tigo

  1. King Elly

    FILE LA TIGO SMART KITOCHI

    FILE LA SMART KITOCHI FP 789L-T V02., FILE LINA GB 2 NJOO UCHANGIE BANDO TU NIKUTUMIE #0625796805
  2. DR Mambo Jambo

    SoC01 Kupanda kwa Bei za Miamala ya Mitandao ya Simu ni "BANK ECONOMIC STRATEGIES"

    Nawasalimia kwa Jina La JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Kabla ya yote mimi si Mjuzi sana wa mambo ya Uchumi au siasa ya uchumi ila kwa kuwa nimepata ushauri kwa wasomi wa uchumi na mambo haya ya siasa ya uchumi ningependa niwamegee kidogo kuhusu mambo nikiyoelekezwa kuhusu Trending marks...
  3. Suley2019

    Ada mpya za kutuma na kutoa pesa kwa Tigo Pesa

  4. B

    Tigo Pesa mnaudhi, nimenunua umeme juzi mpaka sasa sijapata

    Habari za asubuhi najuta kununua luku kwa kupitia tigo pesa nimenunua umeme saa 16:02 Tarehe 28.06.2021 mpaka sasa sijapata umeme majibu hayaridhishi, basi kama mmeshindwa si mrudishe pesa ya mteja. Umelipa TSh 40,000 kwa ajili ya LUKU, No. ya kampuni: 001002, kumbukumbu ya malipo:22118028400...
  5. GENTAMYCINE

    Je, hili Tangazo la Tigo linalotuhimiza kupata cha 'Asubuhi cha Tigo' TCRA na Serikali wamelibariki na kuona limekaa Kimaadili?

    Tuendeleeni tu Kuruhusu 'Upuuzi' na 'Uhuni' huu wa maneno yanayoashiria 'Ufirauni' kutumika na Makampuni ya Simu huku Serikali mkipokea Kodi yenu Kubwa na Maadili kwa Jamii na Kizazi kuzidi 'Kudidimia' tu. Kuna Kampuni nyingine nayo nimedokezwa inataka kuja na 'Promo' yake isemayo ' Ukitaka...
  6. GeoMex

    Mashtaka dhidi ya Kampuni za Mawasiliano yanawezekana

    Aisee kumbe inawezekana kabisa kuzishitaki hizi kampuni za mitandao ya simu? Manaake naona wamekua na tabia ya kujifanyia mambo kiholela sana. AY na Mwana Fa walionesha njia naona na huyu mwamba kaamu kujilipua pia. Jamaa Alikatwa TZS 4,650/- na Tigo kimakosa, Akawashitaki TCRA kuomba Fidia...
  7. Analogia Malenga

    Mbunge ataka kuwe na utaratibu wa kuchukua fedha M-Pesa, Tigo Pesa kwa watu wanaofariki na kuacha fedha huko

    Mbunge wa Viti Maalum, Judith Kapinga amesema watu wanaofariki na kuacha fedha kwenye mitandao kama Tigo pesa, M-Pesa, Airtel Money nk wanazinufaisha kampuni za simu huku serikali ikiwa haipati kitu. Ameishauri serikali iweke utaratibu ili ndugu wa karibu waweze kudai fedha hizo na serikali...
  8. Jaqen

    Mtandao wa Tigo unasumbua tangu juzi

    bawa wanachemsha mayai toka juzi, mtandao haueleweki... tunaama kumbafu kabisaa :( :(
  9. N

    Hii Tigo leo jamani! Appointment zitafeli

    Imagine ndo umepanga kuonana na mtu leo jamani. Masimu hayaendi, sms usiseme, miamala haisogei yani tafrani. Utajuta yani na ndio usikute uliomba ka emergency kazini kwa siku ya leo, mambo si ndo yashaharibika nyie. Yani nimewaza ningekua na appointment sijui ingekuaje yaini
  10. B

    Tigo, nini umuhimu wa hii huduma ya "Longa Nae"?

