toyota

  1. R

    Nissan Dualis na Toyota Alex

    Wanajamvi nawapongeza kwa maoni yenu mazuri juu ya masuala mbali mbali. Nahitaji kununua gari. Naomba kufahamu kati ya Nisan Dualis na Toyota allex ipi ya kuchukua apa na kwasababu zipi.
  2. Extrovert

    Mwenye Toyota Allion nzuri au Premio pitia hapa

    Natafuta gari tajwa hapo juu mwenye nayo isiwe ya udalali. Nahitaji gari safi ilionyooka bila vipengele offer yangu 9M. Nicheki DM fasta angalizo gari iwe number D yeyote ile ila gari iwe imetunzwa vizuri. Kama gari yako imepasuka vitasa au dashboard na body iliobondeka bondeka kausha. Hii ni...
  3. R

    Kati ya Toyota Allex, wish na subaru impreza ipi ni gari nzuri?

    Wanajamvi Salaam. Nahitaji kununua gari kwa mara ya kwanza, naomba kufahamu kati ya Toyota Allex, wish na subaru impreza ipi ni gari bora na kwasababu zipi. Natanguliza shukrani za dhati kwa majibu yenu mazuri.
  4. Notorious thug

    Aliingia na "shangingi" Toyota Landcruiser akarudi na Bodaboda "toyo"! nyumbani!

    Meya wa manispaa ya Moshi Juma Raibu aliingia ofisi na Toyota Landcruiser ila baada ya wajumbe 18 kumkataaa huku 10 wakitaka aendelee na kazi idadi kubwa ikashinda kutokana na tuhuma kadhaa zinazomkabili ilibidi akubali kuvuliwa wadhifa wake na kurudi nyumbani na "toyo" a.k.a bodaboda huku...
  5. JituMirabaMinne

    Tatizo la engine kumisi ukikanyaga accelerator kwenye baadhi ya gari za Toyota

    Hii kitu nimekutana nayo sana kwenye familia tatu za engine za toyota NZ engines[1NZ-FE, 2NZ-FE] AZ engines[1AZ, 2AZ] na ZZ engines [1ZZ sanasana] Sitotaja gari zinazotumia hizo engine sababu hata nikianza kuzitaja ni nyingi sitamaliza, lakini huenda zaidi ya 50% ya gari ndogo ambazo watu...
  6. Kitimoto

    Nataka kubadili Tairi kwenye gari la Toyota IST Size 195/60R16 kwenda size kubwa inayofaa

    Wakuu nina Toyota IST nataka nibadilishe tairi kitoka 195/60R16 kwenda kwenye size kubwa kidogo ambayo itafiti kwenye gari. Nimeona baadhi ya IST wameweka tairi ya size tofauti na zinazokuja nazo zinapendeza sana. Ni size gani itafaa? Sitaki tairi za Kichina.
  7. Ibrahim daud

    Car4Sale Toyota premio milioni 9 tu

    Toyota premio Year 2003 Cc1490 Gari safi njoo ukague Ipo arusha Mil9 tu ☎️ 0718909429 more photo and details
  8. Nyuki Mdogo

    Car4Sale Toyota Vitz: Tabata, Dar es salaam

    Gari iko tabata.. picha za ndani sina Ac ya kujaza. Haina tatizo lolote Piston 4 cc 990 Mil 3.3 0713096076
  9. kufaana

    Car4Sale Nauza gari aina ya IST

    Manufacturer: TOYOTA Model: IST Year - 2002 Engine Size: CC 1490 Mileage: 154991 Transmission: Automatic Colour: Grey Fuel: Petrol PRICE / BEI: Tsh.8.8 Mil ( Milioni 8 na laki 8 ) MAWASILIANO : ᴄᴀʟʟ ı ᴡʜᴀᴛsᴀᴘᴘ ı ѕмѕ: +255658090789
  10. B

    Nahitaji kununua gari aina ya Toyota Alphard naomba ushauri

    Wakuu habari, Naomba ushauri wenu nahitaji kununua gari aina ya toyota alphard ya kuanzia mwaka 2006, Sina uzoefu na magari, katika bei ,ulaji wa mafuta, nk. 🙏
  11. Curtiz

    Car4Sale Toyota crown athlete (2004) for sale

    Toyota Crown
  12. W

    Biashara ipi itafaa zaidi kwa Toyota hiace? Tanga city

    Salam Salam wapigania Uchumi. Nina Toyota hiace(dungu) ipo Tanga mjini. Nafikiria niisajili ifanye moja Kati ya kazi (routes) zifuatazo; 1. Kufanya town route(daladala) 2. Kufanya routes za nje kidogo ya mji..at least umbali usiozidi 70km. 3. Kufanya routes za mbali zaidi ya 70km. 4. Nyinginezo...
  13. AUTOMASI COMPANY LIMITED

    Car4Sale Karibu automasi uagize nasi gari lenye ubora kwa gharama nafuu

    KARIBU AUTOMASI UAGIZE NASI GARI LENYE UBORA KWA GHARAMA NAFUU ************** ♻️ High Quality , Reliable, and Speed ♻️ *************** 🔅VEHICLE DESCRIPTION Make : TOYOTA Model ...
  14. JituMirabaMinne

    Toyota GR Yaris: Hii ni Masterpiece

    Toyota GR Yaris ni Sampuli za vitz, Ila Toyota anazalisha hizi gari akilenga European market. Production yake imeanza last year Kinakuja na Engine za aina mbili, 1.5L inline 3 na 1.6L inline 4 zote zikiwa na Turbo. Pia kinakuja na gearbox za aina mbili, K120 CVT gearbox with first actual gear...
  15. N

    Toyota Rumion 2008 vs 2010; nichukue ipi wakuu?

    Habari ya wakati huu wakuu. Mwenzenu nimeamua kuchukua Rumion ila sasa nimekuta kuna toleo la 2007-2008 na toleo la 2010-2015. Haya matoleo mawili nimeona yana tofauti ndogo za muonekano; show ya mbele, ndani kwenye dashboard hasa sehemu ya AC na ndani kwa nyuma. Sijui kuhusu uimara...
  16. Bangila

    Nahitaji Toyota IST bajeti 7 Milioni

    Wakuu NAHITAJI mtu mwenye gari aina ya Toyota Ist aniuzie. Iwe Cc 1290. Isiwe imerudiwa rangi au kusushwa injini. Namba DF na kuendelea. Awe mwenye gari sio dalali. Mwenye nayo anicheck- PM
  17. Junior83

    Toyota Prado inauzwa

    Toyota Prado Diesel 2012REG no DHB74000 KMS2980 CC1KD diesel enginerunning greatno faultssingle userno accidentsnew good year tyresclean int
  18. Mung Chris

    Inahitajika Toyota Noah new model

    Nahitaji Toyota Noah New Model ambayo haijawahi pata ajali, isiwe inadaiwa, isiwe imesha funguliwa gearbox. Namba iwe C a D Bajeti yangu mil6-6.9
  19. Ramon Abbas

    Car4Sale Toyota vitz for sale

    IMESHUKA BEI TOYOTA VITZ Full A/C Cc 990 4 piston No mechanical problems imebadilishwa rangi Bei: mil 4.5 Simu- 0713096076 ipo kawe, Dar es salaam. Serious customers dont comment. Pls call asap
  20. Spaghetti

    Toyota TUNDRA 2022

Back
Top Bottom