tahadhari

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Maleven

    #COVID19 Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19

    Uzi huu ni mrefu. Ukichangia naomba ujikite Zaidi katika kutoa maoni yako lakini kukosoa kunaruhusiwa. Binafsi nadhani maamuzi haya yangechukuliwa mwezi mmoja uliopita pale Waziri Mkuu alipotangaza kuzifunga shule na vyuo, lakini haikuwa hivyo badala yake shule zilifungwa kisha hakukuwa na...
  2. No Escape

    Tahadhari: Watu hawa wanaokuzunguka

    1. Kuna watu wanapenda kusikia taarifa zako mbaya kuliko njema. 2. Kuna watu wanakuwa wa kwanza kukupa taarifa mbaya kuliko njema. 3. Kuna watu Ukipata tatizo lolote wao ndio wa kwanza kukupigia simu wakati hujatoa taarifa popote. 4. Kuna watu kila unachokifanya wanakifatilia halafu wanacomments...
  3. M

    Wakati tunaambiwa: "Chapa kazi, chukua tahadhari" Hali halisi ni hii...

    Mkakati - kama mtu anaweza kuuita hivyo- wa serikali ya awamu ya tano kupambana na COVID-19 kuwaambia watu "waendelee kuchapa kazi huku wakichukua tahadhari". Binafsi ninachokiona ni kuwa serikali hii imeamua kufuata falsafa ya "do-nothing-and-the-problem-will-go-away". Kwa nini? 1. Naomba mtu...
  4. Tz boy 4tino

    Kuweni makini sana kipindi hichi cha mvua. Tazama video mpaka mwisho

    Hii imetokea jijini Kampala nchini Uganda katika barabara ya Jinja. Tazama mpaka mwisho
  5. Deejay nasmile

    Ni kweli kuna vyakula ambavyo husabisha kifo vikiliwa kwa wakati mmoja?

    Katika pitapita zangu nimekutana na hii habari, kuwa kuna vyakula/vinywaji hutakiwi kula kwa wakati mmoja. Yaani "mfano" ule yai wakati huo huo ule ndizi utakufa. Je ni kweli na kama kweli vipo? Msaada wa kuvitaja
  6. Invisible

    TAHADHARI: Kuna matapeli! Fuata taratibu hizi...

    Wakuu, Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena: Mnapoamua kufanya biashara yoyote nje au ndani ya JF bila kutushirikisha msiilaumu JF. Tunafahamu kuna ambao...
Back
Top Bottom