timu ya taifa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. D

    Taifa Stars tumefika AFCON last year na kikosi hiki hiki acheni excuses, kocha asepe

    Last year tumechezaAFCON na kikosi hiki hiki . Watanzania acheni siasa kocha asepe tutafute kocha mpya, kocha hana uwezo shida yetu ni kuprogress AFCON sio kuingia AFCON acheni siasa I will be short Soma Pia: FT: AFCON 2025 Qualification | Tanzania 0-0 Ethiopia | Benjamin Mkapa Stadium |...
  2. ngara23

    Timu ya Taifa Ethiopia ni imara, kutoa sare, Taifa stars ijipongeze

    Watanzania wengi wamekariri Wanauchukulia team ya Taifa Ethiopia kizamani Ethiopia walianzia kwenye project za vijana na Sasa inaanza kuwalipa kwenye senior team. Ethiopia ni hivi majuzi kampiga Egypt The Pharaoh goli 2 bila Taifa stars haijaifunga Ethiopia mechi 7 mfululizo, Sasa maajabu Gani...
  3. SankaraBoukaka

    Kama Makocha watatu wazalendo wanaweza kutufanyia vile dhidi ya Ethiopia, basi CCM ni noma

    Hakika lililofanywa na makocha wetu wa Taifa Stars Moroko, Mgunda na Julio ni kutupotezea muda na kutoheshimu hisia zetu. Kwahiyo Mgunda na Julio ndo wamemshauri Moroko kuwa Novatus na Mao wanaweza kucheza namba 6 na 8 na tukaweza kuwa na kiungo kinachonyambuka, kwamba Kibabage anaweza kucheza...
  4. A

    Kocha Abdel Amrouache arudishwe haraka. Hawa hawatufikishi popote

    Habari ndugu zangu, Kundi letu lipo wazi mno.. ( Tanzania, DRC, Guinea na Ethiopia) Ngoja niwakumbushe jambo, kuelekea Afcon ya 2019, Tulianza na kocha mzawa Salum Mayanga. Tukadroo 1-1 mchezo muhimu wa kwanza na Lesotho tukiwa nyumbani. Tukafukuza kocha...tukamleta kocha mpya mnigeria...
  5. USSR

    Kwanini mechi za Taifa Stars ziwe za kulipia viingilio? na Vipi kuhusu pesa za goli la mama?

    Kama mnatoa ruzuku kule Baraza la Michezo la Taifa BMT na wizara ya michezo inapata pesa za kuendesha timu za taifa iweje watanzania walipie kuona matches za timu yao ya taifa . Kama mnalipia hadi bao la goli za vilabu inakuwaje matches za timu ya taifa hakuna na tulipie kuona na kutaka kuona...
  6. W

    Luis Suarez atangaza kuacha kuchezea timu ya taifa ya Uruguay

    Mshambuliaji wa Uruguay, Luis Suarez (37) ametangaza rasmi kustaafu soka la Kimataifa WASIFU WA LUIS SUAREZ KATIKA TIMU YA TAIFA URUGUAY Jina Kamili: Luis Alberto Suárez Díaz Tarehe ya Kuzaliwa: Januari 24, 1987 Uraia: Uruguay Nafasi: Mshambuliaji 'Striker' Umri: 37 Mwaka alioanza...
  7. kavulata

    Bila kujua, wasemaji wa Simba, Yanga na Azam wanaidhoofisha Taifa Stars

    Timu ziko nyingi kwanini iwe wasemaji wa Azam, Simba na Yanga tu wahamasishe timu ya taifa? Kama ni kwaajili ya kuwa na mashabiki wengi lakini kuna ushahidi gani kuwa Azam ina mashabiki wengi kuliko KMC na Coastal Union? Pili, kuna wasemaji ambao huwa wanajigamba hadharani kuwa timu zao zimetoa...
  8. kavulata

    Benchi la ufundi la Timu ya Taifa liwe bora kuliko la vilabu

    Taifa stars ifundishwe na walimu wenye ubora na uzoefu mkubwa kuliko wachezaji wanakotoka kwenye timu zao. Hii itachechemua fikra za wachezaji kuhusu timu yao ya Taifa. Mwanafunzi wa chuo kikuu kufundishwa na mwalimu wa secondari haiamshi hamasa ya mwanafunzi kutaka kujifunza. Timu yetu ya Taifa...
  9. D

    Awesu Awesu ni mashine hajaitwa timu ya Taifa ila Feitoto kaitwa. Kuna shida pale Taifa Stars

    Huyu kocha Morocco tumwangalie vizuri, anashida ya ku chagua kikosi. Feitoto ni nuksi timu ya Taifa. This is known. Next time tunamwomba Awesu Awesu. Achana na Fei toto. International games ANAPOTEZA muda.
  10. Orketeemi

    Beki wa Simba Valentino Nouma hajaitwa timu ya taifa

    Klabu ya Simba ilitangaza kwamba beki wake Valentino Nuoma ameitwa timu ya taifa ya Burkina Faso Lakin baada ya kufuatilia imegundulika kwamba beki huyo hajaitwa. Najiuliza Je nin kimetokea?
  11. D

