tigo

  1. Mkogoti

    Ninadaiwa Tala, Branch, Tigo Nivushe, Nipige Tafu, M-Pawa, Songesha. Je, mimi ni nani?

    Habari za Jumapili? Katika maisha unapitia na changamoto kama hizo, nina mikopo japo sio mikubwa sana lakini inaniweka wasiwasi sana nisije nikaenda jela bure natafuta namna niwalipe madeni yao, lakini uchumi wa kati baba/mama kwangu ni shida sana; unasumbua sana mimi kwangu upo wa mwisho...
  2. DrMatelephone

    Phone4Sale Wewe Ni Tigo Agent? Unatafuta Simu Yenye OTG?

    Kama unavyojua, Ili uweze kutumia application ya Tigo Agent unahitaji OTG. Na OTG zipo kwenye simu chache tu. Kwenye simu nyingine inabidi upoteze muda wako ku-donwload OTG kwanza ndio Iweze kufanya kazi. Sasa kama hutaki kupoteza huo muda. Na unatafuta simu inayokuja na OTG moja kwa moja...
  3. Ulimakafu

    Wenye mitandao mnatukera na meseji zenu za matangazo

    Jamani wenye mitandao mmezidi kuturundikia SMS za matangazo na promosheni zenu zisizokoma mpaka usiku wa manane.Yaani kwa siku unaweza kupokea SMSs kama 5+, kwa maana hiyo ukiwa na SIM card nyingi ndio unaongeza kero. Watumiaji tunahitaji kuwasiliana ili kufanikisha shughuli zetu za kila siku...
  4. yahoo

    Tigo, Vodacom ni matapeli wa hali ya juu, hii ni baada ya kununua smart kitochi

    Baada ya kuskia matangazo ya smart kitochi, nikaenda zangu mliman city kushuhudia kitochi kikoje.nikaingia tigo kuzicheki zao then nikaingia voda, lakini nikagundua za Tigo ni bora zaidi ya voda, ingawa voda zinauzwa kwa bei ya chini na ofa zao ni nyingi ,yani wanakupa gb kibao dakika sms fb ya...
  5. Extrovert

    Vipi wake zetu wangekuwa kama mdada wa tangazo la Tigo?

    Laiti kama wake zetu wangekuwa na ukarimu wa namna ile mambo ya kupenda vipande yasingekuwepo. "Na ile elfu ninayosevu kila siku ndio nimetumia baabah!" Mwamba unaacha 10 unakula msosi wa elfu 15! 🤣🤣🤣 Ai wishi i kudu bi Haijipiii!!!
  6. M

    Jinsi watu wanavyolizwa na Tigo Niwezeshe

    Watanzania wengi wanaishi maisha ya kukopakopa. Huko kwenye kukopa ndiko watu wanalizwa vibaya sana. kama watanzania wengine nikaingia account ya tigo nikakopa airtime. Sasa nikasema ngoja ni clear deni lote leo. Haya ndo madudu niliyoyagundua; imebidi niandike ili watu tuwe macho kabla ya...
  7. MUBIKU

    Jihadharini na offer mpya inayotolewa na mtandao wa Tigo

    Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyo jieleza. Kuna ofa inatangazwa na tigo ukitoa hela na kuituma unapata 20,000 huo ni wizi mtupu nakushauri usijaribu kufanya hivo utambulia makato ya elfu 8 na kupewa elfu 2 tu au usipate chochote. Sasa hiyo ofa yao imelenga kujikusanyia pesa tu nasiyo...
  8. M

    Tigo mmebadilisha bei za vifurushi vya internet vya wiki?

    Habarini wadau na wanajf wote. Hongereni kwa kuuzingatia ushauri wa wataalamu wa afya ili kuzuia maambukizi mapya ya covid-19. Nauliza Bei mpya ya vifurushi vya internet vya wiki kwa mtao wa tigo vimebadilika kutoka sh 3000/=? nimejaribu kumnunua lakini napata and ya kuwa Sina salio la kutosha...
  9. Mpogoro

    Unlocking Modem/Router Tigo + TTCL

    Waungwana, nahitaji msaada wa ku-unlock modem/router mbili ambazo nimenunua toka kwenye mitandao ya simu Tigo na TTCL hivi karibuni. ya TTCL ni: 4G USB Wingle Model: W02 ya Tigo ni: Mobile WiFi E5573Cs - 322 Nime-attach picha zake. Kama hizi haziwezi kuwa unlocked kwa sasa tafadhali...
  10. NGolo Kante

