Tecno Spark4
Ina Camera tatu nyuma na moja mbele, Face lock na Finger print.
Ram 2GB
32GB
Tsh. 200,000/=
Simu Ina mwezi moja na nusu kwaiyo bado mpya Wala haina mchubuko hata moja.
Nipo DSM. Simu 0684329230
Haikuwa rahisi, lakini hatua kwa hatua hatimaye ikawezekana! Lengo lilikuwa ni kuhakikisha Valentine inakuwa ya kipekee sana kwa wateja wa simu za TECNO SPARK4, CAMON 12 na CAMON12 AIR, pamoja na fans kutoka kurasa za TECNO za mitandaoni kwa kuwapeleka sehemu maalum kwaajili ya kuvinjari...
Tukiwa katika mwanzo wa muhula wa kwanza wa masomo, kampuni ya simu za mkononi ya TECNO, imetoa msaada wa vitu mbalimbali kwa watoto yatima wa kituo cha Chanika Children Shelter kilichopo Chanika Jijini Dar es Salaam ili kuwawezesha kurudi mashuleni mnamo Tarehe 22.Feb.2020
Msaada huo...
Kampuni ya simu za mkononi TECNO imezindua duka kubwa la simu, maarufu ‘Smarthub’ Mtaa wa Mwenge jijini Arush, duka ambalo linatoa huduma mbalimbali ikiwa ni hatua muhimu katika kusogeza huduma kwawananchi.
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa duka hilo mwishoni mwa wiki, Afisa Utamaduni Jiji la...
Moja kwa moja kwenye mada, wengi wetu tukisikia jina la Tenko au tekno miles . Basi ni ukweli usiopingika moya kwa moya kama siyo moja kwa moja , kila mtu anajua kuwa huyo ni mkali toka pande za Nigeria . ambaye mbaka sasa ameshatamba na vibao kadha wa kadha kama vile " PANYA" , DAYANA bila...
Kuelekea kusherehekea siku ya wapendanao Februari 14, kampuni ya simu za mkononi TECNO, imeandaa mambo makubwa ambayo yatatimiza ndoto za wateja wake wengi watakaonunua simu za TECNO SPARK4, CAMON 12 na CAMON12 AIR, sio tu wateja hata wafuasi wake wa kurasa za TECNO mtandaoni watapata nafasi...
Hello wadau! Ikiwa imebaki wiki moja tuumalize mwezi Januari, leo tujadiliane kitu kimoja. Kwa namna moja ama nyingine simu zetu za TECNO zimekuwa na watumiaji wengi sana Tanzania. Huku ikionesha kuwa asilimia kubwa ya watu walioanza kutumia smartphone kwa mara ya kwanza kulingana na tafiti zetu...
Toleo jipya la simu CAMON 12 Pro ya hivi karibuni imewekewa kitufe cha Msaidizi wa Google (Google assistant) ambacho kinaruhusu watumiaji kufanya mambo mengi zaidi kwenye mfumo wa Google.
Kampuni kinara ya Kimataifa ya simu za rununu ya TECNO yenye simujanja yake ya Camon 12 Pro ya hivi...
Imetumika miezi miwili tu nauza kwa bei ya TSH 270,000 ipo katika hali nzuri haina tatizo lolote napatikana Mabibo Mwisho Dar es Saalam wasiliana nami kupitia 0767324191 au 0679318693.
Tecno Spark 4 Air ni simu yenye sifa zifuatazo:-
1. Display: IPS LCD, 6.1 inches
2. OS: Android 9.0 (Pie)
Kwa kuboresha toleo la hivi karibuni la mfumo endeshi na kiolesura cha mtumiaji, mabadiliko murwa na yenye kuburudisha zaidi yanakusubiri uyavinjari.
Wakati huu, huhitaji tena vipodozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.