Habari.
Hii ni kwavijana na wapambanaji wenzangu. Hizo picha happy juu Ni safari ya mafanikio ya maisha yangu.
Mimi Ni kijana niliye zaliwa kwenye familia masikini, nikasoma katika shule za selikari kwa shida sana.
Hatabaada ya kumaliza masomo, sijawai pata kazi ya kuajiriwa. Nimelelewa na...