tiktok

TikTok, known in China as Douyin (Chinese: 抖音; pinyin: Dǒuyīn), is a video-sharing social networking service owned by Chinese company ByteDance. The social media platform is used to make a variety of short-form videos, from genres like dance, comedy, and education, that have a duration from 15 seconds to one minute (three minutes for some users). TikTok is an international version of Douyin, which was originally released in the Chinese market in September 2016. Later, TikTok was launched in 2017 for iOS and Android in most markets outside of mainland China; however, it only became available worldwide after merging with another Chinese social media service, Musical.ly, on 2 August 2018.
TikTok and Douyin have almost the same user interface but no access to each other's content. Their servers are each based in the market where the respective app is available. The two products are similar, but features are not identical. Douyin includes an in-video search feature that can search by people's face for more videos of them and other features such as buying, booking hotels and making geo-tagged reviews. Since its launch in 2016, TikTok/Douyin rapidly gained popularity in East Asia, South Asia, Southeast Asia, the United States, Turkey, Russia, and other parts of the world. As of October 2020, TikTok surpassed over 2 billion mobile downloads worldwide.Vanessa Pappas is the CEO of TikTok, having assumed the position following the resignation of Kevin A. Mayer on 27 August 2020. On 3 August 2020, US President Donald Trump threatened to ban TikTok in the United States on 15 September if negotiations for the company to be bought by Microsoft or a different "very American" company failed. On 6 August, Trump signed two executive orders banning US "transactions" with TikTok and WeChat to its respective parent companies ByteDance and Tencent, set to take effect 45 days after the signing. A planned ban of the app on 20 September 2020 was postponed by a week and then blocked by a federal judge. The app has been banned by the government of India since June 2020 along with 223 other Chinese apps in response to a border clash with China. Pakistan banned TikTok citing 'immoral' and 'indecent' videos on 9 October 2020 but reversed its ban ten days later on 19 October 2020. Then in March 2021, a Pakistani court ordered a new TikTok ban due to complaints over "indecent" content.Morning Consult ranked TikTok as the third fastest growing brand of 2020, after only Zoom and Peacock. In May 2021, TikTok appointed Shou Zi Chew as their new CEO.

View More On Wikipedia.org
  1. Mtoa Taarifa

    Mwanzilishi wa TikTok ndiye mtu tajiri zaidi wa Uchina

    Umaarufu unaokuwa kwa kasi kwa Mtandao wa TikTok umemfanya mwanzilishi mwenza wa kampuni mama yake, ByteDance, kuwa mtu tajiri zaidi wa Uchina. Kulingana na orodha ya Utajiri iliyotolewa na Taasisi ya Utafiti ya Hurun , Mfanyabiashara Zhang Yiming, sasa utajiri wake umefikia thamani ya Dola za...
  2. Riskytaker

    Nini kinasababisha Utumishi kuchelewesha kutoa Majina ya Kuripoti kazini?

    Tanzania, mara nyingi, ajira zinatangazwa na waombaji hutakiwa kusubiri kwa wastani wa miezi 2 kabla ya kuitwa kwenye mahojiano. Baada ya mahojiano, waombaji wanapaswa kusubiri tena miezi kadhaa kabla ya kuripoti kazini. Hali hii imekuwa kama desturi katika utumishi wa umma. Kwa mfano, ajira...
  3. Youngblood

    Ukidate na Gen Z kuwa makini, utajikuta TikTok

    Uzi tayari
  4. W

    Dkt. Ndubaro amuongezea faini babu wa TikTok

    Seif Kisauji 'Babu wa TikTok' Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro ameongeza adhabu ya faini kutoka shilingi milioni 3 hadi milioni 5 msanii Seif Kisauji maarufu 'Babu wa TikTok' akimtaka msanii huyo aombe msamaha hadharani kutokana na kosa la kurusha maudhui ya sanaa...
  5. Lanlady

