Kama kichwa hapo juu kinavyojieleza.
Mtakumbuka Rais magufuli alitoa kibali cha kuajiri walimu 13,000 ili kukabiliana na tatizo la upungufu wa walimu nchini.
Katika kibali hicho, serikali iliamua kutoa ajira hizo katika awamu mbili ambapo katika awamu ya kwanza zilitolewa ajira 8,000 zikasalia...