    JF, Naomba kujadili Hawa jamaa wa TiGO Nini hii Longanae, utakuta nusu ya airtime ambayo unalipia mfano kwa Sh 3,000 kifurushi Cha Combo kwa wiki unapata muda wa maongezi dakika 200. Kati ya hizo dakika 100 wanazi-fix automatic kwa mtu mmoja tu unayemchangua kuongea nae muda mrefu na dk 100...
  11. S

    Tigo mmekuwa unreliable

    Habari wana Jf, nadhani kuna tatizo upanda wa Tigo especially Tigo Pesa ndani ya miezi miwili haiwezikana huduma za Tigo pesa ziwe zinashida, tatizo liko wapi? Kama ni watu wa IT badilisheni au kama ni mitambo ya zamani badilisheni. Hivi mnatambua kama kuna watu wanatumia tigo pesa kama wallet...
  12. KAYAMASKINI

    Tigo acheni wizi kwa vijana wa Kitanzania

    Awali ya ya yote ni kutaka kuwasalimu kwa jina la Jamhuri na kazi iendeleeee vijana wa kitanzania waliopewa majina teamleder yasiokuwa na faida kabisa kwao na familia katika kampuni ya Tigo wanatumikisha sana zaidi ya miezi 8 mwisho anakuja kulipwa utopolo, binafisi imenisikitisha rafiki yangu...
  13. Chizi Maarifa

    Mtandao wa tigo ni Wezi wa Data

    Leo mimi mwenyewe ni mwathirika wa wizi wa bundle unaofanywa na tigo. Yaani kudownload nyimbo 3 ambazo jumla hazifiki 20MB na kutumia JF na Whatsapp. Nacheck muda huu nina 34MB katika one GB nliyokuwa nayo asubuhi. Huu ni uhuni na wizi wa kiwango kikubwa sana. Hakuna kitu ambacho nmefungua...
  14. MK254

    Duh! Tigo na Zantel zimeishindwa Tanzania, kuuzwa

    Wanaihama Afrika kabisa.... ==== Millicom International Cellular S.A. (Millicom) is selling its Tanzanian subsidiaries (Tigo and Zantel), the company announced on Monday, 19 April 2021. The telecom firm, which is listed on Nasdaq (New York City) and Stockholm (Sweden) stock markets, said in...
  15. M

    Nchi 16 zinazotumia Tigo South America na central America

    Mzuka wanajamvi! Hizi ndizo nchi 16 zinazotumia mtandao wa simu Tigo. Katika bara la South America na Latin America (Central America) South America Argentina, Uruguay, Brazil, Paraguay, Bolivia, Chile, Peru, Colombia, Mexico Central American countries. Costa Rica El Salvador Guatemala...
  16. MURUSI

    Tigo na Zantel kuuzwa kwa Axian group ya Madagascar, naona wanakimbia Socialist economy

    Millicom wameamua kuuza Tigo kwa kampuni ya Madagascar, hivyo tutarajie tigo kubadilisha jina muda si mrefu. Jamaa naona wanakimbia uchumi wa kijamaa, uchumi usioangalia Market Force bali unaongalia wanyonge wanasemaje. Habari zaidi: Dar es Salaam. Kampuni ya Millicom International...
  17. haszu

    Suala la Vifurushi ndo limeshapita! Vodacom, Tigo na Airtel wameitunishia misuli Serikali

    Ukiangalia marekebisho wanayosema wamefanya ni ujanja ujanja tu, hakuna kilichofanyika, kifupi hii naona ndo imeshapita tayari tuendelee kuisona namba.
  18. T

    Kesho nafungua kesi dhidi ya Tigo Tanzania

    TAARIFA KWA UMMA Kesho natalajia kufungua kesi dhidi ya Tigo Tanzania kwa kukiuka haki za mlaji/mteja wake. Tokea jana tarehe 6/04/2021 saa 11.15 jioni miamala ya tigo ilikuwa haitoki wala huwezi kuangalia salio niliwapigia simu 3.30 usiku wakasema ndani ya masaa 24 huduma itakuwa imerudi, Leo...
  19. E

    Tigo pesa imerudisha menu tu mazinguzi bado pale pale

    Tigo pesa wamerudisha menu ingalao unaziona lakini ukifuata maelekezo hadi kwenye kutumia pesa inazingua eti uulize huduma kwa wateja. Tigo pesa ilivyonifanya vibaya sina hamu
  20. R

    Tigo pesa kulikoni?

    Jana nilifanya muamala kwa shida. Leo tangu asubuhi najaribu lakini huduma haipatikani. Kila nikijaribu naambiwa system maintenance 🤔
Back
Top Bottom