tcu

  1. Idugunde

    Ufafanuzi wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania(TCU) juu ya utoaji Shahada za Heshima

    Tume ya vyuo vikuu Tanzania TCU imetoa tamko kuhusu utaratibu wa utoaji wa shahada za heshima yaani honorary degrees,hii ni kutokana na mjadala wa PhD ya heshima aliyopewa Dkt.Msukuma hivi karibuni.
  2. S

    TCU toeni tamko kuhusu honorary degree ya Musukuma

    Kamisheni ya vyuo vikuu nchini(TCU), inapaswa kutoa tamko juu ya uhalali wa shahada ya heshima aliopewa Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Msukuma na si kukaa kimya kama hawahusiki ili hali jambo hili mpaka sasa teyari limezua mjadala mpana mitandaoni. Tamko lao ni wazi litazua mjadala mpya...
  3. kavulata

    TCU, sio kila Professor anaweza kuwa VC wa chuo

    Vyuo vyetu vikuu vina idadi ndogo ya maprofesa, na wale wachache waliopo sio kweli wote wanazo sifa za kushika nafasi ya u vice chancellor, maNaibu Makamu wakuu wa chuo taaluma na mipango na fedha, au kuwa mkuu wa idara au Mkuu wa kitivo. Nafasi hizi zinahitaji maarifa na sifa ambazo ni zaidi...
  4. kavulata

    TCU inavikanganya vyuo na wanafunzi

    Vyuo vinachagua/dahiri wanafunzi wenye sifa kwenye vyuo vyao kwa idadi waliyopewa na TCU, lakini wanafunzi waliochaguliwa nao wana hiari ya kuukubali/confirm udahiri wa chuo kwa kutumia mtandao hadi dakika ya mwisho. Mkanganyiko kwa vyuo uko hivi, vyuo havina uhakika ni wanafunzi wangapi...
  5. Replica

    NACTE: Tuna changamoto ya vyuo ambavyo havijasajiliwa, Watanzania wengi wanavipenda kwa ada yake ya chini

    Mkurugenzi wa udhibiti NACTE, Geofrey Oleke amesema ipo changamoto ya vyuo ambavyo havijasajiliwa pamoja na wao kuhakikisha havipo kwa kuvifuta na kwakuwa huwa vina ada ya chini, watanzania wengi wanavikimbilia bila kujua kwamba vimesajiliwa ama La. Pia mkurugenzi huyo amesema vipo ambavyo...
  6. Masiya

    Madirisha ya udahili TCU na mkopo HESLB yamefunguliwa: Je, JKT itawaruhusu vijana walio makambini kurudi kupeleka maombi?

    Kichwa cha uzi kinajieleza. Hadi leo sijaona dalili za vijana kupewa muda wa kurudi nyumbani ili wa process maombi yao kwa kushirikiana na familia zao. Miaka iliyopita nini kilifanyika?
  7. Meneja Wa Makampuni

    TCU mfumo wa CAS haukua mzuri, mfumo wa sasa ndio mzuri

    TCU mfumo CAS ulifeli kwa kuwachagulia wanafunzi fani wasizozitaka na vyuo wasivyovitaka. Yaan mtu anaenda kusoma chuo kikuu fani asiyoitaka wala hakuiomba, na hajui inahusiana na nini. Chuo kikuu sio sekondari kwamba umpangie mtu chuo na kozi ya kusoma. Hata Ulaya hawafanyi hivyo. Waacheni...
  8. kavulata

    TCU rudisheni mfumo wa kudahili wanafunzi vyuoni kwa njia ya mtandao (CAS)

    TCU ni taasisi inayodhibiti ubora wa elimu ya juu. Inakagua, inashauri, inaruhusu Na kusimamisha au kufuta vyuo visivyokidhi vigezo vya ubora. Hivyo, vyuo vyote ambavyo vinatoa mafunzo vimefikia vigezo (minimum) vya ubora wa kumudu kutoa mafuzo yaliyokusudiwa. Ingawa ni kweli vyuo vinatofautiana...
  9. Elisha Sarikiel

    Tanzania Commission for Universities (TCU) Admissions Almanac for 2021/2022 Admission Cycle

    Tanzania Commission for Universities: News & Events 1. Final_Third Draft Admission Guidebook Equivalent Applicants 19052021.pdf 2. Undergraduate Admission Guidebook for 2021/2022 (For Holders of Form Six Qualifications) 3. Undergraduate Admission Guidebook for 2021/2022 (For Holders of...
  10. M

    Changamoto ya OTEAS: Kwenye machaguo ya shule tuna attach barua gani? Baadhi ya haifungui TAMISEMI