    Pre GE2025 Napendekeza Tanzania iufunge Mtandao wa TikTok

    Watumiaji wengi wa TikTok hawana maadili. Badala ya kumfungia mtu mmoja mmoja, ni afadhali wakafungia mtandao, hadi pale elimu itakapotolewa kuhusu matumizi ya mtandao huo. Binafsi sina account ya mtandao lakini kwa video zinazotumwa kwenye mitandao mingine kutoka kwa watumiaji wake; inaonesha...
  6. Replica

    Nimeshangazwa na ukubwa wa biashara ya ukahaba Tiktok, kweli siku hizi haina haja kujipanga Riverside

    Jana ika-pop up video ya live Tiktok mida ya jioni/usiku, zimejaa video za wadada kitandani wengine wakifanya biashara indirect huku wengine wakiwa tayari wamejiwekea price tag na zina viewers hatari. Tanzania watu wako mitandaoni, kila video inao watu... Nikakuta moja ya kidume kajiwekea live...
  7. Mr Why

    Vijana wenzangu msipoteze muda wenu kusubiri hela za Google, Facebook na TikTok kwasababu ni hela za chai, mtachelewa kufanikiwa

    Vijana wenzangu, maendeleo makubwa mnayoyaona hapa Tanzania ikiwemo biashara kubwa, majumba makubwa na magari ya kifahari hayajapatikana kwa hela za mitandaoni Bali maendeleo haya yalipatikana kwa kufanya kazi kwa bidii kubwa ndipo mafanikio haya yakapatikana Nyumba mnazoziona Salasala, Mbezi...
  8. Cute Wife

    Serikali yazuia mtandao wa X na TikTok, walazimika kutumia VPN ili kupata huduma kwenye mitandao hiyo

    Wakenya wengi waripoti shida ya kuweza kutumia mtandao wa X pamoja na TikTok. Hii ni baada ya mitandao hii kutumika zaidi kupanga harakati za maandamano na kuhamasishana kuunga mkono maandamano hayo.
  9. N

    UK ELECTION: Suspicious accounts with Nigerian following being used to push pro-Reform UK content on TikTok

    As Rishi Sunak and Keir Starmer faced their first head-to-head debate of the election campaign, all eyes were on how they would perform. But cybersecurity experts at Cardiff University working with ITV News noticed a collection of accounts with "unusual behaviour" on TikTok pushing support for...
  10. Yoyo Zhou

    TikTok “inayotishia usalama wa taifa” yageuka kuwa chombo kizuri cha kushindania uchaguzi nchini Marekani

    Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Marekani, rais wa zamani wa nchi hiyo Donald Trump amefungua akaunti ya TikTok, ili kuwavutia wapiga kura vijana, na kufanya maandalizi kwa ajili ya uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi Novemba mwaka huu nchini humo. Kabla ya hapo, Rais wa sasa Joe Biden pia...
  11. X

    Donald Trump ajiunga TikTok ndani ya masaa 24 tu amepata followers milioni 2

    Make China great again? App ileile ambayo alitaka kuifungia akiwa raisi. Mzee kachekecha akili akaona ili apate kura za vijana ajiunge TikTok Post yake ya kwanza tayari imepata likes zaidi kuliko posts zote kutoka kwa @BidenHQ katika muda wa miezi 4 ambao wamekuwa kwenye TikTok. Tutashuhudia...
  12. M

    Kwanini wadau wanajamii forum mnabeza mtandao wa TikTok.

