tahadhari

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Miss Zomboko

    Tahadhari ya upungufu wa chakula yatolewa kutokana na mvua chache

    Mamlaka ya hali ya hewa nchini TMA imetoa utabiri wa hali ya hewa kwa mwezi Oktoba, Novemba na Disemba unaonyesha kwamba maeneo mengi ya nchi yatapata mvua chache na hivyo kusababisha athari ikiwemo upungufu wa chakula. Mkurugenzi mkuu wa TMA Dkt Agnes Kijazi amesema hayo leo jijini Dar es...
  2. kirengased

    Tahadhari: Siasa isituharibie elimu yetu

    Kumekuwa na jitihada nyingi wakati wa uchaguzi wanasiasa kutaka kuonesha walivyofanya maajabu, ubaya nipale yanapotengenezwa mambo kinguvu ili kusadifu matakwa ya wanasiasa. Tunakumbuka 2013 matokeo ya K IV yalinogeshwa ili BRN (big results now) ionekane imeleta output kubwa enzi hiyo. Hivi...
  3. S

    Tahadhari kubwa sana kwa Wana CCM, usikubali

    Wapemba wanasema kaa chonjo saa mbaya. Ewe Mwana CCM upepo unaovuma ni kivumbi cha wananchi walio wengi tena wenye hasira ambao wameamua kupiga kura kwa kishindo kuondoa utawala na kusimika uongozi. Usikubali kutumika kuingilia au kutumwa kuvuruga mwendo kasi huo, watawala watakuja kukukana na...
  4. Chizi Maarifa

    Tahadhari: Wanawake wengi hatarini kukamatwa/kufungwa. Tujulishane hili

    Kutokana na TAKUKURU kuonekana wamepewa meno kukamata wanaotaka rushwa na pia watoaji. Kuna hatari kubwa ya wanaume na wanawake wengi kukamatwa. Tunajua jinsia ambavyo wadada wengi wamekuwa hawakubali kutoa penzi mpaka wapewe rushwa jambo hili limeonekana luwa linaleta changamoto kwa maskini...
  5. Kididimo

    Uchaguzi 2020 Tahadhari kubwa: CHADEMA msipompitisha Lissu, mmekwisha. Si ajabu msipate hata Diwani mmoja. Mbowe take note

    Tumaini la wafuasi wa siasa za Upinzani wa vyama vya siasa nchini na katika uchaguzi 2020 ni Comrade Tundu Lisu . Kwa mtizamo wa wengi na kwa utafiti niliofanya, Lisu is the last breath, any other way round is a stupidity! Take note! Kamati za Chama Chake kuweni makini kuanzia leo hadi...
  6. Jidu La Mabambasi

    ATC tahadhari: Ndege isiporuka muda mrefu kuna hatari!

    Wenzetu Kenya Airways wametonywa, ndege zao ambazo hazijaruka hewani muda mrefu, watalazimika kuzipeleka service nzito, ama sivyo kuna hatari ya engine zake ku- stall (kuzima) hewani. Kwa hiyo Air Tanzania vile vile wauchukue mtonyo huo na kuufanyia kazi. US issues safety alert for 10 KQ Boeing...
  7. A

    Umoja wa Mataifa Nchini watoa tahadhari kuja kwa Tundu Lissu

    Ninaishauri serikali ifanye mahesabu yake vizuri katika ujio wa Lissu leo. Hili tukio linafuatiliwa kwa umakini sana na mabalozi na Shirika la Umoja wa Mataifa Nchini. Jana usiku email ilitumwa na Umoja wa Mataifa kwenda kwa taasisi zake nchini na baadhi ya balozi na mashirika ya kifedha ya...
  8. M

    Wakati nchi ya jirani imerekodi visa 15,601 vya korona, Tanzania inapaswa kuchukua tahadhari kwenye mipaka yake

    Kufikia jana tayari Kenya imerekodi visa 15601 vya wagonjwa wa korona huku visa 700 vikirekodiwa kwa Jana pekee. Hali inazidi kuwa mbaya zaidi kwa nchi hii jirani. Mwingiliano baina ya raia wa nchi hizi mbili ni mkubwa mno na kama Tanzania ikiendelea kurelax na kuona kwamba hili siyo gonjwa la...
  9. J

    #COVID19 Coronavirus: Fahamu kiundani kuhusu Virusi hivi | Usambaaji, Dalili na Kinga

    Kirusi cha korona (Corona virus), ni kimelea chenye gamba na kutunza vinasaba vyake katika malighafi za RNA. Corona virus ni kisababishi cha magonjwa mbalimbali na vimelea hivyo vina makabila mbalimbali. Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus) - JamiiForums COVID-19-...
  10. Japhet Karibu

