tiktok

TikTok, known in China as Douyin (Chinese: 抖音; pinyin: Dǒuyīn), is a video-sharing social networking service owned by Chinese company ByteDance. The social media platform is used to make a variety of short-form videos, from genres like dance, comedy, and education, that have a duration from 15 seconds to one minute (three minutes for some users). TikTok is an international version of Douyin, which was originally released in the Chinese market in September 2016. Later, TikTok was launched in 2017 for iOS and Android in most markets outside of mainland China; however, it only became available worldwide after merging with another Chinese social media service, Musical.ly, on 2 August 2018.
TikTok and Douyin have almost the same user interface but no access to each other's content. Their servers are each based in the market where the respective app is available. The two products are similar, but features are not identical. Douyin includes an in-video search feature that can search by people's face for more videos of them and other features such as buying, booking hotels and making geo-tagged reviews. Since its launch in 2016, TikTok/Douyin rapidly gained popularity in East Asia, South Asia, Southeast Asia, the United States, Turkey, Russia, and other parts of the world. As of October 2020, TikTok surpassed over 2 billion mobile downloads worldwide.Vanessa Pappas is the CEO of TikTok, having assumed the position following the resignation of Kevin A. Mayer on 27 August 2020. On 3 August 2020, US President Donald Trump threatened to ban TikTok in the United States on 15 September if negotiations for the company to be bought by Microsoft or a different "very American" company failed. On 6 August, Trump signed two executive orders banning US "transactions" with TikTok and WeChat to its respective parent companies ByteDance and Tencent, set to take effect 45 days after the signing. A planned ban of the app on 20 September 2020 was postponed by a week and then blocked by a federal judge. The app has been banned by the government of India since June 2020 along with 223 other Chinese apps in response to a border clash with China. Pakistan banned TikTok citing 'immoral' and 'indecent' videos on 9 October 2020 but reversed its ban ten days later on 19 October 2020. Then in March 2021, a Pakistani court ordered a new TikTok ban due to complaints over "indecent" content.Morning Consult ranked TikTok as the third fastest growing brand of 2020, after only Zoom and Peacock. In May 2021, TikTok appointed Shou Zi Chew as their new CEO.

View More On Wikipedia.org
  1. chiembe

    Tiktok yashtushwa na kushangazwa na idadi ya wasukuma katika mtandao wao. Waongoza kwa kutengeneza content

    Hakika si kilimo tu, sasa wameingia katika dunia ya teknolojia ya habari na mawasiliano kwa kasi kubwa.
  2. K

    Naomba nifundishwe namna ya kuingiza pesa nikiwa na akaunti ya TikTok

    Naomba msaada wenu namna ya Kupata pesa kutokana na kuwa na acc. Ya TikTok pia umuhimu wa live chat.
  3. stabilityman

    Account ya tiktok yenye followers 6000 inuzwa

    Habari wakuu Account ya tiktok yenye followers 6000 inuzwa Account ni kama flem ya biashara 0615813053
  4. Technophilic Pool

    China inatumia Tiktok kuadvance agenda zake kimataifa kwanini Tanzania isitumie app za ndani kama JamiiForums Kudominate Global tech??

    Wakuu nauliza tu!! Kulingana na dunia inavo enda Tech giant zinapewa pesa na serikali zao kusambaza ajenda na maslahi ya nchi zao!! Tanzania tuna ajenda nyingi ambazo tunaweza kuzitumia tech zetu hata kama ndogo kuadvance kwene uso wa dunia Mfano ni hii JamiiForums ambayo mizizi yake ni hapa...
  5. Waufukweni

    TikTok imetangaza kusitisha rasmi shughuli zake nchini Marekani ifikapo Januari 19, 2025