    Feisal toto kwanini anaitwa timu ya Taifa na hana kiwango wala msaada timu ya Taifa . bora Awesu Awesu

    I will be short. when did Fei toto ever help taifa stars in anything?? Kwenye mechi yeye ndo mzingo wa timu. hana analofanya anazunguka tu kwenye mechi then anatolewa. Morocco anaona nini kwa Fei toto? Mechi kibao hana hata assist timu ya Taifa. then kila list yupo ila kiwango Hana. ni...
  12. USSR

    Baba yake Mbwana Samatta amuijia juu kocha Morocco kuhusu kumwacha mwanaye kwenye kikosi cha stars

    "Inaonekana kuna aina Fulani ya chuki kutokana na mafanikio ya mwanangu Mbwana, bado Mbwana ana nafasi kubwa sana katika timu ya taifa, Samatta na Msuva ni wachezaji muhimu sana kwenye taifa letu, kwa asilimia kubwa wao ndio wamesababisha tufuzu kucheza AFCON zote mbili "Kwenye kombe la dunia...
  13. Labani og

    Taifa stars Yanga waitwa 7 Simba wachezaji wa 3

    Kikosi cha wachezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kitakachoingia kambini kujiandaa na mechi mbili za kufuzu kushiriki michuano ya mataifa Afrika (AFCON 2025). Ally Salim(Simba SC) GK Aboutwalb Mshery (Yanga) GK Yona Amos (Pamba SC) GK Lusajo Mwaikenda (Azam FC) Nathaniel Chilambo...
  14. BigBro

    TANZIA Kocha Sven-Goran Eriksson amefariki Dunia

    Aliyekuwa meneja wa zamani wa timu ya taifa ya England, Sven-Göran Eriksson, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 76. Eriksson alitangaza kuwa ana ugonjwa wa saratani usiotibika mnamo Januari mwaka huu. Mswidi huyu alikuwa kocha wa kwanza wa kigeni kuinoa timu ya taifa ya England. Aliongoza...
  15. Melubo Letema

    Timu ya Taifa ya Riadha Olimpiki yatua Dar, kesho kupaa Paris, Ufaransa

    Pichani : Kutoka kushoto ni Magdalena Shauri, Gabriel Gerald Geay , Jackline Sakilu na mwisho ni Nahodha Alphonce Felix Simbu. TIMU ya Taifa ya Riadha itakayoiwakilisha Tanzania katika michezo ya Olimpiki Paris 2024, imewasili jijini Dar es Salaam leo Agosti 6 ikitokea kambini jijini Arusha...
  16. Melubo Letema

    Timu ya taifa ya riadha ipo kambini jijini Arusha, tayari kwa safari ya Olimpiki Paris, Ufaransa

    BAADA ukimya wa muda mrefu , Timu ya Taifa ya Riadha ipo kambini Sakina , Arusha tayari kuanza kuendela na maandalizi ya mashindano makubwa ya Olimpiki ambazo zitafanyika mwezi Julai 26 hadi Agosti 11 huko Paris Ufaransa. Tanzania itawakilishwa na wanariadha wanne ambao wanakimbia mbio ndefu...
  17. Lady Whistledown

    Kocha wa Timu ya Taifa ya England ajiuzulu

    Gareth Southgate ametangaza rasmi kujiuzulu kwake kama meneja wa timu ya taifa ya England baada ya kuwa madarakani kwa karibu miaka minane. Southgate, ambaye alianza kazi yake mwaka 2016, ameiongoza England hadi fainali ya Euro 2024 na nusu fainali ya Kombe la Dunia la 2018. Shirikisho la...
  18. Godee jr

    Siasa isiwepo Timu ya Taifa

    Nashukuru Mungu timu yetu imeshinda leo. Ombi langu ni kuwa wanasiasa wasijaribu kutia pua yao kwenye timu yetu. Huwa mnatugawa sana na sipendi hichi kitu. Naomba mambo yabaki kama yalivyokuwa leo. Tuwaamini wachezaji na makocha tafadhali.
  19. NALIA NGWENA

    Dickson Job na Ladack Chasambi wametemwa kwenye kikosi Cha timu ya Taifa

    DAR ES SALAAM: KAIMU Kocha Mkuu wa @taifastars_ Hemed Suleiman Morocco ameita kikosi cha wachezaji 34 kujiandaa na mchezo wa Juni mwaka huu dhidi ya Zambia, kuwania kufuzu Kombe la Dunia mwaka 2026 nchini Marekani, Mexico na Canada. MAONI YANGU : Dicksoni Job na ladack Chasambi wamekua na...
  20. SOVIET UNION

    Kuna ya Adidas, Nike na Puma kwenye timu ya Taifa ya Brazil

    Haya mambo ya jezi kumbe ni biashara kubwa sana? Brazili inapiga kama Bilion 80 kwa mwaka kutoka Nike.
Back
Top Bottom