tiktok

TikTok, known in China as Douyin (Chinese: 抖音; pinyin: Dǒuyīn), is a video-sharing social networking service owned by Chinese company ByteDance. The social media platform is used to make a variety of short-form videos, from genres like dance, comedy, and education, that have a duration from 15 seconds to one minute (three minutes for some users). TikTok is an international version of Douyin, which was originally released in the Chinese market in September 2016. Later, TikTok was launched in 2017 for iOS and Android in most markets outside of mainland China; however, it only became available worldwide after merging with another Chinese social media service, Musical.ly, on 2 August 2018.
TikTok and Douyin have almost the same user interface but no access to each other's content. Their servers are each based in the market where the respective app is available. The two products are similar, but features are not identical. Douyin includes an in-video search feature that can search by people's face for more videos of them and other features such as buying, booking hotels and making geo-tagged reviews. Since its launch in 2016, TikTok/Douyin rapidly gained popularity in East Asia, South Asia, Southeast Asia, the United States, Turkey, Russia, and other parts of the world. As of October 2020, TikTok surpassed over 2 billion mobile downloads worldwide.Vanessa Pappas is the CEO of TikTok, having assumed the position following the resignation of Kevin A. Mayer on 27 August 2020. On 3 August 2020, US President Donald Trump threatened to ban TikTok in the United States on 15 September if negotiations for the company to be bought by Microsoft or a different "very American" company failed. On 6 August, Trump signed two executive orders banning US "transactions" with TikTok and WeChat to its respective parent companies ByteDance and Tencent, set to take effect 45 days after the signing. A planned ban of the app on 20 September 2020 was postponed by a week and then blocked by a federal judge. The app has been banned by the government of India since June 2020 along with 223 other Chinese apps in response to a border clash with China. Pakistan banned TikTok citing 'immoral' and 'indecent' videos on 9 October 2020 but reversed its ban ten days later on 19 October 2020. Then in March 2021, a Pakistani court ordered a new TikTok ban due to complaints over "indecent" content.Morning Consult ranked TikTok as the third fastest growing brand of 2020, after only Zoom and Peacock. In May 2021, TikTok appointed Shou Zi Chew as their new CEO.

View More On Wikipedia.org
  1. JanguKamaJangu

    Marekani: Wabunge waibua muswada wa kuizuia TikTok sababu ya kiusalama

    Muswada huo ni mwendelezo wa Marekani kupinga mtandao huo unaomilikiwa na Kampuni ya ByteDance ya China. Novemba 2022 mabosi wa FBI walielezea wasiwasi wao kuwa TikTok inaweza kuwa sehemu ya ushawishi kwa Wamarekani wengi kutumia vifaa vya China. TikTok ambayo ina watumiaji zaidi ya Milioni...
  2. BARD AI

    Marekani: Tiktok yashtakiwa kwa kudanganya kuhusu Usalama wa Taarifa Binafsi za Watumiaji

    Mwanasheria Mkuu wa Jimbo la Indiana amesema mtandao huo unawapotosha watumiaji wake hasa watoto kuhusu kiwango cha Maudhui Yasiyofaa na Usalama kwa Mtumiaji. Katika malalamiko yaliyowasilishwa na Todd Rokita ambaye ni Wakili Mkuu wa Republican amesema kuwa Tiktok inakusanya maelezo nyeti na ya...
  3. BARD AI

    Mkurugenzi wa FBI asema wana wasiwasi na TikTok kuhusu usalama wa Marekani

    Mkurugenzi wa FBI, Chris Wray amesema mtandao wa kijamii wa China TikTok umeanza kuwatia "wasiwasi wa kuhusu usalama wa taifa la Marekani. Akizungumza katika hafla katika Chuo Kikuu cha Michigan, Wray alionesha wasiwasi kwamba Serikali ya China inaweza kutumia data zilizokusanywa kupitia TikTok...
  4. Nafaka

    Tiktok inatuhumiwa kuchukua 70% ya donations ambazo wanatumiwa wakimbizi

    Watoto ambao ni wakimbizi huko Syria wamekuwa wakitengeneza videos ambazo wanaziweka Tiktok kisha watu wanaweza kuwatumia vitu vinaitwa diamonds ambavyo wanaweza kuvibadili kuwa pesa na kuitoa. Lakini, Tiktok huchukua 70% ya hizo donations na pia agent ambapo wanaenda kutoa pesa nao wanawakata...
  5. BARD AI

    Tazama mishahara ya Mainjinia wa TikTok ilivyoshiba

    The salaries for product, engineering, and other technical roles included: Algorithm Engineer: $204,000 Android Software Engineer, Central Product Platform: $295,000 Android Software Engineer, TikTok Monetization: $210,000 Android Software Engineer, TikTok Privacy: $190,000 Android Software...
  6. BARD AI

    Twitter inafanya majaribio kuwa na sehemu ya video inayofanana na Tiktok

    Inaonekana ni ngumu sana kwa hii mitandao kuwa na idea za utofauti ambazo hazifanani na platform nyingine; sijui ni uzembe wa kubuni idea mpya au idea mpya zimeisha. Twitter imetangaza mabadiliko mawili ambayo yanafanana kabisa na TikTok na Instagram Reels. 1️⃣ Twitter inaweka sehemu ya “Video...
  7. Leonard24

    SoC02 Jamii yenye huzuni iliyojaa picha za furaha na ufahari katika mitandao ya kijamii

    Utambulisho Habari Wana jamii Forum,kwa majina naitwa Lenny Godfrey mkazi wa wilaya ya kinondoni jijini Dar-Es-Salaam.Na pia Mimi ni mwanachuo wa chuo kikuu Cha Sayansi na Teknologia Cha mtakatifu Joseph Mbezi jijini Dar-Es-Salaam katika ngazi ya Uhandisi. Kutokana na ukuaji wa Sayansi na...
  8. C

    Je, kuna ukweli wowote kuhusiana na madai ya ''Instagram'' kujaribu kuwa kama ''Tiktok''?

