Kampuni ya simu TECNO ilitangaza kutolewa kwa teknolojia mpya ya upanuzi ya Random Access Memory (RAM) kwa watumiaji wake ili kuongeza uwezo wa RAM wa simu zao kwa ufanisi bora. Teknolojia hii bunifu itapatikana kwa watumiaji wa CAMON 18 na SPARK 8 katika muda wa wiki mbili zijazo.
Teknolojia...
POVA Neo ni toleo la bei nafuu zaidi la Tecno POVA 2. Sifa kuu za simu hii ni kioo kubwa na betri. Akizungumzia muonekano ina kioo cha inchi 6.82 chenye pikseli 720 x 1640, na sehemu ya mbele ya ina kamera ya selfie yenye 8MP.
Kwa ndani, Tecno POVA Neo ina processor kubwa kabisa ya MediaTek...
Barcelona, Uhispania, Februari 28, 2022 - Wakati wa toleo la hivi karibuni zaidi la Kongamano la Dunia la Simu (MWC 2022), moja ya matukio makuu katika ulimwengu wa teknolojia ya simu, TECNO Mobile, mtengenezaji wa simu za kisasa wa hali ya juu kabisa tulitangaza kuwa teknolojia ya kichujio cha...
Tecno Spark 5 Inauzwa
Condition: Used/ looking new
Ram 2GB
Rom 32GB
Front Camera 8MP
Rear Camera 13MP
Battery 5000 mAh
Bei 230,000
Mawasiliano 0768776716
Kuelekea mwisho wa mwaka 2021 kampuni ya simu za mkononi TECNO yenye mashabiki wengi hasa upande wa simu janja inatarajiwa kuzindua toleo jipya la mfululizo wa simu zake aina ya TECNO Camon 18 yenye ubora ulioboreshwa hasa upande wa picha na video.
Series ya CAMON imekuwa ikiaminika kuwa na...
Tecno is one of the makers making great progress in the budget and midrange segment in the past year. Its Camon 17 series offered large screens, ample battery life and respectable cameras and we now have an extensive first look at the next generation Camon 18...
Unakuna pale unapoweza.
Kumekuwapo na imani kuwa watumiaji wa simu wa makampuni ya Tecno na Itel ni watu washamba na wasio na uwezo kifedha. Kiukweli katika mtizamo wa kutokuwa na uwezo kifedha naweza kuunga mkono lakini katika kuwa washamba ni jambo lisilo na ukweli.
Hivi inakuwaje mtu una...
Nauza Samsung Galaxy S8 Edge
Ina 4GB Ram
64GB Storage
Battery health 100%
Inakuja na Original Fast Charger na Kava lake.
Haina crack wala mchubuko wowote.
Imetumika miezi 2.
Bei 390,000 maelewano yapo.
Contact 0623464795
Hi Wapendwa nauza simu aina ya Tecno Phantom 8
Specification zake RAM-6GB Internal memory 64GB
MaH-3500
Iko kwenye good condition sijawahi ipeleka kwa fundi na haina tatizo lolote lile imetumiwa na mm mwenyewe Mwanamke, kama mnavyojua Wanawake hua tuko vizuri kwenye utunzaji.
Camera: Camera...
Tumesemwa sana kuhusu Tecno zetu aisee, hatimae Phantom x,ameanza kuokoa jahazi[emoji108]...
This week naenda utafuta,nionje utamu wake maana nimeiona tu kwa bestie...
Picha kaliiii, screen tam curved
See Attached
Wakuu kwa anaejua maujanja maana nimeingiza email yangu kama mara nyingi inavyofanyika lakini nikifika mwisho inaandika try again hivyo naomba nipewe njia nyingine ili niweze kutoa flp kwenye hii Tecno.
Utafiti wa soko la teknolojia, uliofanywa na Kampuni ya utafiti ulimwenguni inayojishughulisha na bidhaa katika tasnia ya teknolojia ya vyombo vya habari na mawasiliano ya simu. Mwishoni mwa mwezi wa nne wametoa report ikionyesha kuwa kampuni ya simu TECNO imechukua nafasi ya kwanza kama simu...
Wataalam kuna hii simu tajwa hapo juu inatumia line mbili ila iko locked kwenye vodacom. Nimejaribu kuunlock kwa kutumia NCK Android MTK ile cracked nimeshindwa. Nakutana na error 36 phone not support meta connection, lakini inakuwa tayari ishaboot upande wa meta ila connection inastop hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.