tanroads

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ushimen

    New government jobs at tanroads (mara region), april 2021- various posts

    1. POSITION TITLE: OFFICE SECRETARY (1 POST). Educational/ Professional Qualifications: ● A National form IV/VI certificate. ● Must have a NTA level 6 Certificate in secretarial Services or equivelent from any College recognized by NACTE. ● Work Experience: He/she must have at least three (3)...
  2. Ushimen

    Job Opportunities At TANROADS Kigoma Region, April 2021- (5 Various Posts)

    1. JOB TITLE: LABORATORY ASSISTANT (ONE) 1 POST DUTIES AND RESPONSIBILITIES ● Collection of material samples from various construction sites. ● Investigation of borrow-pits ● Making sure that laboratory equipments are well taken care of. ● Make timely reports on equipments that need repair...
  3. K

    TANROADS, vipi ile kasi ya kumalizia barabara kuingia stand kuu ya Mbezi Luis na njia sita Kimara hadi Kibaha? Mbona hakuna kinachoendelea?

    TANROADS, mbona barabara ya kuingia stand ya mabasi Mbezi Luis progress yake ni zero? Au ndo imeyeyuka hivyo? Je, hii ya njia sita mbona pia hakuna kinachoendelea?
  4. Jidu La Mabambasi

    TANROADS sasa mkae mguu sawa

    Kwa miaka hii sita, TANROADS imetoa viongozi wengi katika fani mbalimbali nchini. Nani asiyejua kuwa ni TANROADS ambao walikuwa nguvu kubwa ya mheshimiwa Magufui hadi kushika madaraka ya Urais. Nguvu ya TANROADS imetumika kisiasa na tumeona wafanya kazi wa TANROADS wakipelekwa sehemu mbali...
  5. Ushimen

    Tanzania National Roads Agency (TANROADS) Vacancies, March 2021- (10 Posts)

    JOB OPPORTUNITIES Bonyeza hapo chini kudownload PDF:
  6. Jidu La Mabambasi

    TANZIA Meneja wa TANROADS Mkoa wa DSM, Mhandisi Ngusa Julius afariki dunia

    Kwa masikitiko, tena makubwa, nimepata habari za kifo cha Manager wa TANROADS mkoa wa Dar es Salaam, Mhandisi Ngussa. Alikuwa rafiki yangu zaidi ya miaka 20. Kwa kweli nimeumia. Nimeongea naye last week kumpa pole ya changamoto....! Mungu amuweke mahali pema. RIP.
  7. Jidu La Mabambasi

    Ukarabati eneo la Bagamoyo/Goba Roads junction: TANROADS hamjafanya matayarisho ya kutosha!

    TANROADS wana wahandisi wabobezi wengi tu. Lakini katika ukarabati wanaotaka kufanya hapo Bagamoyo Rd/Goba rd junction, wameshindwa kabisa kufanya matayarisho ya kutosha. Leo asubuhi foleni ni mbaya mno upande wa Bagamoyo rd. Hivi mbona hawaoni wenzao pale Mwenge-Morocco kazi zinaenda na...
  8. cliff

    Kodi za mabango ya biashara zikoje?

    Miye ni mjasirialmali mwenye hamu ya kujikwamua kiuchumi. Naomba kujua yafuatayo kuhusu kodi ya mabango ya matangazo ya biashara: 1. Ukiweka bango kwenye Barababa, kwa mfano ya Sirari - Mwanza linatozwa kodi na TARURA au na TANROADS? Nauliza kuhusu hizi taasisi mbili kwa vile inavyoelekea hili...
  9. Mantombazane

    Rais Magufuli tusaidie Wananchi tunaopisha upanuzi wa Uwanja wa Ndege Iringa. Tanroads wanatusumbua sana kutulipa fidia ya mali zetu

    Mheshimiwa Rais tumehangaika mapaka tumeona tukuandikie kupitia jukwaa hili utusaidie sisi wanyonge wa kijiji cha Igingilanyi ambao tumetakiwa kuhama ili kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege wa Nduli uliopo katika manispaa ya Iringa. Baada ya kuelimishwa wananchi hatukuwa na pingamizi la mradi...
  10. Replica

    Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Sio hongo, mimi bado ni Rais, natangaza tenda ya barabara za mjini Itigi KM 10

    Mgombea wa Urais wa JMT kupitia CCM, Dkt. Magufuli Dkt. Magufuli anaendelea na kampeni na leo yuko Itigi mkoani Singida. Magufuli akiwa na Mwigulu na wanaCCM wakiserebuka Akiwa huko akaongelea uzuri wa nyumba za Singida na kusikitika zinavyopigwa vumbi ndipo ghafla akaitwa meneja wa Tanroad...
  11. K

