toyota

  1. Bujibuji Simba Nyamaume

    VIDEO: Vita Kali ya Off-road, Toyota Land Cruiser vs European Vehicles

    Kuna vuta naona inaendelea kwenye forums mbalimbali kati ya wapenzi wa Toyota Land Cruiser dhidi ya wapenzi wa magari ya kimagharibi. Hapa nitaweka videos chache tu, wakishindanisha nguvu, uwezo wa kupita kwenye mazingira mabaya na kadhalika.
  2. Chizi Maarifa

    Nahitaji Gari ya Toyota yenye Engine Six Cylinder but ulaji Mzuri wa Mafuta

    Kuna gari ambazo nimekuwa nikitumia lakini kwa sasa nataka nibadilishe gari. Nahitaji gari ambayo ni ya Toyota iwe 6 Cylinder. CC zikianzia 2000+ ni sawa. Sijui kama kuna ambayo inaweza kuwa below that. Ila iwe gari stable barabarani na fuel consumption yake iwe economy. Gari ambayo naweza enda...
  3. KIMOMWEMOTORS

    Majibu kwa Mdau aliyeuliza tofauti ya Toyota Harrier na Rav 4 Old Models

    Tofauti ya Harrier na Rav 4 Old Model 1. Uundwaji na Moboresho Harrier iliundwa baadae miaka ya 1998 ikadumu mpaka 2002 wakati Rav 4 iliundwa miaka ya 1995 ikadumu mpaka 1999. Hivyo Harrier ilifanyiwa maboresho kwenye upande wa luxury haswa kwenye viti kua na mfumo wa umeme na uchaguzi wa...
  4. Mwita Mtu Mrefu

    Car4Sale Gari: Toyota Cresta for only 3.8million

    Toyota Cresta Automatic Gear Full Ac Full paid Full documents Cc 1980 Yom 1999 Engine Ni 1g Kavu Big music inside All Tyres are NEW Price Ml 3,800,000/ Note Gari Ni YANGU na Bei haipungui maana haina tatizo lolote inaonekana Muda wote Kimara Mwisho 0744033555
  5. M

    Baada ya V8 kusitishwa picha mpya za Toyota land cruiser zavuja

    Inakuwaje wanajamvi! Kama mjuavyo Toyota land cruiser 200 series (viieite) wamesitisha utengenezaji kabisa. Sasa hivi utengenezaji utakuwa wa 300 series na picha zimeshaanza kuvuja itakavyokuwa. Sijapendezwa na Hizi picha kwasababu body itapunguzwa upande wa juu utashuka kidogo. Ila engine...
  6. K

    Hizi gari Toyota Prado ex naomba kujua kwa undani

    Mafuta KATI ya diesel na petrol ipi nzuri, Pia vipuri vyake, comfortability yake nk
  7. The last don

    Car4Sale Toyota Ractics for sale

    Wakuu nauza gari tajwa hapo juu Reg: T---DFT Toyota Ractis Colour: Pearl white Year of Manufacture : 2005 Engine Capacity: 1490cc Condition: Perfect running condition with no accident history Fuel Used: Petrol ( very economy). Price: 8.8Milions ( price is slightly negotiable for serious buyer)...
  8. Down To Earth

    Car4Sale Toyota IST inauzwa kwa bei nafuu

    Toyota ist Price 7ml Full AC Full documents Year made: 2003 Engine volume: cc 1490 Njoo na fundi wako kagua gari Piga simu 0744033555 Dar es salaam
  9. Simbo Godwin

    Car4Sale Nauza Toyota IST No. CTC

    Model: Toyota IST Cc: 1490 Year: 2005 Full ac Location: Kinondoni (Dar) Price: 6,000,000 Contact: 0717599884 Gari ni nimeitumia mwenyewe, kwa atakayevutiwa karibu tuzungumze
  10. KIMOMWEMOTORS

    Special thread: Kutana na waagizaji wa magari kutoka Japan

    HABARI YA MAJUKUMU? KIMOMWE MOTORS (T) LTD, TUNAPENDA KUKUKARIBISHA KUAGIZA GARI LAKO KWA GHARAMA NAFUU, HARAKA NA UHAKIKA KUPITIA KAMPUNI YETU. VILE VILE TUNAKUKARIBISHA KATIKA FURSA YA BIASHARA YETU NA UKAWEZA KUTENGENEZA KIPATO CHA ZIADA ENDAPO TU UTAWEZA KUAGIZA GARI AMA KUMLETA MTEJA...
  11. Mangi wa Rombo

