takukuru

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. and 300

    Lengo la kuanzishwa TAKUKURU lilikuwa ni nini?

    1. TAKUKURU ilianzishwa kwa malengo gani? Mwenye kujua tafadhali. 2. Je malengo (angalau moja) ya uanzishwaji wake yametimia? **Vigezo gani hutumika kupima utendaji bora wa watumishi wa TAKUKURU?
  2. JamiiForums

    Nathanael Atanas Mpasi aibuka mshindi maalumu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU). Ajinyakulia shilingi milioni 5

    Nathanael Atanas Mpasi ni Mwanachama hai wa JamiiForums.com ambaye ameonesha kuwa mmoja wa Wanachama wanaopinga suala la Rushwa katika Sekta mbalimbali Amefanya hivyo katika maandiko yake kupitia Jukwaa la Stories of Change (SoC) Mwaka 2023 na 2024 na 2024, amekuwa mstari wa mbele kuweka...
  3. A

    DOKEZO TAKUKURU, TAMISEMI mje Karagwe - Kagera, Walimu Wakuu na Maafisa Elimu (Karagwe) wanaumiza wanaopewa tenda

    Hapa Halmashauri ya Wilaya Karagwe, Mkoa wa Kagera kuna changamoto kubwa ya kukosekana kwa uadilifu na uwajibikaji unaofanywa hasa na Walimu Wakuu wa Shule pamoja na Ma-Afisa Elimu katika ngazi ya Shule za Msingi. Inapotokea kuna tenda Mkandarasi anapata inayohusu Shule fulani, ili uweze kupata...
  4. Selwa

    Tenda za serikali Miyeyusho, Takukuru mnatakiwa kuchunguza

    Juzi katika kikao kimoja hoteli kubwa nchini nikakutana na mfanyabiashara mkubwa, nikamwambia mwanangu mbona hauongezi wigo wa biashara yako, akanijibu Tanzania haina biashara halali na ukafanikiwa. Doh nikastuka., tajiri akaendelea kuniambia Yeye ana duka kubwa ana mikataba na kampuni private...
  5. I

    TAKUKURU wanamgwaya Tundu Lissu kumuhoji kuhusu rushwa ya Abdul

    Mara kadhaa Makamu Mwenyekiti wa Chadema amedai mtoto wa Rais Samia aitwai Abdul alikwenda nyumbani kwake akiwa na kiongozi wa mmoja wa Chadema kwa ajili ya kumpa rushwa ili alegeze misimamo yake dhidi ya serikali. Tundu Lissu hakuishia hapo bali amesema Abdul alimweleza kuwa amekwisha gawa...
  6. T

    Napendekeza: TAKUKURU wajifanye kama kondakta wa daladala ili wadake traffic wala rushwa

    Nina pendekeza kama kweli TAKUKURU wako pale kumdhibiti na kupambana na rushwa basi wajifanye kama Kondakta wa daladala hasa za hapa Dar Es Salaam ili wakamate Traffic ambao wanaomba rushwa. Kama hilo haliwezekani basi nashauri hiki kitengo aidha kifutwe au kibadilishiwe majukumu. Maana...
  7. Pang Fung Mi

    DOKEZO TAKUKURU Naomba Msitumike Vibaya kwa mambo ya Kizembe na Kijinga ya TRC kwenye Tickets za SGR

    Salamu kwenu nyote. Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye uwezo wa kuiga na kupanga mambo mazuri sana, ikiwemo sera na kuweka mikakati ya uwanzishwaji wa mambo ya kimaendeleo. Hali kadhalika ni nchi inayoongoza kwa kujifelisha yenyewe kimakusudi huku ikijivika upofu wa kimakusudi. Ni Taifa...
  8. Roving Journalist

    Baadhi ya abiria treni ya SGR wadaiwa kuihujumu TRC, nauli haziendani na safari zao

    Abiria wanaotumia Treni ya SGR kutoka Dar es salaam - Morogoro hadi Dodoma wametuhumiwa kuhujumu shirika la reli Tanzania TRC kwa kutolipa nauli ambazo zianendana na sehemu wanazoelekea au vituo wanavyoshukia. Akizungumza na waandishi wa habari Naibu Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Morogoro...
  9. Roving Journalist

    TAKUKURU yasema UDART walisaini makubaliano batili kujenga maduka katikati ya Barabara

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Wilaya ya Temeke imebaini kuwa baadhi ya Watumishi wa Wakala wa Mabasi Yaendao Haraka (UDART) waliingia makubaliano batili na Watendaji wa Kampuni ya Sahara African Beauty kwa ajili ya kujenga jengo la kudumu lenye vyumba 60 kinyume na Sheria...
  10. Nyankurungu2020

    Pamoja na January Makamba kutumbuliwa. Takukuru wampeleke Mahakamani na Maharage Chande kwa mkataba feki na Mahindra Tech akiwa Waziri wa Nishati

    Kwa akili gani ya kawaida unaweza kukubali kuwa Mahindra Tech walilipwa bilioni 80+ eti kuboresha ufanisi wa Tanesco? Ufanisi wenyewe eti kuboresha softwares na huduma za kidigital za Tanesco ili kuboresha miundo mbinu. Lakini hakuna kilichofanyika zaidi ya bil 80 plus kuliwa na Makamba...
  11. NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

    TAKUKURU - Uyui Tabora, chunguzeni Tuhuma za rushwa kwa mtendaji kata ya Loya kwenye zoezi la Uandikishaji wa wapiga kura

