tbs

  1. Zanaco

    Rais Samia komesha unadishaji wa mizigo bandarini

    Mama samia raisi wetu mpendwa mama yetu msikivu naomba tondole hii kero ya muda mrefu sana wazuie TRA na TPA wasiuze mizigo ya Watanzania bandarini kwakisingizio cha kukosa pesa za kulipia kodi mizigo. umewatia watu wengi umasikini mtu anaagiza mzigo kutoka nje ya nchi mzigo unafika...
  2. aka2030

    TBS bila rushwa gari lako halitoki bandarini

    Viongozi husika mtazame hili sula sasa imekuwa too much ukiagiza gari kwenye ukaguzi bandarini TBS lazima waandike dosari eti ukarekebishe ndio wakupe kibali lakini hata urekebishe vipi bado watakosoa Hawa watu wameanzisha kamfumo hako lengo uwape rushwa tu na rushwa wanajia nyingi za kupokea...
  3. chizcom

    TBS tunaomba kuangalia hiki kinywaji K-vant

    Nilikuwa nasikia kama utani ila ni kweli baada watu wengi kukilalamikia kinywaji cha K-vant kuwa kinapoteza kumbu kumbu. Mbona vinywaji vyengine vipo tofauti. Kuna kitu gani au kufanya ushindani.
  4. Mkaruka

    Kazi ya kuweka Vinasaba (Marking) kwenye mafuta, TBS hawajui, Wabunge na Waziri Kalemani hajui chochote kinachoendelea. Je, kodi stahiki italipwa?

    DISCLAIMER: Huu ni mtazamo wangu tu kuhusu hili suala kwa jinsi nilivyoliona na kulishuhudia. Sina maslahi yoyote na suala hili. ========= Ni maajabu juu ya maajabu. Nchi ina maajabu sana hii. Iko hivi: Hivi karibuni bungeni, Mb. Shabiby na Tabasamu waliibua hoja kwamba serikali imepigwa...
  5. Analogia Malenga

    TBS na SUMUKUVU: Vichochezi, Madhara na Udhibiti wake

    SUMUKUVU, VICHOCHEZI, MADHARA YAKE NA UDHIBITI ________________________________ ______ 19 AUG, 2020 USUNGILO HOTEL (Yusto Wallace) Utangulizi Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Ni shirika la umma chini ya Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, lililoundwa chini ya Sheria ya Viwango, Nambari 3...
  6. N

    TBS mmelala usingizi

    JPM tutumbulie hawa watu..wanyonge tunapa tabu sana,kuna vifaa feki vinaingia ,kwa mfano hivi sijui wanaviita burners vya majiko ya gesi madogo ,ni feki sana!wameleta feki vinaharibika mapema na sokoni vimemwagwa vingiii ili tununue in routine basis..huu ni utapeli wa wazi kabsa.TBS mmelala...
  7. sky soldier

    Nachohofia TBS ukaguzi wa magari ni mambo ya kutoa kitu kidogo au connections ili gari isikaguliwe miezi au kuambiwa ni bovu uingie gharama

    Mh, yani process hizi zinavyozidi kuwa nyingi hofu yangu ni kwamba kuna dili zinaweza kuanza. Ukaguzi huu ataelipia ni mnunuaji hakika ni maumivu ukiachilia mbali kodi zilizoongezeka kuagiza magari. Sasa kitu nachowazia yale mambo ya kutoa kitu kidogo au za kujuana yakianza tutaumia kweli...
  8. Jidu La Mabambasi

    TBS mnaandaa mazingira ya rushwa ukaguzi wa magari?

    Tangazo la TBS lililotolewa majuzi, ati sasa ukaguzi wa magari used utafanyika hapahapa Bandarini linatia wasiwasi. Huu utaratibu ulikuwepo zamani na uliondolewa kutokana na urasimu wake na uchelewashaji mkubwa wa kukaguliwa mali ya mteja. Tukubali tusikubali palipo na urasimu na ucheleweshaji...
  9. Ze Heby

    TBS: Kuanzia 01 Machi 2021, utaratibu wa kukagua magari kutoka nje ya nchi, utafanyikia hapa nchini

    Shirika la Viwango Tanzania (TBS) linawataarifu waagizaji na wauzaji wa magari kutoka nje ya nchi kuwa kuanzia tarehe 01 mwezi Machi, 2021, utaratibu wa kukagua magarikutoka nje ya nchi utafanyika baada ya kuwasili hapa nchini (Destination Inspection). Hivyo,magari yote yatakayosafirishwa...
  10. Miss Zomboko

    Serikali yatoa siku 90 vifungashio vya plastiki visivyo na kibali cha TBS viondolewe sokoni