    Car4Sale Toyota IST namba DDE, 2005 Model inauzwa

    Habari wakuu! Nauza gari yangu mwenyewe, Make: TOYOTA, Model: IST, Year: 2005, Transition: Automatic, Engine CC: 1290, Engine type: VVT-i, Milleage: 81,900KM. Sport Rims, New Tires zimefungwa December 2020. Radio, Bluetooth Bei 7,500,000 TZS Bima kubwa hadi October 2021. Gari imetunzwa vizuri...
  12. T

    Gari lipi linafaa zaidi? Naombeni ushauri wenu

    Habari. Nimeombwa ushauri, na mie nikaona busara kupata mawazo chanya zaidi kutoka hapa JF. Ninaye jirani yangu ambaye anataka kununua gari jingine (naweza sema ku-upgrade) na kuliuza hili alilonalo kwa sasa. Kwa sasa anamiliki IST ambayo anaiona ndogo kwa sababu familia imekua kubwa. Mara...
  13. Sizinga

    Engine Oil sahihi kwa Toyota Crown Royal Saloon

    Habari. Mwenye ujuzi na masuala ya Engine Oil sahihi kwa gari tajwa hapo juu yenye CC 2990 GRS 182 maana naona kama mafundi wetu ni changamoto hivi. Mwanzo niliweka Castrol iliandikwa 5W~20 na fundi akasema inaenda km 5000 nilivyocheck Google nikaona haipo sawa, ilivyofika km 3000 nikaimwaga...
  14. JituMirabaMinne

    Kwa Wamiliki wa Toyota na gari zote zinazotumia CVT

    Toyota anatumia gearbox za aina tatu. 1. A type, ambazo zimefungwa kwenye SUV nyingi kubwa za Toyota. Mfano A343F iliyofungwa kwenye Toyota prado TX 1997. 2. U type, ambazo zimefungwa kwenye gari ndogo nyingi za toyota. Mfano U341E ambayo ipo kwenye NADIA . 3. CVT, ambazo zimefungwa kwenye...
  15. bezos2019

    Car4Sale Toyota LandCruiser Prado 2017 inauzwa

    LandCruiser Prado- TX TRJ150 Year: 2017 Cc: 2693 Eng: 2TR Fuel: Petrol Transmission: automatic Keyless/ push to start Sunroof Tires: Michelin Insurance comprehensive valid to OCT 2021 Total fuel card worth 100k Location: Dar es Salaam, Mikocheni Price: 110M
  16. M

    Hizi Toyota Rumion mnazionaje wadau?

    Nasikia ni kali balaa. mwenye kuelewa performance yake atuambie. c.f.. RRONDO Toyota Rumion
  17. aleesha

    Toyota Land Cruiser XVR

    Baadhi ya madiwani wa Manispaa ya Temeke, Dar es Salaam wamedai Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Lusubilo Mwakabibi ametumia ubabe kuilazimisha kamati ya zabuni kununua gari la mkurugenzi, Toyota Land Cruser XVR, kwa TZS milioni 470, huku manispaa ikikabiliwa na changamoto nyingi.
  18. KGARE

    Car4Sale Gari Toyota Raum inauzwa- Mwanza

    Gari Toyota RAUM , ya 1999 inauzwa. Rangi: Zambarau, Milango: 5, Mileage: Km 128,000, Engine size : 1490cc, Airbag: 2 , Automatic transmission, Fuel: Petrol, BEI: 6,000,000- Milioni 6 tu Imetunzwa na iko vizuri sana. PIGA: 0713962628/ 0718481042 MAHALI: MWANZA
  19. J

    Kwani gari Toyota VX "Geita Model" ni bei gani dukani? Na taratibu za manunuzi serikalini zikoje?

    Nilimsikia waziri wa fedha Dr Mpango akiwaambia watumishi wa Hazina kwamba fedha zinaliwa sana kwenye halmashauri kwa kutumia utaratibu wa sasa wa " Fosi Akaunti" Jana nikamsikia waziri wa Tamisemi Jaffo akisema DED wa Geita alitumia mwanya wa kuvunjwa Baraza la Mawaziri akakimbia haraka haraka...
Back
Top Bottom