjaro hauna taa za kuongozea magari, ili hali miji midogo kama Singida, Shinyanga na Babati naona wameweka taa za kuongoza magari. Ifahamike kuwa mpaka sasa Manispaa ya Moshi ndio manispaa...
  12. Nova Co Ltd

    Nunua taa ya gari yako kwa nusu bei

    SHAM AUTO MOBILE HEADLIGHT COMPANY Ltd 2021/2022 Tumezalisha awamu nyingine ya lenzi mbadala kwa taa za gari aina ya TOYOTA IST kwa bei nafuu sana kwa seti gharama ni 240,000 OFISI ZETU ZIPO ZANZIBAR BARABARA YA MBWENI KARIBU NA CHUO CHA AFYA (SUZA) WASILIANA NASI KWA SIMU...
  13. Miss Zomboko

    Bei ya Petroli yashuka. Bei ya Dizeli na Mafuta ya taa zapanda

    Dar es Salaam. Mamlaka ya Udhibiti Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imetangaza kupungua kwa bei ya petroli kwa Sh31 kwa lita moja mwei huu. Wakati petrol ikipungua, bei ya dizeli imeongezeka kwa Sh9 wakati ile ya mafuta ya taa ikipanda kwa Sh29 kwa lita moja. Mabadiliko ya bei hizo za jumla...
  14. Transistor

    Taa za LED warm sportlight kwa ajili ya studio lights/effects au matumizi ya kwenye Ukumbi

    Zinatoa mwanga mkali ambao Ni light warm(sio mweupee ni njano kidogo) -zinatumia umeme we TANESCO -Zina Watt 20 -Ni LED -Mwanga wake Ni direct na siyo scattered -Sport light -Zipo Pc4 - Zinatumia choke,(serviceable),zikiiungua zinatengenezeka. Bei 50,000/- each Call 0682210453 Zipo Dar
  15. FrankLutazamba

    Ningekuwa mkurugenzi katika mojawapo ya majiji matano tuliyonayo(A-town,Dom,Dar,Mwanza,Mbeya na Tanga),ningeomba kila nyumba iwe na taa ya nje...

    Ningeomba kila nyumba iwe na taa ya nje na usiku iwashwe,majiji yetu yakiwa na taa za nje hasa tube light hupendeza sana hasa unapoanza kuingia toka safari. Mwisho nadhani Tabora sasa ikifikishiwa huduma ya maji yafaa iwe jiji.
  16. C

    Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Tumeboresha miundombinu, tumejenga barabara na kuweka taa. Tabora sasa kama Toronto

    Umati wa watu uliofurika kwenye uwanja wa Ali Hassan Mwinyi kwa ajili ya Mkutano wa Kampeni ya CCM mkoani Tabora leo tarehe 21 Septemba 2020 Baada ya kuwasili na kukaribishwa, awasifia wana Tabora kwa ushiriki wao katika kutafuta uhuru. Amesifia Tabora ya leo kwa kuwa na nyumba nzuri nzuri...
  17. JituMirabaMinne

    Zingatia sana kama taa za Dashboard zinawaka kabla ya kuwasha gari lako

    Unapoweka switch on kwenye gari lako ni vizuri ukahakikisha angalau taa hizi zifuatazo zinawaka kwenye dashboard ya gari lako. Taa hizo ni 1. Check engine 2. Oil pressure 3. Airbag 4. Coolant temperature 5. Battery 6. Automatic Transmission Temperature (Kama ipo) 7. ABS In fact, Ni...
  18. J

    Wavuvi Hahari ya Hindi waruhusiwa kutumia jenereta na taa za sola hadi 01/01/2021

    Waziri wa Mifugo Mhe. Mpina ameruhusu matumizi ya genereta na taa za sola wakati wa uvuvi hadi tarehe 01/01/2021 serikali itakapokuwa imefanya utafiti na itatoa maamuzi Awali matumizi ya jenereta na taa za sola yalikuwa yamepigwa marufuku ili kulinda viumbe wa baharini. Chanzo: Star tv habari!
  19. JituMirabaMinne

    Taa yoyote nyekundu kwenye dashboard ya gari yako siyo ya kuipuuza

    Asilimia kubwa ya magari huwa yanakuwa na warning lights(taa za tahadhari) za aina tatu. Aina hizi nitazitofautisha kulingana na rangi za hizo warning lights. Aina hizo ni kama ifuatavyo. 1. Kijani/Blue 2. Njano/Rangi ya machungwa 3. Nyekundu Namba moja ipo tu kwa ajili ya kukupa taarifa...
  20. tamsana

    Msaada: Laptop yangu aina ya Toshiba Tecra ina tatizo la kuwaka (blinking) taa ya charge

    Habari ya majukumu wadau. Kama ambavyo title inajieleza, Laptop yangu imegoma kuwaka na taa ya charge ina blink throughout. Nimejaribu kutoa battery na kuunganisha charge moja kwa moja lakini bado ile taa inablink. Pia nikirudisha battery ile taa inaendelea kublink throughout hadi niiondoe...
Back
Top Bottom