toyota

  1. hp4510

    Naitaji shockup za Toyota kluger

    Wakuu Naitaji bidhaa tajwa hapo juu mwenye nazo tafadhari naomba unipm Ni shockup za nyuma Niko dar es salaam, mwenye used na mpya wote tunaweza kuwasiliana
  2. Ramon Abbas

    Car4Sale Toyota IST, No D kwa Tsh. milioni 9

    IST, YOM: 2004 CC 1290 COLOUR: silver Engine iko poa Some small scratches kwenye body hakuna changamoto zaidi. karibu tumalize biashara: 0683011003 0683011003
  3. N

    Toyota Corolla fielder

    Naomba mwenye kuijua vema hii gari Anisaidie tafadhali nataka kuinunua mwezi ujao mikononi kwa mtu Namba DKL
  4. T

    Nimeelewa sababu ya vijana kupenda Toyota Crown

    Niwe mkweli, nilikua sijawahi kuendesha gari aina ya toyota crown na mbaya zaidi kwenye circle yangu hakukua na mtu anaemiliki toyota crown labda siku moja ingetokea by chance nikaiendesha. Mimi binafsi preference ya magari yangu ni SUV kama Prado, Harrier ama Vanguard ambayo nimewahi kumiliki...
  5. KIMOMWEMOTORS

    Toyota Ipsum au Wish? Tumeweka maoni yetu

    TOYOTA WISH AU IPSUM?- Kama alivyouliza mdau kwenye group Na KIMOMWE MOTORS (T) Ltd- Waagizaji Magari Ipsum za zamani zimeadimika, hivyo ntaongelea ile mpya kuanzia miaka ya 2001. Toyota Ipsum inakuja na injini kubwa iitwayo 2AZ (Cc2400) yenye Vvti ambayo pia inapatikana kwenye Harrier Old na...
  6. PureView zeiss

    Magari ya mzungu yametuacha mbali Sana Sisi akina Toyota

    Nimeshangaa kuona jinsi Magari ya mzungu yakivyokuwa na utofauti na Magari yetu ya kijapan,Jana nilikuwa nasukuma ndinga BMW 320i kutoka banana Hadi Kariakoo hakika kuna utofauti Mkubwa Sana na rumion Yangu Hadi nilikuwa siamini jinsi hizi gari zilivyobarikiwa kuna nguvu, stability...
  7. Boyla

    Car4Sale Toyota Noah inauzwa

    Toyota Noah Category: Station Wagons Transmission: Automatic Colour: Gold Engine 1998cc Fuel: Petrol Mileage: 200000km Year of manufacture 2001 Condition: Used for 4year Price: Tshs.Mil.11,500,000/= Haina tatizo,njoo na fundi wako akague. Maongezi yapo Call#0652563680
  8. MAGARI7

    Ifahamu toyota allion

    Wasalaam, Leo ningependa kuiongelea kidogo gari tajwa hapo juu ambayo ni miongoni mwa gari pendwa kwa wengi kutoka kwenye kampuni ya Toyota. Toyota Allion ni gari ndogo (sedan/saloon car) yenye ukubwa wa katikati. Ilitambulishwa sokoni mnamo mwaka wa 2001. Kwa sasa, Toyota Allion nyingi...
  9. Ramon Abbas

    Car4Sale Toyota Run X namba D kwa 8.5 mil.

    Hii hapa Run X nzuri tu Haina shida yoyote. Inapatikana Dar Tuwasiliane 0683011003 Imerudiwa rangi full kutokana na some scratches
  10. Zuriel_cfc

    Car4Sale Toyota Carina Ti

    Nauza gari yangu toyota Carina Ti, haina tatizo lolote, AC inafanyakazi fresh. Bei ni milioni nane ( 8ml) Kwa aliye serious njoo tufanye biashara. Madalali kaeni pembeni tafadhali Picha kwa maelezo zaidi.. Mawasiliano:0713114009
  11. KIMOMWEMOTORS

    Ijue Toyota Progres kwa ufupi

    IFAHAM TOYOTA PROGRES- kwa ufupi Na KIMOMWE MOTORS (T) LTD- Waagiza Magari Utangulizi Gari hii ndogo ya starehe ilizalishwa miaka ya 1998- 2007. Mshindani wake ni Lexus IS ingawa Progress inaelezewa kuundwa vizuri hivyo kutokua na mitetemo katika vumbi. Injini na Mafuta 1JZ yenye Cc 2500-...
  12. Ramon Abbas

    Car4Sale Toyota Passo no D kwa 3.0 mil only

    Car in good condition Available all the time in Dar Price; 3.0 mil Call: 0683011003
  13. Ramon Abbas

    Car4Sale Toyota Runx, 6mil, DSM

    Toyota RUNX CC 1490 Full ac BEI ML 6 0683011003 Location airpot, Dar es Salaam.
  14. William Mshumbusi

    Ipi ni Gari nzuri Kati ya Prado Tx cc 2690 na Toyota klugger cc 2360

    Natamani kuwa na Gari kubwa nzuri kwaajili ya matumizi binafsi. Hapa natamani kujua Gari ipi nzuri kwa kuangalia vitu vifuatavyo. 1. Uimara 2. Matumizi ya mafuta 3. Service 4. Muonekano Najua zipo Vanguard na harrier new model Ila Bei imenitoa huko haswa used Tz. Ila kila nikiangalia hizi...
  15. Ramon Abbas

    Car4Sale Toyota IST no DDB

    TOYOTA I.S.T INAUZWA BEI MIL 7.5 FULL AC MZIKI MNENE NEW TYRE&RIM SPORT CC 1290 ENGINE 2NZ MWAKA 2005 KM 105000 Mahali iliko: BANANA DAR ES SALAAM.. #CALL 0683011003
  16. Ramon Abbas

    Car4Sale Toyota Cresta GX 110 for Tsh. milioni 3.9

    Engne 1g kavu Gari full Ac Njoo ukague gari Haina shida yoyote. Mahali iliko: kinondoni, Dar Call 0683011003
  17. Ramon Abbas

    Car4Sale Toyota chaser balloon GX 90

    Toyota CHASER BALLOON GX 90 Cc 1800 engine number 4s Full tinted Full documents Reamsports Safar popote mkoa wowote call 0683011003 Location Ukonga Bei million 2.5
  18. Nduka

    Kwanini Watanzania hawazichangamkii Toyota Mark X Vio

    Hii gari nimeipenda sana ilivyo na nafasi ndani, siti zake za nyuma zinaweza kulala kuongeza nafasi ya mizigo. Bei zake ni za kizalendo sana, nadhani kwa class yake ni gari ya bei nafuu kuliko zote. Injini ni 2.4 na inakuhakikishia power na durability. Kwanini wabongo hawajazichangamkia sana...
  19. Magari Nusubei

    Special Thread: Tunauza Vitu mbalimbali (Magari, Nyumba, Mashamba na Viwanja)

    Toyota Rav4 Old Model Model 1998 Engine 3S Cc 1990 Kilometer 82095 Colour Silver New Tyres & Rims Price 14.5ML simu 0677 818283
  20. Chizi Maarifa

    Nissan 2021 Vs Toyota 2021 Jamaa wamefikia Tamati katika Ubunifu

    Nissan. Toyota
Back
Top Bottom