tbs

  1. Roving Journalist

    TBS yakamata Mabati 125,280 yasiyokidhi viwango, zoezi la kuyateketeza laingia doa

    Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeiandikia barua kampuni ya uagizaji na usambazaji wa mabati nchini URHOME Company Limited kuhakikisha ndani ya siku tatu imewapatia taarifa ya mabati 2176 kati 125,280 baada ya kufanyiwa ukaguzi na kugundulika hayajakidhi viwango. Akizungumza na waandishi wa...
  2. BARD AI

    Bunge lashauri ukaguzi wa Chakula kufanywa na TMDA na sio TBS

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, imeishauri serikali kufanya tathmini kuhusu usimamizi wa Usalama wa Chakula kurejeshwa Mamlaka ya Dawa na Vifaatiba (TMDA), ili kurahisisha utendaji Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo Aloyce Kamamba, amesema Wizara ya Afya na Wizara ya...
  3. J

    TBS yateketeza Vipodozi vyenye viambato sumu na bidhaa zingine zilizokwisha Muda wa matumizi zenye thamani ya takribani Sh. Milioni 400

    Shirika la Viwango Tanzania (TBS) yateketeza bidhaa zenye thamani ya takribani Sh Milioni 400 bidhaa hizo hazikidhi Viwango vya ubora na kuisha Muda wake wa matumizi. Kwa upande wa Vipodozi ni vile vyenye viambato sumu zisizofaa kwa matumizi kwa binadamu. Dk. Kandida P. Shirima (Kaimu...
  4. J

    TBS SASA KIDIJITALI: Usajili wa bidhaa za Chakula na Vipodozi pamoja na Majengo ya kuuzia na kuhifadhia bidhaa hizo, usajili ni Kielekroniki

    TBS YAWATAKA WAFANYABIASHARA WA BIDHAA ZA VIPODOZI NA CHAKULA PAMOJA NA MAJENGO YA KUHIFADHIA NA KUUZIA BIDHAA HIZO KUJISAJILI KIELEKTRONIKI Shirika la Viwango Tanzania (TBS) leo Tarehe 22 Agosti, 2022 imewataka wafanyabiashara wa Chakula na Vipodozi pamoja na wamiliki wa Majengo yanayotumia...
  5. M

    SI KWELI Chupa za Chai zina vidonge vyenye Sumu ambayo ni hatari kwa Afya

    Wakuu hasa wale Wataalamu Wa Chemical na Hata Physics Kwa Ujumla nataka kupata Ufafanuzi hapa Kidogo! Chupa zetu za Kuhifadhi Joto La Vinywaji au Vimiminika Kama Chai, Kahawa au Maji Moto Ndani Imegundulika Kuna Vidonge!! Naam Ni vidonge! Video hii inasambaa Mtandaoni Kuhusu Hili Jambo!! TFDA...
  6. E

    TBS chunguzeni ubora wa hili gari unatia shaka

  7. Mwamuzi wa Tanzania

    Vipi zile nafasi za Internship TBS walishaita watu?

    Habari, Ilikuwa 21 April TBS walitoa tangazo la internship kwa nafasi mbalimbali. Vipi walishaita vijana kwa ajili ya usaili na kuanza kazi? Nimeingia kwenye website yao sijaona tangazo lolote, ni bado mchakato au watu wamepigiwa simu direct?
  8. J

    TBS: Yakabidhiwa Cheti cha ithibati ya utoaji huduma za uthibitishaji wa mifumo ya kimenejimenti

    TBS YAKABIDHIWA CHETI CHA ITHIBATI YA UTOAJI HUDUMA ZA UTHIBITISHAJI MIFUMO YA KIMENEJIMENTI Naibu Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe (Mb), akikabidhiwa cheti na Mratibu kutoka taasisi ya Huduma za Ithibati za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADCAS), Bw. Victor...
  9. J

    CHADEMA mnapenda Namba lakini hamjui Hesabu

    Wazungu husema hivi "Once is an accident, Twice is a Coincidence, but Thrice is a Pattern". Hizi namba zipo kamili kama hesabu za hela? CHADEMA mnapenda namba lakini hamjui hesabu.
  10. NostradamusEstrademe

    TBS ingilieni hili kupima ubora wa Oil inayozalishwa na hii kampuni

    Kazi ya TBS ni kukagua bidhaa mbali mbali kama ziko salama kwa watumiaji. Nashauri pia mpime vilainisho vya magari yaani oil maana hapo Dar kuna kampuni fulani ya wahindi wanatengeneza oil za magari lakini kuna kipimo kimoja kinaitwa TBN kinatoa jibu la sifuri. TBN au Total Base Number ni...
  11. E

    Kampuni ya magari JN Star yapata kibali cha TBS

  12. mirindimo

    LATRA na TBS kuweni wazalendo jamani

    Kuna jambo tunalifanya tunaona kabisa hapa tutatesa wananchi , sasa Latra mnashindwa akabisa kuafikiana na hawa akina Uber na Bolts kisa tu sijui akina Paisha sijui Paa wamefanya fitna ili wakue? Japo huduma zao bado mbovu mno na nyie TBS hivi viwango vya ubora mnachaji pesa kubwa sana kwa...
  13. Extrovert

    Utaratibu wa kupata nyaraka za TBS ili kutuma mzigo nje ya nchi upoje?

