Wakuu nami nataka kumiliki usafiri wangu kwa mara ya kwanza kwa matumizi ya kawaida ya kifamilia, route za mikoani mara moja moja Dar - Kahama au Dar - Mbinga. Je ipi itanifaa zaidi kati Toyota Spacio au Toyota Wish interms of space, comfortability, fuel consumption na changamoto nyingine...
Habari kutoka mtandao wa chunichi.co.jp unaeleza kuwa gari za Sedan Toyota Crown zimefikia ukomo wa utengenezaji wake baada ya kutoa updated version ya mwaka 2021.
Sababu kubwa ya kufikia ukomo wa magari haya pendwa na yenye 'high perfomance and comfortability' ni mauzo madogo katika soko la...
Wataalaamu wa magari,
Sikiliza audio ya silencer kama nilivyoirekodi kwenye engine ya Toyota IST. Kuna mlio wa 'kugonga' hivi kwenye engine.
Asubuhi napowasha gari hamna shida, silencer inakuwa normal and smooth. Lakini jioni au usiku naposimama na kuweka 'P', silencer inakuwa inasikika hivyo...
Toyota Brevis (DND)
Year: 2005
CC:2490
Full AC
Silver Coloured
Key to Start
Fog Lights
Clean Seats
Good Tyres + Original Sports Rim + New Spare Tyre
Music system + Radio
Full Documents (File)
Fuel Petrol
Transmission Auto
Seating Capacity 5
Location: Dar
Price 8.5 Mil, Negotiable...
Toyota passo inauzwa kwa bei poa
Engine cc 990
Year made 2004
Rangi: Grey
iko full AC yani hamna tabu
Bei: milioni 2 na laki 6 tu.
Gari iko kimara
nicheki 0683011003 tumalize biashara
Kwa miaka zaidi ya mitatu (3) imetokea trend kubwa ya wabongo wengi kuipenda hii gari ndiyo maana Leo nimeona na Mimi nikiwa kama shabiki na mmiliki wa hii ndinga niisifie Kwa mambo machache...
Kwanza ukishikia neno corolla ujue kabisa kuwa ni gari Ngoma ngumu hasa Kwa upande wa engine pia gari...
nauza Toyota cami iko vizuri sana ila changamoto gia Box gari ipo sawa sana kwakuwa kabla tatizo gari aina safari sana mara nyingi inapaki mimi naishi mkoani gari ipo dsm kama upo interested nicheki pm nipe offer yako ukamiliki gari
Good condition Toyota Rush available for sale.
8.5 Million Tshs .
Buy now for 7.5 million (no negotiation)
Engine size: 1490cc
Manufacture yera:2006
Transmission: Manual
Color: Black
Fuel: petrol
No DDR
contact: call/sms/whatsapp 0699494650
Dar es Salaam
Wakuu Heshima Kwenu,
Naomba kufahamishwa kidogo kuhusu hii gari,kwa upande wangu naona ni gari nzuri kwa muonekano ni ndoto zangu kuja kumiliki hii gari, maana naona haizungumzwi sana katika hili jukwaa.
Naomba kufahamishwa machache kuhusu hii gari:
- Changamoto zake
- Ulaji wake mafuta
-...
Wakuu niaje
Asee moja kwa moja kwenye mada kibongo bongo ukimuona v8 cruiser unaiheshimu ila kuna huyu mnyama lexus lx570 ni wa moto sana kwanzia interior and exterior design.
Kuhusu hp performace mnyama lexus wa moto pia mjapan toyo ana 381hp huku mnyama lexi cute ni 383hp. Picha hapo...
-Toyota runx version 2006
-colour silver
-mileage 114,329
-haina shida yoyote
-plate number DQR
-imetumika TZ mwaka mmoja
-bei ni milioni 10
-contact 0712518770
Natafuta Toyota vitz nzuri.
New model au hata old model ambayo iko vizuri.
Gari isiwe na vipengele/ubovu (nitafilisika/mke wangu atanilaumu)
Bajeti 4,000,000 hadi 5,000,000
Napatikana Kinondoni Dar es Salaam.
Mad Max
Ndeko
mmewadadako
Tunzo10
Ni Viwanja 'pacha' kwa Matumizi za Shughuli za makazi.
Vinauzwa vyote kwa pamoja au kimojakimoja.
Eneo: MBWENI-Maputo,
Maarufu kama Kwamasista.
Ukubwa:
Kimoja ni SQM 1227,
Kingine ni SQM 1234.
Jumla Viwanja vyote vina eneo la ukubwa wa SQM.2451.
Umiliki ni HATI MILIKI ya Wizara ya...
Hizi beby walkers ni kavu mno wandugu.
Kuna namna yoyote (mechanically) ya kufanya ili kuboresha ride quality kwenye Toyota IST? Kwenye suspension system.
Hizi gari ni kavu mno kuendesha kwenye rough road. Their ride is too bumpy and too stiff!!!
Je, kuna suspension system ambayo ni softer &...
Inakuwaje wanajamvi!
Toyota ni nouma yani sheeda hatari Aisee. Watu wanaidharau sana Toyota. Mjapan akaamua kuwanyamazisha watu. Katoa kitu kikali sana ambacho Kilianza kutumika July 2020 ni Lexus Lc 500 convirtable 'sexy car' yani ukiimiliki hii demu yeyote hachomoki.
Kina Ferrari, Porsche...
Moshi yote:
*Hakuna Toyota branch;
* Hakuna Authorized Dealer;
* Hakuna Authorized Service Workshop;
*Hakuna hata Authorized Parts Dealer
Nilisikiaga kuwa Moshi ni jiji, why Toyota Tanzania Ltd alipe kisogo jiji hilo la wajuaji?
Kuna jamaa zangu hapo wamefika mji huo jioni ya leo na...
Kipato cha chini... ila IST nimeweza kuimudu vyema service & maitanance.
IST ndo gari yangu ya kwanza kumiliki, ni mwaka mmoja sasa. Napenda speed, and stability matters a lot!! Ni mtu wa long trips mara kwa mara. IST NCP61 cc 1490 kwa town trips ni full enjoyment, ila kwa masafa marefu hizi...
Car Basic Info
Chassis NZE121-5025689
Maker TOYOTA
Name RUNX
Grade X AERO TOURER 2WD
CC 1490
Color SILVER
RYear 2002 /4
PYear 2002
KM 85
Price 13m.
Piga simu 0688351006
Whatsapp me 0688351006
U.S. counter-terror officials ask Toyota how terror group ISIS got so many of its Hilux pickup trucks and SUVs.
Thousands of Hilux pickups and Land Cruisers have become fixtures in the terror group’s propaganda videos in Iraq, Syria and Libya.
The Toyota pickup trucks was so dependable and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.