    Kampuni ya TikTok imetangaza kwamba itasitisha rasmi shughuli zake nchini Marekani ifikapo Januari 19, 2025, iwapo Mahakama Kuu haitasitisha au kuchelewesha sheria inayotaka ByteDance, kampuni mama ya TikTok, kuuza hisa zake kwa mwekezaji wa Marekani. Soma: TikTok yapewa muda hadi Januari 19...
  6. Aramun

    Tiktok yarudisha huduma zake Marekani baada ya juhudi za Rais mteule Donald Trump

    Tiktok imetangaza huduma zake kurejea nchini Marekani, baada ya juhudi za Trump kurefusha muda wa majadiliano mpaka hapo atakapoingia madarakani rasmi. Sababu nyingine kubwa ya Trump kuipambania Tiktok irudi hewani Marekani ni kutaka uapisho wake hapo kesho uweze kwenda "Live" kwa watumiaji wa...
  7. Mr Why

    Watumiaji wengi wa TikTok Marekani wamemtusi Mark Zuckerberg kwa kumuita mjusi wakidai yeye ndiye mfitini mkubwa wa TikTok kufungiwa

    Idadi kubwa ya watumiaji wa TikTok Marekani wamemtusi Mark Zuckerberg kwa kumuita mjusi wakidai yeye ndiye mfitini mkubwa wa TikTok kufungiwa ili kampuni yake ya META iongeze watumiaji Watumiaji hao wamedai hawako tayari kutumia bidhaa za META na wengi wamefuta Application zake katika simu zao...
  8. jingalao

    Vita ya makampuni ya mitandao kati ya USA na CHINA inaelekea kutamu

    Vita ya makampuni ya mitandao kati ya USA na CHINA inaelekea kutamu. Baada ya Hukumu ya kuifunga TIKTOK huko marekani hatimaye followers wa Tiktok wanahama kwa mamilionj na kujiunga na app nyingine ya kichina inayoitwa Red note. Sambamba na kuhama wamerekani wengi wanajikuta wanagundua kuwa...
  9. Yoyo Zhou

    “Wakimbizi wa TikTok” wa Marekani wafungua dirisha jipya la kuifuatilia China

    Huku marufuku ya TikTok ikikaribia, wanasiasa wa Marekani wanaoendelea kupinga China wamegundua kwamba App nyingine ya kijamii ya China ‘Rednote’ imezidi kuwa maarufu nchini Marekani. Katika siku za hivi karibuni, idadi kubwa ya watumiaji wa TikTok wa Marekani wamejiunga na Rednote, na...
  10. Waufukweni

    TikTok inajiandaa kufunga App yake kwa watumiaji wa Marekani Jumapili, Januari 19

    TikTok inajipanga kuzima huduma ya App yake kwa watumiaji wa Marekani kuanzia Jumapili hii ya Januari 19, iwapo Mahakama ya Juu haitazuia marufuku hiyo, kwa mujibu wa ripoti ya The Information. Soma: TikTok yapewa muda hadi Januari 19, 2025 iwe imeuza hisa zake kwa mwekezaji wa Marekani au...
  11. Mi mi

    Je, Xiaohongshu[RedNote] utakuwa mtandao mbadala wa TikTok endapo utafungiwa January 19 ?

    Huu mtandao wa kichina Xiaohongshu kwa jina la kiingereza RedNote utaweza kuwa mbadala wa TikTok marekani kama utaweza kukufungiwa Januari 19 au ni nguvu ya soda tu kwa sasa. Xiaohongshu, also known as RedNote, has hit #1 on the US App Store following news of a possible TikTok ban on January...
  12. errymars

    China yajadili mpango wa kuuza TikTok kwa Elon Musk

    https://fntaz.com/china-yafikiria-kuuza-mtandao-wa-tiktok-us-kwa-elon-musk/
  13. Mr Why

    Marekani ni Taifa lenye dhuluma ya Kibiashara tangu enzi za s lol slave trade, haikuishia hapo bado linaendeleza dhuluma hiyo kwa TikTok