    Kuhusu kutumbuliwa kwa managers wa Tanroads mkoa wa Pwani na Lindi

    Ndugu zangu, Kipekee, napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu Muumba Mbingu na Nchi kwa kutupa uhai na chakula. Hili suala la kumsubiri Mh. Raisi ndiyo atatue kero za wanachi katika eneo husika na huku wateule wake aliowateua ili kumsaidia hizi kazi, huwa linanipa maswali mengi sana. Mojawapo ya...
  12. J

    Safari ya Rais Magufuli kwa barabara yawatumbua mameneja wa TANROADS Lindi na Pwani

    Waziri wa ujenzi mh Kamwele amewaondoa madarakani mameneja wa Tanroads wa mikoa ya Lindi na Pwani kufuatia kushindwa kuifanyia matengenezo barabara ya Dar hadi Mtwara. Maamuzi hayo ya mh Kamwelwe yanafuatia maagizo yaliyotolewa jana na Rais Magufuli ya kutaka hatua zichukuliwe kutikana na ubovu...
  13. masopakyindi

    TANROADS, Polisi hela ya faini hamuioni?

    Hilo tinga tinga limeharibikia hapo makutani ya service rodi na Bagamoyo rodi kwa wiki ya pili sasa. Magari yanapata taabu kupita na hata kuleta hatari za ajali. Hapo ni Bagamoyo rodi eneo la GOIG.
  14. B

    TANROADS Biharamulo, Ngara wanadunda TARURA Arusha kama vile

    Maajabu ya tumbuzi ya Arusha ya meneja TARURA kuwa hajaleta wananchi kushuhudia vishindo vya awamu ya tano tumeyaona. Kuwa TANROADS au TARURA Biharamulo na Ngara wangali wanadunda maofisini hata katika ubovu huu wa barabara uliopo usio mfano? Ama kweli kama hii si moja ya maajabu ya Mussa basi...
  15. Tabutupu

    Building a Great Gravel Road: 10 Basic Principles

    Building a gravel road takes planning, preparation and the use of specialised grading and compacting equipment. Ideally, you want a smooth, uniform surface that can handle heavy loads and heavy weather without breaking up. For highly detailed instructions and insights on how to build a gravel...
  16. S

    Mwenye uzoefu na Interview za Tanroads naomba muongozo

    Wana Jf kwa yoyote mwenye uzoefu na interview za Tanroads naomba mbinu zaidi na most of questions ambazo huwa wanatoa katika usaili. Nimeitwa usaili wa weighbridge operator Tanroads geita usaili unafanyika tarehe 22 mwezi huu wa 6.
  17. Tabutupu

    Hii ndio design pekee ambayo ingemaliza tatizo la foleni Mbezi Mwisho

    Kwanza 1. Kuna nafasi ya kutosha 2. Gharama yake ni ndogo 3. Inge wezesha magari kubadili njia kwa haraka na kuondoa foleni milele. Ulinganisha na vituko vilivyo jengwa pale mbezi , kwa kweli Tanroads imezeeka.. na haina jipya. Daraja la ubungo lenyewe kama sio mchina kukataa design...
  18. Ed Kawiche

    baada ya Barabara ya Juu (Flyover) Ubungo (MRK) kuanza kutumika

    nimecheka sana nilipoisikiliza lafudhi ya huyu jamaa..., anaonekana mwenye furaha sana.
  19. A

    TANROADS tunaomba na barabara ya Mbezi Mwisho kwa Yusufu-Mpigi Magoe via Mbezi High ipangwe kwenye bajeti, hata ile ya 2021/2022

    Kwenu TANROADS, Najua hii barabara mnaijua na mnajua kwamba iko chini yenu. Kwa kweli hii Barbara ni kero zaidi ya kero. Kila siku utakutana na magari ya abiria njiani yameharibika. Magari binafsi ndio usiseme. Kwa kweli wakazi wanaotumia hii Barbara wamekuwa wahanga wakubwa kwa kukosa magari...
  20. S

    Kwa hili la TANROADS na Mfugale nadhani Magufuli ameanza kunielewa

    Nilisema wazi, kwamba kuna ajali nyingi sana na watu kufa nchini na sababu kubwa ni uzembe wa TANROADS, wala sio suala la madereva. Ndio kuna ajali zinazotokea kutokana na uzembe wa madereva, lakini si kila ajali inatokana na uzembe wa dereava. Dereva anaweza kuwa mzembe na kusababisha ajali...
Back
Top Bottom