1. POSITION TITLE: OFFICE SECRETARY (1 POST).
Educational/ Professional Qualifications:
● A National form IV/VI certificate.
● Must have a NTA level 6 Certificate in secretarial Services or equivelent from any College recognized by NACTE.
● Work Experience: He/she must have at least three (3)...
1. JOB TITLE: LABORATORY ASSISTANT (ONE) 1 POST
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
● Collection of material samples from various construction sites.
● Investigation of borrow-pits
● Making sure that laboratory equipments are well taken care of.
● Make timely reports on equipments that need repair...
TANROADS, mbona barabara ya kuingia stand ya mabasi Mbezi Luis progress yake ni zero? Au ndo imeyeyuka hivyo? Je, hii ya njia sita mbona pia hakuna kinachoendelea?
Kwa miaka hii sita, TANROADS imetoa viongozi wengi katika fani mbalimbali nchini. Nani asiyejua kuwa ni TANROADS ambao walikuwa nguvu kubwa ya mheshimiwa Magufui hadi kushika madaraka ya Urais.
Nguvu ya TANROADS imetumika kisiasa na tumeona wafanya kazi wa TANROADS wakipelekwa sehemu mbali...
Kwa masikitiko, tena makubwa, nimepata habari za kifo cha Manager wa TANROADS mkoa wa Dar es Salaam, Mhandisi Ngussa.
Alikuwa rafiki yangu zaidi ya miaka 20. Kwa kweli nimeumia.
Nimeongea naye last week kumpa pole ya changamoto....!
Mungu amuweke mahali pema.
RIP.
TANROADS wana wahandisi wabobezi wengi tu. Lakini katika ukarabati wanaotaka kufanya hapo Bagamoyo Rd/Goba rd junction, wameshindwa kabisa kufanya matayarisho ya kutosha. Leo asubuhi foleni ni mbaya mno upande wa Bagamoyo rd.
Hivi mbona hawaoni wenzao pale Mwenge-Morocco kazi zinaenda na...
Miye ni mjasirialmali mwenye hamu ya kujikwamua kiuchumi. Naomba kujua yafuatayo kuhusu kodi ya mabango ya matangazo ya biashara:
1. Ukiweka bango kwenye Barababa, kwa mfano ya Sirari - Mwanza linatozwa kodi na TARURA au na TANROADS? Nauliza kuhusu hizi taasisi mbili kwa vile inavyoelekea hili...
Mheshimiwa Rais tumehangaika mapaka tumeona tukuandikie kupitia jukwaa hili utusaidie sisi wanyonge wa kijiji cha Igingilanyi ambao tumetakiwa kuhama ili kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege wa Nduli uliopo katika manispaa ya Iringa.
Baada ya kuelimishwa wananchi hatukuwa na pingamizi la mradi...
Mgombea wa Urais wa JMT kupitia CCM, Dkt. Magufuli
Dkt. Magufuli anaendelea na kampeni na leo yuko Itigi mkoani Singida.
Magufuli akiwa na Mwigulu na wanaCCM wakiserebuka
Akiwa huko akaongelea uzuri wa nyumba za Singida na kusikitika zinavyopigwa vumbi ndipo ghafla akaitwa meneja wa Tanroad...
Ndugu zangu,
Kipekee, napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu Muumba Mbingu na Nchi kwa kutupa uhai na chakula.
Hili suala la kumsubiri Mh. Raisi ndiyo atatue kero za wanachi katika eneo husika na huku wateule wake aliowateua ili kumsaidia hizi kazi, huwa linanipa maswali mengi sana. Mojawapo ya...
Waziri wa ujenzi mh Kamwele amewaondoa madarakani mameneja wa Tanroads wa mikoa ya Lindi na Pwani kufuatia kushindwa kuifanyia matengenezo barabara ya Dar hadi Mtwara.
Maamuzi hayo ya mh Kamwelwe yanafuatia maagizo yaliyotolewa jana na Rais Magufuli ya kutaka hatua zichukuliwe kutikana na ubovu...
Hilo tinga tinga limeharibikia hapo makutani ya service rodi na Bagamoyo rodi kwa wiki ya pili sasa. Magari yanapata taabu kupita na hata kuleta hatari za ajali. Hapo ni Bagamoyo rodi eneo la GOIG.
Maajabu ya tumbuzi ya Arusha ya meneja TARURA kuwa hajaleta wananchi kushuhudia vishindo vya awamu ya tano tumeyaona.
Kuwa TANROADS au TARURA Biharamulo na Ngara wangali wanadunda maofisini hata katika ubovu huu wa barabara uliopo usio mfano? Ama kweli kama hii si moja ya maajabu ya Mussa basi...
Building a gravel road takes planning, preparation and the use of specialised grading and compacting equipment. Ideally, you want a smooth, uniform surface that can handle heavy loads and heavy weather without breaking up.
For highly detailed instructions and insights on how to build a gravel...
Wana Jf kwa yoyote mwenye uzoefu na interview za Tanroads naomba mbinu zaidi na most of questions ambazo huwa wanatoa katika usaili.
Nimeitwa usaili wa weighbridge operator Tanroads geita usaili unafanyika tarehe 22 mwezi huu wa 6.
Kwanza
1. Kuna nafasi ya kutosha
2. Gharama yake ni ndogo
3. Inge wezesha magari kubadili njia kwa haraka na kuondoa foleni milele.
Ulinganisha na vituko vilivyo jengwa pale mbezi , kwa kweli Tanroads imezeeka.. na haina jipya. Daraja la ubungo lenyewe kama sio mchina kukataa design...
Kwenu TANROADS,
Najua hii barabara mnaijua na mnajua kwamba iko chini yenu. Kwa kweli hii Barbara ni kero zaidi ya kero. Kila siku utakutana na magari ya abiria njiani yameharibika. Magari binafsi ndio usiseme.
Kwa kweli wakazi wanaotumia hii Barbara wamekuwa wahanga wakubwa kwa kukosa magari...
Nilisema wazi, kwamba kuna ajali nyingi sana na watu kufa nchini na sababu kubwa ni uzembe wa TANROADS, wala sio suala la madereva. Ndio kuna ajali zinazotokea kutokana na uzembe wa madereva, lakini si kila ajali inatokana na uzembe wa dereava. Dereva anaweza kuwa mzembe na kusababisha ajali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.