    Marekani ni Taifa lenye dhuluma ya Kibiashara tangu enzi za Biashara ya utumwa, haikuishia hapo bado linaendeleza dhuluma hiyo kwa TikTok Hili Taifa la Marekani linanuka laana ya dhuluma waliotendewa mababu zetu kipindi cha biashara ya utumwa Taifa la Marekani limekuwa ni Taifa lisilotaka...
  14. Mtoa Taarifa

    Trump aitaka Mahakama kuchelewesha ufungiaji wa Tiktok hadi atakapoingia Ikulu ili atafute suluhu

    Rais Mteule Donald Trump, ametoa wito kwa Mahakama ya Juu kuchelewesha uamuzi wa kuufungia Mtandao wa Tiktok unaomilikiwa na kampuni ya ByteDance ya China, hadi atakapoingia rasmi madarakani na kuahidi kutafuta suluhu. Tiktok yenye watumiaji takriban Milioni 170 nchini humo, inakabiliwa na amri...
  15. Waufukweni

    TikTok yapewa muda hadi Januari 19, 2025 iwe imeuza hisa zake kwa mwekezaji wa Marekani au ifungiwe

    Mahakama ya Rufaa ya D.C. imetangaza uamuzi wa kuunga mkono sheria inayotaka ByteDance, kampuni mama ya TikTok kutoka China, kuuza hisa zake za programu hiyo ifikapo Januari 19, 2025, la sivyo itakabiliwa na marufuku kote Marekani. Sheria hiyo, inayojulikana kama Protecting Americans from...
  16. nergomafioso

    Natafuta mfadhili/mwajiri/partner tutakaeweza kuanzisha channel ya youtube/podcast sehemu yoyote tanzania

    Mimi ni kijana umri 26 Napatikana katika moja ya wilaya mkoani Dodoma, Natafuta mtu mwenye interest ya kuanzisha channel ya YouTube in any niche niko na uelewa na Algorithm ya YouTube inavyoenda nimekosa vifaa kutokana na hali ya maisha ninakotokea, Kama unamtaji na ulitamani siku moja kufahamu...
  17. Kang

    TikTok imeambiwa ifunge ofisi zake Canada

    Baada ya usalama wa taifa Canada kuifanyia tathmini App ya TikTok inayomilikiwa na kampuni ya kichina ya ByteDance wameiamuru kampuni hiyo kufunga ofisi zake Canada mara moja, app yenyewe itaendelea kupatikana Canada. TikTok ina wafanyakazi mia kadhaa Canada wengi wao sio raia wa Canada. Sababu...
  18. Jaji Mfawidhi

    Australia: Serikali kupiga marufuku watoto chini ya 18 kuwa na Insta, X, Facebook na Tiktok?

    Serikali ya Australia imeonyesha njia baada ya kupiga marufuku mtoto chini ya miaka 16 kuwa na akaunti ya. mitandao ya kijamii ili kulinda maadili. Nimezungumza na maelfu ya wazazi, babu na nyanya, shangazi na wajomba. Wao, kama mimi, wana wasiwasi kuhusu usalama wa watoto wetu mtandaoni...
  19. R

    Wajuzi nielimishe: Kuna tofauti gani kati ya Youtube na TikTok katika technology wanazozitumia, nani alimuigilizia mwenzake

    Mfano magari yote yanatumi carnot cycle invention! Mengine yote baada ya carnot cycle invention, I can call it Industrial designs tu ndizo tofauti! Sasa hawa Youtube na Tiktok wanatofaunian namna gani technologywise!
  20. Teknolojia ni Yetu sote

    TikTok itafungwa

    TikTok itafungwa 2025 TikTok itakutana na rungu nchini marekani ifikapo January 2025 itakua mwisho kutumika nchini marekani. Ikiwa byte dance atashindwa kuuza hisa zake kwa wamarekani. Karatasi aliyotia sign raisi wa marekani Biden kuwapa muda wachina waliounda app ya TikTok siku 270 kuweza...
Back
Top Bottom