    CHADEMA hatutaki maandamano yenu Jumatatu kumpokea Lissu, tuko katika msiba mkubwa wa kitaifa wa Marehemu Benjamin W. Mkapa

    Kama kichwa kinavyojieleza hatutaki kuona maandamano yenu Jumatatu kwa kumpokea mtu wenu huyo tuko katika majonzi makubwa kwa kuondokewa na Rais wetu mstaafu marehemu Mhe. Benjamin Mkapa. Na Mungu wetu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. Amina.
  11. state agent

    DENI LA TAIFA: Benki ya dunia yaitahadharisha Tanzania

    Benki ya dunia imeitahadharisha Serikali ya Tanzania juu ya ukubwa wa deni lake lililofikia trillion 47+ kwa rekodi mpaka mwezi Mei mwaka huu. Imetaja japo deni bado ni himilivu lakini Tanzania lazima iwe makini maana linaelekea kutokuhimilika Chanzo: Mwananchi ==== Licha ya Serikali...
  12. S

    Wataalamu wa ndege wanatoa tahadhari kwamba ndege za ATR 72 haziko salama tena kusafiria; Precision Airways bado wanazitumia?

    Katika pitapita yangu ya kupata habari za dunia, nimekutana na habari ambayo imenishitua sana ikisema ndege za ATR ambazo hapa kwetu zinatimiwa na Precision Airways si salama tena kusafiria, na hata sasa zinaingizwa katika orodha ya ndege mbaya duniani zilizowahi kutengenezwa (the worst planes...
  13. Miss Zomboko

    TMA yatoa tahadhari ya upepo mkali unaoweza kuharibu mazao ya chakula

    Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA), imewataka wananchi wa mikoa ya Njombe, Songwe, Mbeya na Ruvuma, kuchukua tahadhari kufuatia kuwepo kwa upepo mkali ambao unaweza kusababisha mazao yao ya chakula kuathirika.
  14. G Sam

    Ubalozi wa Marekani waituhumu Tanzania kuficha takwimu za COVID 19, wasema kwa hali hii hauwezi kutoa hatima ya raia wake

    Wamekuja tena na tuhuma. Muwaite tena. Wanawatuhumu kuficha takwimu tangia April 29 mwaka huu. Hawawezi kutoa hatima ya raia wake kwa kuwa hamueleweki.
  15. MK254

    Licha ya Watanzania kuwalilia Marekani waache kuwatangaza, jamaa watangaza tahadhari nyingine dhidi ya Tz

    Hivi majuzi balozi wa USA nchini Tanzania alialikwa na wizara ya mambo ya nje, wakamsihi sana kwamba Marekani iache mambo ya kutangaza tangaza hali ya Corona ilivyo Tanzania, lakini mabeberu huwa wakaidi sana, wana jeuri isiyo ya kawaida, wamejibu kwa kutoa tahadhari nyingine dhidi ya Tanzania...
  16. Miss Zomboko

    Waziri Ummy: CoronaVirus bado ipo, tuendelee kuchukua tahadhari

    Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema idadi ya wagonjwa wa Corona nchini waliobaki kwenye vituo vya matibabu imepungua mno. Akizungumza Leo mkoani Tanga wakati wa ziara ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa mkoani humo amesema: “Tanga hatuna mgonjwa wa Corona, Amana wamebaki 3, Mloganzila 1, Kibaha 0...
  17. P

    Tahadhari za corona zinapuuzwa

    Katika hali isiyokuwa ya kawaida maeneo mengi ya jiji la Dar wakazi wake wameacha au kupunguza kuwa na tahadhari na ugonjwa huu .... Watu hawavai barakoa watu hawànawi kama ilivyokuwa siku chache gonjwa likipopamba moto. Mwanzoni ilikuwa tahadhari ipo kila mahala na hata ndani ya mabasi ya...
  18. Brilucy

    Cheka kwa tahadhari

    Kichaa mmoja wa kiume alikatiza porini akiwa uchi kama alivyozaliwa wanyama wote wakatoka spidi kumkimbia. Fisi akamuuliza simba, imekuwaje hadi wewe mfalme wetu umekimbia? Simba akamjibu weee! nani hajipendi? Tokea nzaliwe sijawahi ona mnyama mwenye mkia kwa mbele. #MAN_VIBES
  19. mkiluvya

    TANAPA yatakiwa kuongeza idadi ya Mabango ya tahadhari barabarani kupunguza idadi ya wanyamapori wanaogongwa

    Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Constantine Kanyasu ametoa agizo kwa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) kuongeza idadi ya mabango ya barabarani yanayoonyesha tahadhari na faini kwa madereva watakaogonga wanyamapori katika barabara ya Babati kuelekea Arusha. Ametoa agizo hilo...
Back
Top Bottom