tegeta

The Tegeta escrow account scandal is a 2014 multi million-dollar corruption scheme in the government of Tanzania. Reports and documents show that between US $250 million and $800 million were transferred from the Bank of Tanzania, the country's central bank, and distributed illegally among government officials.

View More On Wikipedia.org
  1. S

    House4Rent Nyumba inapangishwa Tegeta Masaiti

    Nyumba inapangishwa Tegeta Masaiti 1km kutokea Kibo complex na pia 1km kutokea nyuki sokoni. Nyumba ina vyumba 2, sebule, dining, choo na bafu. Nje ina servant house ya vyumba viwili na mabanda ya kuku mawili yenye uwezo wa kufuga kuku broiler, kienyeji/ bata au sungura. Eneo zima...
  2. S

    Wana JF, Karibuni China bar tegeta tule bata

    HABARI za muda huu wana JF Leo niko hapa China bar tegeta nakula bata, Kama Uko karibu Njoo tujumuike na kula bata, I. e Kunywa bia, kucheze music na totoz zilizopo hapa China bar, Maana naona warembo wazuri balaa! Karibuni wana JF tule bata
  3. M

    Tanesco Tegeta lazima kuna jipu. Mnakata umeme zaidi ya saa 20 mara kwa mara

    Jamani mpaka inaboa, umeme wanakata masaa 20 ukipiga nguzo imeanguka, haya mara kuna tatizo linashughulikiwa . Haiwezekani maeneo hayohayo yakapata matatizo ndani ya wiki moja. Vitu vyetu vinaharibika. Lazma kuna uzembe. Tunaomba meneja wa kituo cha TANESCO Tegeta ajitafakari. Miundombinu ya...
Back
Top Bottom