teknolojia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    Freddie Figgers ,mtaalamu wa teknolojia milionea aliyetupwa katika takataka akiwa mtoto mchanga

    Aliyetupwa katika dangulo la takataka sasa ni milionea - BBC News Swahili CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES Maelezo ya picha, Freddie Figgers alikejeliwa kama mtoto "aliyenenepeana kwa kula " vyakula vyenye mafuta lakini aligeuka kuwa milionea mbunifu. Kwa mujibu wa orodha ya hivi karibuni ya watu...
  2. FRANC THE GREAT

    Huawei yageukia kwenye ufugaji wa nguruwe kutokana na kushuka kwa mauzo ya smartphone

    Habari! Kampuni kubwa ya teknolojia ya Kichina Huawei (Huawei Technologies Co., Ltd.) imezindua mradi wa ufugaji wa nguruwe kupitia teknolojia ya Akili Bandia (Artificial Intelligence) Jumatatu wakati kampuni hiyo ikigeukia katika maeneo mengine ya kibiashara wakati biashara yake ya simu janja...
  3. MIMI BABA YENU

    Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari yawakabidhi wakandarasi mikataba ya shilingi bilioni 7.5

    Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile amewaagiza wakandarasi wanaokwenda kutekeleza miradi minne ya miundombinu ya mawasiliano yenye thamani ya shilingi bilioni 7.5, kuhakikisha wanafanya kazi usiku na mchana ili kukamilisha kazi hiyo ndani ya muda wa mkataba...
  4. The Sheriff

    Waanzilishi wa jukwaa la GigSpace wawaasa vijana kutumia fursa za teknolojia ya mtandao

    Ofisa Mtendaji Mkuu na mbunifu wa jukwaa la Gigspace, Ashura Babi, akiwa na mwanzilishi mwenza, Steve Mawalla, wamesema waliamua kuanzisha jukwaa hilo kwa ajili ya kuwaongezea na kuwafungulia vijana pamoja na wafanyakazi fursa pia za ajira kupitia mtandaoni. Akizungumza katika mahojiano na...
Back
Top Bottom