    Nina vitu nataka nitume kwenda mamtoni kwa ndugu yangu mmoja ila sasa nimeshangazwa na story za yule mtu wa posta kuniambia natakiwa niwe na document za TBS kwa baadhi ya vitu. Kwa mtu mzoefu je, huu utaratibu upogo kweli au ndio mtumishi anataka kula kwa urefu wa kamba yake kupitia mimi...
  14. Meneja Wa Makampuni

    Hapa sampuli za maji ya mto Mara zipelekwe baadhi TBS, GCLA, NEMC, SGS, Intertek na zingine kwenye maabara za vyuo zikapimwe upya

    Kwakua majibu ya ripoti yamekua na utata kidogo, ni vyema sampuli za maji ya mto mara zifanyiwe uchunguzi wa maabara upya. Sidhani kama swala la kuchunguza maji lilihitaji kuunda tume. Analysis za maji ni kitu kidogo sana. Anyway ningekua ni mimi ningechukua sampuli za maji na kuzipeleka kwenye...
  15. Miss Zomboko

    TBS watoa tahadhari kwa Wafanyabiashara wanaoanika vyakula juani

    Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limewatahadharisha wafanyabiashara bidhaa za chakula zilizofungashwa yakiwemo mafuta ya kula kuweka ama kuanika kwenye jua kwani kunaweza kuleta madhara makubwa ya kiafya kwa binadamu. Ameyasema hayo leo Afisa Uthibiti ubora TBS, Bw. Baraka Mbajije wakati...
  16. F

    Kwanini mikate mingi ina mchanga siku hizi?

    Wakuu habarini za usiku, Ni muda nimekuwa mtumiaji mzuri wa mkate katika kifungua kinywa cha asubuhi, lakini nime-kutana na changamoto ya kitafunwa hichi kuwa na chembe chembe za michanga ndani yake. Nimejaribu kubadili brand mbali mbali lakini naona hali ni ile ile. Je, hali hii inasabishwa...
  17. K

    Ninaiomba TBS isimamie ubora wa vigae vinavyotengenezwa na viwanda vya wachina hapa nchini

    Wananchi wengi kwa sasa wanatumia vigae vinavyotengenezwa na viwanda vya Wachina hapa nchini lakini jinsi inavyoonekana vigae hivi havina ubora unaohitajika na havidumu kwa muda mrefu tofauti na vigae vinavyotoka Spain, Uturuki na Italy. Ni vyema sasa Tanzania Bureau of Standards(TBS)...
  18. Analogia Malenga

    Kilimanjaro: Pombe ya Simba yatajwa kusababisha vijana kuvimba mashavu

    Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kagaigai amekifungia kiwanda kinachozalisha pombe aina ya simba kampuni ya Turn Bus Investment, kutokana na kuzalisha pombe zenye kiwango kikubwa cha asidi na kwamba hakifai kwa matumizi ya binanadamu. Mbali na kufungia kiwanda hicho ameliagiza Shirika la...
  19. Analogia Malenga

    TBS: Wanaoongeza maji kwenye maziwa waonywa, kufanya hivyo ni kinyume cha sheria

    KAIMU Mkuu wa Kitengo Cha Uthibiti Ubora wa Shirika la Viwango nchini (TBS) Baraka Mbajige amewaonya wafugaji na wauzaji wa maziwa kuacha tabia ya kuweka maji kwa sababu ni kinyume cha sheria. Alisema hayo katika mafunzo ya siku mbili yaliyoandaliwa na TBS kwa wafugaji wa Wilaya ya...
  20. J

    TBS yatoa mafunzo ya sumukuvu kwa wadau wa mazao ya mahindi na karanga wilayani Kiteto

    TBS yatoa mafunzo ya sumukuvu kwa wadau wa mazao ya mahindi na karanga wilayani Kiteto Na Mwandishi Wetu Serikali kupitia Shirika la Viwango Tanzania (TBS) imeanza rasmi kutoa mafunzo kupitia Mradi wa Kitaifa wa Kudhibiti Sumukuvu "Tanzania Initiative for Preventing Aflatoxin Contamination -...
Back
Top Bottom