    Binafsi sijapendezwa na baadhi ya wanajamii forum kubeza mtandao wa TikTok. Mwanzo nilikuwa sio mfuatiliaji wa mtandao huo(TikTok) kwakuwa niliona watu wengi hapa wakisema kuwa hauna maudhi mazuri na kuudharau kutokana na wao wanavyo uchukulia. Cha ajabu na kushangaza nina mwezi sasa...
  13. Replica

    Tiktok yaligomea Bunge la Marekani, ByteDance yasisitiza haitauzwa

    Kampuni ya ByteDance ambayo ni Kampuni mama ya Mtandao wa Kijamii wa TikTok, imeshikilia msimamo wake kuwa haitauza mtandao huo licha ya tishio la kufungiwa nchini Marekani. Bunge la Marekani hivi karibuni lilipitisha sheria ya kuilazimisha Bytedance, ambayo ni Kampuni ya China kuuza mtandao...
  14. BARD AI

    Rais Biden asaini Sheria itakayoifungia TikTok kama haitamilikiwa Marekani

    Biden signs Israel, Ukraine, TikTok bill into law President Joe Biden signed into law measures to provide aid to Israel, Ukraine and Taiwan, as well as force the divestiture of social media platform TikTok from its Chinese parent company ByteDance or face a national ban. TikTok has vowed to...
  15. L

    Wakati Marekani inaendelea kuilenga kampuni ya TikTok, TikTok inaendelea kuwa maarufu barani Afrika

    Katika siku za karibuni Marekani imeendelea na mpango wake wa kuishambulia China na makampuni yake, baada ya wabunge na ikulu ya Marekani kusema wana wasiwasi kuwa kampuni inayomiliki App ya TikTok inahatarisha usalama wa Marekani na inaweza kutumiwa kufanya ushawishi kwenye uchaguzi wa...
  16. Lady Whistledown

    Tiktok yatakiwa kutuma ripoti kila baada ya Miezi 3 katika udhibiti wa maudhui yasiyofaa

    Wizara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano ya Kenya imewaambia Wabunge kuwa kuwasilishwa kwa Ripoti za Utekelezaji kila baada ya Miezi 3 Wizarani ni sehemu ya mpango wa kushughulikia athari hasi zinazohusiana na TikTok, badala ya kuifungia nchini humo Waziri wa Habari na Mawasiliano John...
  17. Mhaya

    Bunge la Marekani lapitisha muswada wa kuifungia TikTok

    Hivi majuzi Baraza la Wawakilishi lilipitisha mswada ambao unaweza kusababisha kupigwa marufuku kwa TikTok nchini Marekani. Sheria inamtaka ByteDance, mmiliki wa China wa TikTok, kuuza maslahi yake kwa kampuni ya Marekani ili kuepuka marufuku. Mswada huo sasa umehamia kwenye Seneti, ambako...
  18. The Sheriff

    Romania: Wabunge wataka marufuku ya TikTok kuzuia propaganda na jumbe za kihafidhina

    Wanasiasa kutoka muungano wa kisiasa wa vyama vyenye uwakilishi mkubwa katika bunge nchini Romania wanapendekeza marufuku au "udhibiti mkali" wa mtandao wa TikTok, kufuatia utafiti unaoonesha kukua kwa uungaji mkono wa siasa kali za mrengo wa kulia miongoni mwa vijana, ambao ni watumiaji wakubwa...
  19. Aramun

    Serikali na Jamii, Kinachoendelea TikTok hakina afya kwa vijana wadogo

    Kumradhi kwa video hizi 2 nitakazopost, huenda zikawa zinavunja T&C za JF lakini naomba mods mziache watu na serikali wazione ili kama walikuwa hawajui basi wajue na wachukue hatua stahiki. Hizi video zimerekodiwa kutoka kwa mtumiaji mmoja, wanavyoonekana ni mtu na mpenzi wake, ila binti...
  20. BARD AI

    Serikali ya Kenya yaitaka Tiktok kueleza jinsi inavyolinda Taarifa Binafsi za Wananchi

    KENYA: Serikali kupitia Ofisi ya Kamishna wa Ulinzi wa Taarifa Binafsi (ODPC) imeiandikia barua kampuni ya ByteDance Limited inayomiliki #TikTok ikiitaka kutoa hakikisho la namna inavyofuata Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi ya Kenya Waziri wa Mambo ya Ndani, Kithure Kindiki, amesema ODPC...
Back
Top Bottom