Ref. No. AB.322/267/01/02
The Tanzania National Roads Agency (TANROADS) is an Agency under the Ministry of Works and Transport which is responsible for the Development and Maintenance of the Trunk and Regional Roads Network in Tanzania Mainland. Apart from this, it is also responsible in...
Eti leo Kamati ya Bunge ya Kusimamia Mashirika ya Umma(PAC), imekuja na taarifa kuwa TANROADS wametumia zaidi ya shilingi bilion 600 bila ya idhini ya Bunge na kwamba taarifa ya TANROADS inatia mashaka (kuna uongo).
Binafsi najiuliza katika hili ni nini cha ajabu?
Je,taarifa za aina hii...
TANROADS, kuweni na huruma aisee. Hivi huku kibamba mnajua mnamiliki barabara mbovu sana?
Je kazi mliyopangiwa ya kuassess barabara na kupeleka mapendekezo kwa Mh Rais mliifanya?
Ni lini mtaacha hii kwangua kwangua na kumwagilia maji barabara badala ya kutafuta suluhisho la kudumu?
Kwa kweli...
Kwanza nikupongeze mzee wangu kwa uteuzi wako naamini Mungu hamtupi mja wake.
Mwisho nimefurahi kuona umeanza kukimbizana na TANROADS kuhusu kiwango cha lami.
Ukipata muda asubuhi nenda na vijana wa Tanroads mpaka kwa Musuguri geuzeni njoo Kimara hapa kati haya mawimbi ni aibu nilijaribu...
The Tanzania National Roads Agency (TANROADS) is an Agency under the Ministry of Works and Transport which is responsible for the Development and Maintenance of the Trunk and Regional Roads Network in Tanzania Mainland.
The Regional Manager-TANROADS Mtwara on behalf of the Chief Executive...
Hivi hili jimbo liko Dar au nje ya Dar?! Make si kwa ubovu wa barabara. Jimbo zima lami ni changamoto. Kuna barabara zimetengwa kwa ajili ya TANROADS na zina connections nzuri sana ila kuzijenga sasa imekuwa changamoto.
Mfano barabara inayotokea mbezi mwisho kuunganisha mpaka bunju kupitia...
Kama nilivyowaomba ushauri kwenye post yangu ya 8/1/2021 nikitakiwa kuchagua kati ya gari tajwa hapo juu na kampuni moja ya ujenzi kama fidia ya deni nililowadai kwa muda mrefu bila malipo.
Nawashukuru sana wana Jf na members wa forum hii kwa ujumla kwa mchango wenu wa ushauri , maoni na mawazo...
Sipingi biashara huria kakini this is too much!
Hapo ni Mbezi Beach Goig, Bagamoyo Road.
Miundombinu ya barabara inapogeuzwa kuwa na matangazo ya watu binafsi, hii ndio laisszes faire yaani machinga mentality kushamiri ndani ya wananchi.
Mitaro inazibwa bila aibu.
Taka zinatupwa barabarani ...
Rais Samia Suluhu amemteua Rogatus Hussein Mativila kuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS)
Mativila, aliyekuwa Mkurugenzi wa Barabara - Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi anachukua nafasi Mhandisi Patrick Mfugale aliyefariki dunia Juni 29, 2021
Wasimamizi wa barabara kama ni TARURA au TANROAD tunaomba mzifanyie setting upya taa za barabarani Changombe polisi kwani imekuwa kero kwa watu wanaotoka Serengeti kuelekea Temeke.
Barabara inayotokea maduka mawili inahudumia magari mengi ambayo yanaelekea Temeke au Tandika laakini zinapofika...
Tanzania
National Roads
Agency
(TANROADS) The Tanzania National Roads
Agency (TANROADS) is an
Executive Agency under the
Ministry of Works, Transport
and Communications,
established under section 3(1) of the Executive
Agencies Act (Cap 245) and
came into operation in July,
2000. Bado sijapata...
TANZANIA NATIONAL ROADS AGENCY (TANROADS) is a Semi-Autonomous Agency under the Ministry of Works established on July 1, 2000 and is responsible for the day-to-day management of the Tanzania Mainland’s trunk and regional roads network. Its primary functions include the management of maintenance...
THE REGIONAL MANAGER, TANROADS – NJOMBE is responsible for the day-to-day management of the Tanzania Mainland’s Trunk and Regional Roads Network. Its primary functions include the management and development works, operations of the network, axle load control, the implementation of road safety...
Leo nimepanda daladala natokea Kimara kwenda Mlimani City.
Sijapita njia hii siku nyingi kwa daladala.
Nashangaa ili kuingia Mawasiliano Stend imebidi twende hadi Mawasiliano Tower.
Kurudi ili tuendelee na safari imebidi kwenda tena hadi Kijazi tuzunguke round about.
Huu ni mzunguko mrefu...
Barabara ya Mwenge-Lugalo-Mbezi Beach leo jioni ilikuwa balaa.
Kuna mkandarasi anafanya kazi mchana hadi jioni NA KUZIBA lane moja.
Hapo ndio naona hii ni kichaa kabisa, watafanyaje kazi wakati wa maximum traffic?
Matokeo yake ni magari kuxiba njia zote kabisa.
TANROADS tumieni akili ya...
Hivi Ni kwanini Tanroads mkoa wa Pwani ni Ni wazembe kiasi hiki? Kwa mfano ukipita barabara ya Bagamoyo kama unaelekea mikoa ya Kaskazini wamekata viraka ili wavizibe ila Ni kama wiki ya pili sasa vimeachwa hivyo hivyo.
Hi inatusababishia usumbufu Sana na uharibifu wa magari.
TANROADS tafadhalini rekebisheni hizo taa. Karibu wiki sasa naona taa zinaruhusu huku na huku kwa wakati mmoja. Naweka picha inayoonesha gari kutoka Agakhan hospital zimeruhusiwa huku gari zinatoka selander kuingia upanga nazo zimeruhusiwa.
Habari za leo, napenda kukuulizeni TAA & TANROADS Ni lini MTATULIPA FIDIA wadau tuliofanyiwa uthamini toka mwaka 2018 ili kupisha ujenzi wa UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO?
Ref. No. AB.276/322/01 /28
TANZANIA NATIONAL ROADS AGENCY (TANROADS) is a Semi -Autonomous Agency under the Ministry of Works and Transport established on July 1,2000 and is responsible for the day-to- day management of the Tanzania Mainland’s Trunk and Regional Roads Network.
Its primary...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.