    Tuliowahi kudhulumiwa na Mtandao wa Tigo Tanzania tukutane hapa

    Mnamo Jumanne ya Tarehe 11 mwezi huu (Februari 2020) nilinunua kifurushi cha Internet kwa njia ya Tigo Pesa. Ndugu zangu wana JamiiForums yakapita masaa 24 bila ya kupewa kifurushi wala kupewa taarifa yoyote. Nilichukua hatua ya kuwapigia Huduma kwa Wateja, nikajibiwa kifurushi changu...
  11. Boniphace Kichonge

    Tigo wamerejea kwenye ufahari wao

    Wadau
  12. mashonga

    Malalamiko mbalimbali kuhusu mabadiliko ya vifurushi yaliyofanywa na mtandao wa Tigo kwa mwaka 2020

    MALALAMIKO MBALIMBALI YALIYOTOLEWA NA WADAU: Habari za mida hii wakuu, hivi haya mabadiliko ya bando za Tigo ni kwangu tu au kwa watu wote? Maana daah bando zimekuwa ghali sana kwa sisi Wananchi wanyonge. ===== --- --- --- --- --- --- ===== WADAU WENYE MTAZAMO TOFAUTI: --- ---...
  13. MzaramoTz

    Tigo ukitaka kujiunga sms tupu unatumia menu gani aisee...?

    Wadau wote salaam. Naona kuna mabadiliko kwenye menu za vifurushi vya tigo yamefanyika siku mbili tatu hapa nyuma. Sasa katika pitia pitia zangu katika hizo menu mpya mbona sioni package ya sms tupu wakuu...? Mwenye kufahamu naomba anijuze wadau. Thanks.
  14. Mung Chris

    Laini nyingi sana za M-Pesa na Tigopesa hazitafanya kazi kuanzia leo

    Hii ni hasara, laini nyingi za MPESA na TIGO pesa zilikuwa zinauzwa mtaani kwa sh 100,000 au zaidi ya hiyo, unakuta mtu kanunua laini yenye majina hata hamjui aliye isajili, wengi walifanya biashara hiyo ya MPESA na TIGO PESA kwa laini zisizo zenye majina yao, leo zimefungwa, watapata wapi laini...
  15. Jamii Opportunities

    Commercial Manager- MFS Corporate and Partnership at TIGO

    Job Country: Tanzania Job Purpose You will be responsible for expanding Tigo Pesa market position with corporations and partners by driving the company’s overall growth strategy of bringing on new clients and increasing usage of the existing companies. You will also quantify new industry...
  16. Jamii Opportunities

    Regional Sales Manager at TIGO Kilosa

    Regional Sales Manager Kilosa Job Country: Tanzania Job Purpose Ensure achievement of sales objectives in this region and correct implementation of company strategy through effective coordination of sales and distribution to achieving above target revenue growth We Lead and Contribute By...
  17. Ninja assasin

    Msaada: Internet ya Tigo haisomi kwenye Samsung S8

    Wakuu naomba msaada, laini ya Tigo haifungui data. Simu ni Samsung S8. Naomba wataalamu wa kucheza na setting mnisaidie.
  18. Patallo95

    Jinsi ya kupata Facebook bure kwenye Tigo Kitochi 4G

    Heshima kwenu. Mimi natumia kitochi cha Tigo. Naomba usaidizi wa kuwezesha Facebook bure kwa miezi 6 kwa anayefahamu. Niliagiza simu kwa hiyo sikuweza kupata nafasi ya kuwekewa ofa zao.
  19. Mr. MTUI

    Riba za Tigo Nivushe ni kubwa sana

    Embu jionee.
  20. D

    Mwenye contacts za Mtendaji Mkuu wa Tigo

    Raia wenzangu, kuna anayejua namba ya simu ya Mtendaji Mkuu wa Tigo tumfikishie matatizo tunayopata na huu mtandao wa Tigo. Hiyo team ya Customer Service aidha hawajui watendalo au ni wajeuri. Something has to be done about the Customer Service team.
Back
Top Bottom