toyota

  1. Kendrick Rama

    Msaada kwa anayefahamu bei ya Toyota Alphard

    anayejua bei ya hii gari Toyota Alphard naomba anisaidie please! naimani humu JF ni sehemu ya kupata jibu sahihi kuliko huko mtaani
  2. Feliciansanyenge

    Toyota Isis Vs Wish 1800 CC

    Nimejichangachanga nataka moja kati ya hizo, kwa anayezifahamu, ni ipi nzuri kuanzia muonekano, uimara mpaka perfomance.
  3. kalagwena

    Nataka kuagiza Toyota Crown. Nitenge bajeti kiasi gani?

    KIMOMWEMOTORS Mkuu nataka kuagiza toyota crown royal saloon ya mwaka 2008, cc 2500 na mileage kama km 115000. Mpaka unanikabidhi nitenge Tshs ngapi?
  4. Feliciansanyenge

    Toyota Isis/Wish/Caldina 1800cc

    Nahitaji gari moja kati ya hizo , iwe imesajiliwa hivi karibuni ofa yangu ni m9 Nicheki watsapp 0767525764
  5. Feliciansanyenge

    Toyota Caldina or Fielder inahitajika

    Toyota Caldina au Fielder 1800 cc imetumika nchini muda mchache inahitajika. Budget mil 9! Ni contact via Whatsapp 0767525764
  6. Bpk

    Ulaji wa mafuta Toyota Vitz

    Nina gari aina ya Toyota Vitz ya mwaka 2000 yenye cc 990 ulaji wake wa mafuta ni km 9 kwa litre 1. Wakati kwa wengine inakula 12km kwa litre. Kwangu tatizo litakuwa ni nini wadau.
  7. M

    Anayeifahamu vizuri Toyota Starlet anisaidie

    Mwenye uelewa zaidi wa Starlet (Carat model 1999, 4E-FE engine) naomba anijuze uimara na upatikanaji wa spares nisije kupoteza pesa zangu.
  8. JOH CARLOS

    INAUZWA Toyota Rav-4 short chasis inauzwa (ANW)

    Lipo katika hali nzuri (karibu ukague gari) Lipo Mabibo Lina milango mitano 1990 cc Bei ni Tshs 3.4M (negotiable) Call or text: 0692141994
  9. Magari Aina Zote

    Car4Sale Magari mbalimbali mazuri yanayouzwa leo

    Ndugu mdau uliyekuwa ukitufuatilia kupitia mnakasha huu, tunapenda kukufahamisha kuwa kutokana na mabadiliko ya sera zetu, tumelazimika kufungua mnakasha mpya kwa ajili ya magari yanayotoka moja kwa moja Japan na nchi nyingine. Hivyo sasisho zote kuhusu bidhaa na huduma zetu utazipata huko...
  10. K

    Ni engine gani nzuri kwa Toyota Hilux Double Cabin

    Wakuu nataka kununua Toyota Hilux Double Cabin, ila changamoto ni kujua engine gani hazina usumbufu katika gari hiyo.
  11. English Learner

    Natafuta Toyota Noah SR40 ya Kununua

    Wadau, Poleni na kazi za kutafuta mkate wa kila leo. Baada ya kukosa Toyota Noah ya kukodi nimeamua kujimwambafy kwa kutafuta ya kununua. Nahitaji Toyota Noah SR 40 ambayo haina zaidi ya miezi mitano (5) toka isajiliwe nchini Tanzania. Gari iwe inatembea, isiwe na tatizo lolote, iwe na...
  12. M

    Naomba ushauri kuhusu Toyota Avensis 2.0 D-4-D

    Habari, Nataka kununua gari aina ya Toyota Avensis 2.0 D-4-D, hii gari inatumia mafuta ya Diesel. Kuna mtu ana uzoefu na hizi gari. Pia kuna mtu ameshawahi kununua hii na anayo. Nilikuwa nauliza kuhusu changamoto za maintenance na ushuru wake maana TRA sioni option ya ushuru wa gari kama hiyo...
  13. English Learner

    Toyota Noah/Hiace inahitajika. TZS 600,000/Mwezi

    Gari aina ya Toyota Noah au Hiace inahitajika kwa ajili ya kusambaza vinywaji vikali Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara kwa mwezi mmoja. Dereva ni wangu, mafuta na matengenezo ya kawaida pia ni juu yangu. Budget yangu ya kumlipa mwenye gari (mmiliki/mkodishaji) ni laki sita (TZS...
  14. L

    Naomba kujua uzuri na ubaya wa Toyota Ipsum

    Hili gari kwa familia kubwa nalipenda. Naomba kujua madhaifu yake katika: - Safari ndefu Dar to Mwanza - Ulaji mafuta - Kwenye barabara ya vumbi - Bei yake yard Naombeni msaada.
  15. rasomaka

    Nauza Toyota Mark X 2006

    Make: Toyota Mark X 2006 Cc: 2490 Mileage:130,000 Seat: Leather seat 5, both front electronic Airbag; 9 Sound and Radio: touch screen and subwoofer Mirror: side mirror indicator Key: push start Price: 8,200,000 Location: Mbezi Beach Tanki Bovu Tel: 0653 029400
  16. Mr. MTUI

    TRD Stickers kwenye Toyota

    Hivi hizi sticker huwa zinasaidia nini hasa. Na leo nimekutana na IST ina sticker kibao mojawapo imeandikwa OFF ROAD. Nikabaki kucheka. Hivi hizi sticker huwa zinawasaidia nini hasa jamani.
  17. H

    Mwenye Suzuki Carry Family nabadilisha na Toyota Vitz 0767333440

    Nabadilisha Toyota Vitz kwa Suzuki Carry Family. Vitz ni kali sana piga 0767 333 440.
  18. Camo97

    Car4Sale Toyota raum

    Toyota raum inauzwa million tisa iko katika hali nzuri ikiwa na vibali vyote haijawahi kugongwa na ni namba D
  19. Mtekinolojia

    Car4Sale Toyota Voltz in mint condition for Sale

    Price: TZS 14,000,000 Toyota VOLTZ impoorted and used for only 13 Months in Tanzania for sale by the owner Facilities and specifications - Km 117,000-Imported with 110,000 KMs (Rarely driven in Tanzania) -New tyres installed Nov 2018 -Elegant music system -Smart radio that support video -Back...
Back
Top Bottom