    Tume huru ya uchaguzi ilitoa nafasi za kazi kwenye kuboresha daftari la mpiga kura na wazalendo waliomba kulitumikia taifa lao! Cha kusikitisha Mtendaji kata wa Loya akaanza kushawishi waombaji watoe 25000/= Ili kujihakikishia kupata nafasi hizo na wale ambao hawakutoa chochote...
  12. Copro mtego

    KERO Hospitali ya mkoa Morogoro kuna huduma mbovu na uuzaji wa dawa bila utaratibu

    Jana nilikuwa nafanya mawasiliano na rafiki yangu aliyempeleka mama yake hospitali ya MKOA MOROGORO. Aliyoniambia nilishangaa na kusikitisha sana Kwanza mama alikuwa anaumwa tumbo ameharisha kweli alipewa drip (rl) lakini mtoto wa mgonjwa alilazimishwa kuinunua ilihali mgonjwa ana bima. Mtoto...
  13. S

    TAKUKURU mko wapi Kashfa ya Sukari?

    TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU mko wapi kwenye hii kashfa ya Sukari? mmeshamsikia Waziri Bashe, Mmeshamsikia Mpina, mmeshamsikia Tulia, mmeshaisikia Kamati ya Bunge, mmeshawasilikia wazalishaji na mmeshamsikiliza mkurugenzi wa Bodi ya Sukari na maoni mbalimbali ya watanzania...
  14. ChoiceVariable

    Mahakama Kuu Tanzania yaamuru kusikilizwa upya kesi iliyokuwa inamkabili Mhasibu wa zamani wa TAKUKURU

    Kigogo huyo alikuwa anashitakiwa Kwa kosa la kuwa na Mali ambazo Hazina maelezo karibia Bilioni 4. Mahakama Kuu imemuachia huru lakini akatiwa mbaroni tena Kwa DPP kukata Rufaa. My Take Mwenye pesa hajawahi fungwa hapa Tanzania labda Gen-Z waje wajitoe ufahamu ndio heshima itakuja. ====...
  15. F

    SoC04 TAKUKURU inawezaje kufuatilia matumizi ya fedha za miradi ya maendeleo ili kuzuia ubadhirifu na udanganyifu?

    Utangulizi Kufuatilia matumizi ya fedha za miradi ya serikali ni muhimu ili kuhakikisha uwazi, uwajibikaji, na matumizi sahihi ya rasilimali za umma. TAKUKURU jama taasisi inayosimamia kuzuia na kupambana na Rushwa nchini Tanzania ina wajibu mkubwa wa kuhakikisha kuwa fedha za miradi ya...
  16. M

    SoC04 Kuwe na mageuzi ya TAKUKURU na CAG ili kukomesha rushwa, ufisadi, ubadhirifu na matumizi mabaya ya fedha za umma yanayoibuliwa kila mwaka na CAG

    Mabadiriko yanatakiwa kufanyika katika utendaji wa Takukuru na CAG ili kuzuia ubadhirifu na ufisadi katika miradi na fedha za uma zinazotolewa na serikali. Kama sheria ya 2007 inayoipa takukuru mamlaka ya kuzuia rushwa, ufisadi, ubadhirifu na matumizi mabaya ya fedha ya serikali. Awali ni...
  17. D

    Bodi ya Simba upande wa mashabiki wanataka kumtapeli Mo Simba yake

    Story hii ya CPA CPA Issa Masoud ni miongoni mwa Wajumbe waliongea na Waandishi na kueleza kuwa kuna vitu wanapishana na Muwekezaji MO Dewji kwa sababu vinakiuka utaratibu na matakwa ya kikanuni na sheria. “Hatuwezi kuwa na taasisi ambayo kila baada ya muda fulani watu wanajiuzulu, fedha zote...
  18. Bushmamy

    Kuna Umuhimu wowote wa sasa kuwa na Taasisi ya TAKUKURU ?

    Taasisi hii ilianzishwa kwa lengo la kupambana na rushwa, na pia taasisi hii haikuanzishwa kwa lengo la kukamata wala Rushwa wadogo Pekee bali walaji wa aina zote wa rushwa. Mara nyingi sana tumekuwa tukisikia viongozi wakiwaamrisha maafisa wa Takukuru "kamata yule weka ndani" lakini wengi...
  19. I

    Ripoti ya Takukuru kuhusu 'ujenzi holela wa vituo vya mafuta' ilibaini Kituo cha Lake Oil Kawe kipo eneo salama? mbona kinabomolewa na kujengwa upya

    Miezi sita iliyopita hapa jukwaani kulikuwepo na mijadala kuhusu ujenzi holela wa vituo vya mafuta hali ambayo inadaiwa kuhatarisha usalama wa Wananchi kutokana na vituo hivyo kujengwa karibu na makazi ya watu. Mfano wa Kituo cha mafuta kilichotajwa ni kituo cha Lake Oil kilichopo Kawe...
  20. J

    JamiiForums yaendesha Mafunzo kwa Maafisa Mawasiliano wa Vitengo vya Serikali pamoja na TAKUKURU

    Mei 16 na 17 2024, JamiiForums iliendesha mafunzo ya siku mbili kwa Maafisa Mawasiliano wa Mikoa pamoja na Maafisa wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) yakilenga kuwajengea Uwezo katika nyanja mbalimbali ikiwemo Ulinzi wa Taarifa...
Back
Top Bottom