    Wazalishaji na wasambazaji wa vifungshio wamepewa miezi mitatu kuondoa sokoni bidhaa hizo zisizokidhi vigezo vinginevyo wajiandae kukutana na mkono wa sheria. Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Ummy Mwalimu ametoa agizo hilo leo Januari 8 alipozungumza na waandishi wa...
  11. Miss Zomboko

    Vifungashio vya plastiki visivyo na nembo ya TBS visitumike kuanzia leo

    BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limesema vifungashio vinavyotokana na malighafi ya plastiki na ambavyo havina nembo ya Shirika la Viwango (TBS), haviruhuwi kutumika kuanzia leo. Jana, Kaimu Meneja wa NEMC Kanda ya Kaskazini, Nancy Nyenga, aliiambia Nipashe kwamba...
  12. mgt software

    Nikusaidie Waziri Faustin Ndugulile kudhibiti TCRA, TRA na TBS juu ya vifaa vya telecom feki

    Jf oyee Kwako Dkt. Ndugulile, vyombo hivyo Hapo juu vimekuwa vikilalamikiwa kwa kutokuwa makini, kweli vyombo hivi vinatumia gharama Kubwa kuwepo huku ufanisi Wa kazi upo chini sana. Nikianza na TRA, hawa wanaruhusu kuingia kwa vifaa ambavyo havina certificate of compliance. Hi yo kuruhusu...
  13. mgt software

    Kushindwa kwa TCRA kudhibiti Simu feki ni ushahidi kuwa TRA na TBS zimesinzia Kabisa

    Wana JF, Vyombo muhimu vya serikali vyote kwa pamoja vimeshindwa kudhibiti Simu feki hivyo kuongezeka kwa uharifu pamoja nakuikosesha serikali mapato. Kazi ya kudhibiti bidhaa feki ni ya TBS kazi ya kukagua uingiaji bidhaa halali kutoka viwanda vinavyotambulika na kutoza kodi ni TRA. Tra...
  14. mgt software

    TBS, TCRA na TRA washindwa kuisaidia Serikali kuondoa spea feki za Simu. Mafundi simu waishia lockup wasijue lakufanya

    Wana Jf Serilikali kupitia ajent zake za kitaifa kwa pamoja wanaungana kuikosesha mapata serikali na kuleta mtafaruku mkubwa kati ya mafundi simu na wateja wao. TBS, TCRA na TRA zilivyoshindwa Nazi zao kila moja nitaelezea makosa yao TBS wameshindwa kuajiri vijana wenye weledi kutambua vitu...
  15. I

    Mwenye taarifa kuhusu internship zilizotangazwa na TBS 2020

    Wakuu kuna yeyote mwenye update zozote kuhusu intern zilizotangazwa na Shirika la Viwango Tanzania (TBS) August 2020 na kusema mwishoni mwa September waliofanikiwa kupata nafasi wataanza. Kama unafaham lolote tujuzane hapa wakuu.
  16. mgt software

    TBS na TCRA mmeruhusu wizi, watu wamepata hasara

    Wana JF, Katika serikali makini TBS na TCRA wametuangusha sana kwa kuruhusu wizi wa kichina. Anavyokuwa: watu ambao hawana fani yeyote ya ufundi, wamevamia mitaa na kulaghai watumiaji wa smart phone kuwa wanatengeneza kioo cha simu kwa kuweka liquid ambayo inakifanya kiwe imara, kwamba...
  17. M

    TBS na Usajili wa Hotel, maduka na Posho mills

    TBS imetoa tangazo na muda kwa wenye biashara tajwa hapo juu kujiandikisha. Jambo la kwanza ni kuwa muda waliotoa ni mfupi sana kwa mfano kwa posho mills ambazo zimesambaa mpaka vijijini sidhani kama muda huo utatosha. La pili, ndani ya website yao hakuna application form kwa ajili ya kuomba...
  18. Jamii Opportunities

    Various Internship Opportunities at Tanzania Bureau of Standards (TBS)

    Tanzania Bureau of Standards (TBS) is Tanzania’s sole Standards body, formerly established by the Standards Act No. 3 of 1975, which was repealed and replaced by the Standards Act No. 2 of 2009. It is a Parastatal Organization under the Ministry of Industry and Trade. TBS introduced internship...
  19. H

    Kama Kipimo kina matatizo wa kuwajibishwa ni Msimamizi wa Maabara au TBS?

    Mh Ummy, nakuhakikishia Mungu yupo hilo lielewe kabisa.. Najua kama binadamu unafanya mambo ili kumfurahisha anayekupa ugali na tabasamu, ila tambua Mungu alisema, AMELAANIWA MTU YULE AMTEGEMEAYE MWANADAMU na KUMFANYA KUWA KINGA YAKE. Hivi tujiulize tu, hao watu wanaokufa na kuzikwa usiku...
Back
Top Bottom