    Mathalani, kumekuwepo na madai ya kwamba mtandao mkubwa wa kijamii ujulikanano kama ''Instagram'' kunakili na kuiga vipengele mbalimbali vya mtandao mwingine unaukua kwa kasi na kupendwa na watu wengi maarufu kama ''TikTok'' ambaye ni mpinzani mkuu wa mtandao wa Instagram kwa kuzindua baadhi ya...
  9. Tomaa Mireni

    Ujenzi rahisi kwa kutumia interlock blocks, jenga popote, jenga sasa

    Interlock blocks au bricks ni aina ya tofali zinazofungamana kwenye ujenzi bila kutumia zege(motor) kuziunganisha,zinapigwa kwa saruji na udongo wenye mfinyazi kiasi. Tofali hizi zinatumia saruji kidogo sana(10%) tu ya udongo. Hizi tofali zipo miundo mingi sana lakini nitazungumzia aina ya...
  10. beth

    India: Ofisi za Vivo zapekuliwa kufuatia tuhuma za utakatishaji fedha

    Inaripotiwa kuwa, Maafisa wamevamia na kupekua Ofisi kadhaa za Kampuni ya Kielektroniki ya Vivo kutoka China kufuatia shutuma za utakatishaji Fedha. Mapema mwaka huu, upekuzi wa aina hiyo pia ulifanywa kwa Xiaomi na Huawei Vivo imejijengea jina kubwa Nchini India, ikielezwa imeajiri Wahindi...
  11. Gulio Tanzania

    Mionekano ya vijana wa kiume huko tiktok mbona ina utata sana

    Huu mtandao Nimeujua muda mrefu ila nilikuwa sijawahi kabisa kuingia kuna clip nyingi nilikuwa naona zinasambazwa kwenye mitandao mingine kiukweli kama mtu siku hiyo upo bored ukikutana na clip za tiktok zitakufanya ufurahi Sasa leo ndio nimepakua hiyo app nimeingia kwenye huo mtandao nimeona...
  12. Lady Whistledown

    Kenya 2022 Kenya: Mtandao wa Tiktok washutumiwa kwa uchochezi kuelekea Uchaguzi Mkuu

    Katika utafiti uliofanywa na Odanga Madung, mtafiti kutoka Taasisi ya Mozilla, ulibaini kuwa watumiaji wa TikTok nchini Kenya wanaonyeshwa video ambazo ni za matusi, zinazochochea vurugu au habari za uwongo za kisiasa Inaelezwa kuwa zaidi ya video 130 zilizohusishwa na akaunti 33 zilitazamwa...
  13. beth

    Taliban yaamuru TikTok kupigwa marufuku kwa madai inapotosha Vijana

    Serikali ya Taliban imeagiza 'App' maarufu ya TikTok kupigwa marufuku kwa madai kuwa inasababisha Vijana Nchini Afghanistan kupotea Haijafahamika wazi ni lini marufuku hiyo itaanza lakini Msemaji wa Taliban, Inamullah Samangani amesema hatua hiyo ilikuwa ya lazima ili kuzuia kizazi hicho...
  14. Kasomi

    TikTok yaipiku Google kwa wingi wa watumiaji wa mitandao

    TikTok inapendwa zaidi na watumiaji mtandaoni kuliko Google ambayo imeshikilia nafasi hiyo kwa miaka 10 mtawalia. Mtandao huo wa kushirikisha video unatembelewa zaidi kuliko Injini ya utaftaji ya Marekani, kulingana na Cloudflare, kampuni ya usalama IT. Viwango hivyo vinaonyesha kuwa TikTok...
  15. beth

    China yaendelea kubana matumizi ya Teknolojia kwa Watoto

    Toleo la China la Mtandao wa Kijamii wa TikTok linalofahamika kama 'Douyin' litadhibiti matumizi yake hadi dakika 40 kwa siku kwa Watoto walio chini ya umri wa miaka 14 Hatua hiyo inakuja wakati China ikiendelea kuchukua hatua mbalimbali kudhibiti matumizi ya teknolojia kwa Vijana. Mwezi...
  16. Regent

    Mkurugenzi wa TikTok ajiuzulu ilia apate muda wa kusoma vitabu

    Mkurugenzi wa kampuni ya TikTok, Zhang Yiming (miaka 38) amejiuzulu wadhifa wake huo. Zhang mwenye utajiri wa TZS Trilioni 101. Zhang amesema amechukua uamuzi huo ili apate muda mwingi zaidi kujisomea vitabu na kuota ndoto nyingine.
Back
Top Bottom