    Habari wakuu, naomba kwa anayeweza kujua hili tatizo anisaidie. Nataka kufanya application ya hizi nafasi za ualimu zilizotangazwa, nakutana na changamoto moja, kila nikijaribu Ku log in naaambiwa unauthorized user, nikafili nakosea password. Nikataka kubadili password ikashindikana, coz ili...
  11. E

    Ingekua vizuri mitani ya UE Vyuo Vikuu iwe inatungwa na kusahihishwa na TCU

    Naomba rejea kwenye mada kama inavyojieleza hapo juu. Kama tunavyojua kuna baadhi ya vyuo hapa Tanzania vimekua vikigawa ufaulu wa bure kwa wanafunzi wao na kuwafanya waonekane wamefaulu sana na kuhitimu na ma GPA makubwa ambayo hayaendani na uwezo walionao kichwani. Pia kuna baadhi ya...
  12. Last Seen

    Msaada kuhusu multiple admission na TCU confirmation code

    Habari wakuu, Kumekuwa na changamoto ya ku-confirm chuo kwa waliopata multiple admission, Uki-request code inaonesha code imetumwa lakini haifiki.Dogo kapata loan na inaonesha amepangwa chuo kimojawapo ya vile alivyochaguliwa. Kuna njia ya tofauti ya kupata confirmation code? Tofauti kuingia...
  13. Mbagala stendi

    Wale wote waliokatishwa ndoto zao na TCU pitia hapa.

    Habari wadau na wakereketwa wote wa elimu ya bongo. Mimi ni kijana mwenzenu ambaye TCU ishanikatisha ndoto za kuwa daktari si bongo tu dunia nzima MD ina ushindani sana. TCU guide book imetudanganya sana mwaka huu maelfu ya watanzania wamepoteza pesa zao katika application na baadh ya...
  14. Nyalikanho

    Kuchaguliwa chuo zaidi ya kimoja

    Habari wadau, Nimechaguliwa chuo zaid ya kimoja yaan DUT na CBE ila nimetumiwa sms ni confirm chuo kimoja ninachokita kupitia code number kupitia account cha chuo ninachokitaka. Pia kuna chuo cha private niliomba ila siyo online na wamenichagua so nasubiri majibu ya majina waliyopeleka TCU...
  15. E

    TCU kwanini vyuo vyetu havitoa degree za online

    TCU kwanini vyuo vyetu havitoa degree za online. Nina uhitaji mkubwa sana wa kusoma Degree ya Accounting online lakini sijaona chuo chochote kinachotoa kozi hiyo kwa njia ya online Tanzania. Shida iko wapi.
  16. The Humble Dreamer

    Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) iwafutie usajili wanafunzi wanaorekodi na kusambaza video chafu mitandaoni

    Wakuu Salaam: Siku za karibuni kumekuwa na usambaaji wa video chafu kwenye mitandao ya kijamii na jambo hili linaendelea kukua miongoni mwa wanafunzi wa Elimu ya juu. Na waliohusika katika video wapo pamoja na kwamba kumekuwa na matamko toka uongozi wa vyuo lakini bado hakuna fundisho. Hawa...
  17. Miss Zomboko

    TCU yafungua dirisha la udahili kwa awamu ya 2

    Tume ya Vyuo Vikuu nchini (TCU) imetangaza awamu ya pili ya udahili wa shahada ya kwanza kwa mwaka wa masomo 2020/2021 ambapo utaanza rasmi Oktoba 12 hadi 18 mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam, Katibu Mtendaji TCU, Prof. Charles Kihampa amesema kuwa waombaji...
  18. 44mg44

    TCU kesho tarehe 5 watafungua dirisha la pili la udahili wa wanafunzi vyuo vikuu au mpaka tarehe 12?

    Ndugu mwenye taarifa anisaidie maana niko bush sana, nikijua mapema itapendeza maana nitaanza mapema maandalizi ya safari kwenda kutuma maombi! karibuni ndugu zangu.
  19. 44mg44

    Eti tcu imeongeza muda wa kufanya application vyuo vikuu?

    mwenye taarifa aniambie jaman,maana kuna jamaa hapa kanipa taarifa ila bado sijapata uhakika!! karibuni wadau
  20. Civilian Coin

    Waraka maalum kwa NECTA, NACTE na TCU

    Waraka huu ni wakutaka MABADILIKO yafanyike ndani ya Tume hizi tatu za usajili wa wanafunzi elimu ya msingi, sekondari, vyuo vya Kati na vyuo VIKUU. Uchambuzi unafanywa nami DON NALIMISON NALIMI. TULIPOTOKA Mifumo ya elimu inayotumika ni ya tangu mkoloni na hakuna kilichobadilika kila kitu ni...
Back
Top Bottom