tigo

  1. wanzagitalewa

    Muungano wa Tigo na Zantel utakuza uchumi kupitia soko la mawasiliano ya simu

    Ilitangazwa siku za karibuni kuwa Tanzania imepanda toka nafasi ya 144 hadi ya 141 katika taarifa ya Benki ya Dunia kuhusu ubora wa mazingira ya kufanya biashara. Hii inaifanya Tanzania kuwa nafasi ya nne katika eneo la Afrika ya Mashariki ukitazama nchi 190 duniani ambazo ripoti hiyo...
  2. Author

    Mtandao upi uko Poa kwenye internet mikoani kati ya Vodacom na Tigo

    Habari Wana JF, Nataka kuwa B2B (Business to Business) customer kwenye moja ya mitandao niliyoitaja hapo juu ambapo nitakuwa nanunua kifurushi kila mwezi. Huwa natumia sana kwenye internet. Naomba kufahamu ni mtandao gani mzuri sana kwenye internet. Nipo Mbeya Natanguliza shukrani wadau
  3. M

    Tigo na Airtel acheni usumbufu kwenye kusajili laini

    Haya makampuni ya Simu ya Tigo na Airtel yanafanya zoezi la usajili wa laini kuwa gumu kutokana na utaratibu wao wa kipekee waliojiwekea. Ukienda kusajili laini Vodacom unatakiwa uoneshe kitambulisho chako cha NIDA pekee alafu unawatajia namba zako za Vodacom unazotaka kusajili (hata kama ni...
  4. Nuraty J

    Mtandao wa Tigo ni kero

    Morning Kiukweli Tigo jamani wanakera sana, tarehe 31 October mzee amenunua kifurushi cha tsh 2500 kwa njia ya Tigo Pesa, cha ajabu hela wamekata kwenye Tigo Pesa yake na kifurushi hajapata mpaka hii leo, kila anapopiga simu wanamuambia tatizo linashughulikiwa, ni wiki sasa, japo ni hela ndogo...
  5. B

    Bashir Yakub: Nitayashitaki makampuni manne ya simu

    NAYASHITAKI MAKAMPUNI MANNE YA SIMU. BASHIR YAKUB, Wakili. 0714047241 Naishitaki Tigo, Airtel, Vodacom na Halotel. Kwa mujibu ya Sheria Namba 12/2003 ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania mashtaka ya aina hii natakiwa kuyaandikia makampuni hayo taarifa kuyataka yarekebishe ndani ya siku 30...
  6. Dive

    JOB OPPORTUNITY: Project Manager at Millicom (Tigo) Company at Dar es Salaam, TZ

    PROJECT MANAGER Seniority Level Entry level Industry Human Resources Retail Financial Services Employment Type Full-time Job Functions Project Management Information Technology JOB PURPOSE The role of the Project Manager is to plan, execute and finalize projects according to strict...
  7. makandemoja

    Picha za Mzungu anayemiliki Tigo Tanzania

    Habari wana Jamvi! Dada Cristina Mayville Stenbeck mwenye umri wa miaka 39 (Asili yake Sweden) ndio mmiliki halali (Chairman and principal owner) wa kampuni ya Investment AB Kinnevik. Kampuni hio inafanya biashara za Holding ambapo inamiliki makampuni kadhaa makubwa kama Zalando, Millicom...
Back
Top Bottom