tecno

  1. TECNO Tanzania

    TECNO Yatangaza Teknolojia ya Ubunifu ya Kuongeza Ufanisi wa RAM na Programu

    Kampuni ya simu TECNO ilitangaza kutolewa kwa teknolojia mpya ya upanuzi ya Random Access Memory (RAM) kwa watumiaji wake ili kuongeza uwezo wa RAM wa simu zao kwa ufanisi bora. Teknolojia hii bunifu itapatikana kwa watumiaji wa CAMON 18 na SPARK 8 katika muda wa wiki mbili zijazo. Teknolojia...
  2. TECNO Tanzania

    Je, unaifahamu Tecno pova neo gaming phone?

    POVA Neo ni toleo la bei nafuu zaidi la Tecno POVA 2. Sifa kuu za simu hii ni kioo kubwa na betri. Akizungumzia muonekano ina kioo cha inchi 6.82 chenye pikseli 720 x 1640, na sehemu ya mbele ya ina kamera ya selfie yenye 8MP. Kwa ndani, Tecno POVA Neo ina processor kubwa kabisa ya MediaTek...
  3. TECNO Tanzania

    TECNO yatangaza teknolojia mpya ya RGBW camera sensor + glass ambayo imetengenezwa kwa ushirikiano na Samsung kwenye mfululizo wake wa CAMON 19

    Barcelona, Uhispania, Februari 28, 2022 - Wakati wa toleo la hivi karibuni zaidi la Kongamano la Dunia la Simu (MWC 2022), moja ya matukio makuu katika ulimwengu wa teknolojia ya simu, TECNO Mobile, mtengenezaji wa simu za kisasa wa hali ya juu kabisa tulitangaza kuwa teknolojia ya kichujio cha...
  4. Frumence M Kyauke

    Phone4Sale Tecno Spark 5

    Tecno Spark 5 Inauzwa Condition: Used/ looking new Ram 2GB Rom 32GB Front Camera 8MP Rear Camera 13MP Battery 5000 mAh Bei 230,000 Mawasiliano 0768776716
  5. Ramon Abbas

    Phone4Sale TECNO Spark 4 for sale, Mlimani City DSM

    Tecno spark 4. ram 2 rom 32 bei 145,000 0713096076
  6. TECNO Tanzania

    Tecno Camon 18 kuja na Gimbal Kamera

    Kuelekea mwisho wa mwaka 2021 kampuni ya simu za mkononi TECNO yenye mashabiki wengi hasa upande wa simu janja inatarajiwa kuzindua toleo jipya la mfululizo wa simu zake aina ya TECNO Camon 18 yenye ubora ulioboreshwa hasa upande wa picha na video. Series ya CAMON imekuwa ikiaminika kuwa na...
  7. Abu Haarith

    Jinsi ya kutoa Password katika simu ya tecno F1 bila kutumia computer

  8. TECNO Tanzania

    Tecno Camon 18 will offer triple camera and 5x optical zoom

    Tecno is one of the makers making great progress in the budget and midrange segment in the past year. Its Camon 17 series offered large screens, ample battery life and respectable cameras and we now have an extensive first look at the next generation Camon 18...
  9. BabaMorgan

    Hii imekaaje kudharau watumiaji wa simu za Tecno na Itel ilihali wote mnakuwa na access ya vitu vinavyofanana

    Unakuna pale unapoweza. Kumekuwapo na imani kuwa watumiaji wa simu wa makampuni ya Tecno na Itel ni watu washamba na wasio na uwezo kifedha. Kiukweli katika mtizamo wa kutokuwa na uwezo kifedha naweza kuunga mkono lakini katika kuwa washamba ni jambo lisilo na ukweli. Hivi inakuwaje mtu una...
  10. Mtalebani Mweupe

    Phone4Sale Samsung S8 Inauzwa

    Nauza Samsung Galaxy S8 Edge Ina 4GB Ram 64GB Storage Battery health 100% Inakuja na Original Fast Charger na Kava lake. Haina crack wala mchubuko wowote. Imetumika miezi 2. Bei 390,000 maelewano yapo. Contact 0623464795
  11. M

    Phone4Sale Nauza Tecno Phantom 8 Iko kwenye hali nzuri kama inavyoonekana

    Hi Wapendwa nauza simu aina ya Tecno Phantom 8 Specification zake RAM-6GB Internal memory 64GB MaH-3500 Iko kwenye good condition sijawahi ipeleka kwa fundi na haina tatizo lolote lile imetumiwa na mm mwenyewe Mwanamke, kama mnavyojua Wanawake hua tuko vizuri kwenye utunzaji. Camera: Camera...
  12. jannelle

    Jamani wenzangu wa Tecno Amkeni

    Tumesemwa sana kuhusu Tecno zetu aisee, hatimae Phantom x,ameanza kuokoa jahazi[emoji108]... This week naenda utafuta,nionje utamu wake maana nimeiona tu kwa bestie... Picha kaliiii, screen tam curved See Attached
  13. Its Pancho

    Msaada: Jinsi ya kutoa google FLP kwenye simu ya android Tecno

    Wakuu kwa anaejua maujanja maana nimeingiza email yangu kama mara nyingi inavyofanyika lakini nikifika mwisho inaandika try again hivyo naomba nipewe njia nyingine ili niweze kutoa flp kwenye hii Tecno.
  14. R

    Msaada ku-upgrade Android 7 to Android 8 Tecno

    Habari wakuu. Nina simu ya Tecno POP1 ina Android 7. Naomba muongozo namna ya kwenda Android 8. Natanguliza shukrani za dhati.
  15. Shadow7

    TECNO kutwaa tuzo ya simu pendwa baada ya kuishinda Samsung

    Utafiti wa soko la teknolojia, uliofanywa na Kampuni ya utafiti ulimwenguni inayojishughulisha na bidhaa katika tasnia ya teknolojia ya vyombo vya habari na mawasiliano ya simu. Mwishoni mwa mwezi wa nne wametoa report ikionyesha kuwa kampuni ya simu TECNO imechukua nafasi ya kwanza kama simu...
  16. magnifico

    Msaada: Jinsi ya kuunlock Tecno RC6 (r7+).

    Wataalam kuna hii simu tajwa hapo juu inatumia line mbili ila iko locked kwenye vodacom. Nimejaribu kuunlock kwa kutumia NCK Android MTK ile cracked nimeshindwa. Nakutana na error 36 phone not support meta connection, lakini inakuwa tayari ishaboot upande wa meta ila connection inastop hapo...
  17. mercphason

    Phone4Sale Tecno J8 Boom inauzwa, karibuni wateja

    Haina shida yoyote wakuu... Bei 120,000/= Mawasiliano 0654245367 (call, msg & whatsap)
  18. M

    Phone4Sale Nauza Tecno Camon X kwa 140,000/=

    SOLD
  19. monotheist

    Phone4Sale Tecno Camon 12 Air

    Ram 3gb Rom 32gb Network 4gLTE Betry 4000mAh Triple camera No cracks No scratches Used as new 200k 0692402211 Tabata , Dar es salaam
  20. M

    Nauza Tecno Camon X

    SOLD
Back
Top Bottom