toyota

  1. M

    Toyota mark ii grand gx 11o tatatizo la kuwa na mis mara kwa mara ukitembea kama 40 tu halafu ukichomoa terminal ya betri kwa dak 1 ukirudisha hakuna

    Wandugu, nimekutana na changamoto hiyo kwenye gari langu kwa mda wa zaidi ya miezi 4 sasa nimejaribu kuonana na mafundi tofauti dhidi ya watano kla mmoja alifanya alichozani ni tatzo, nimebadili coil, o² sensor , control box ,cylinder head, plug, pump bila mafanikio ila ikiwa na miss ukifungua...
  2. B

    Nissan Tanzania, Toyota Kenya na VW Rwanda

    Kwanza tunawashukuru Nissan kuja kufungua kiwanda cha magari Tanzania. Sasa ukitaka Toyota nenda kanunue Kenya maana huko nasikia Toyota wamefungua/wanafungua kiwanda. Ukitaka VW nenda Rwanda maana huko tayari kiwanda kipo. Ila Nissan, Tanzania ndio zitakuwa zinaundwa. Nasikia hata hao VW...
  3. Sky Eclat

    Yesterday morning at Abidjan port. They were waiting for two Toyota Corolla vehicles, bought online from Dubai

    Yametokea jana bandari nyama Ivory Coast iitwayo Abidjan.
  4. DOKEZO

    Naomba kujuzwa Bei ya BEARING miguu ya mbele za Gari Toyota Wish

    Habari wakuu. Tafadhali mwenye kujua bei ya bearing za miguu ya mbele za gari aina ya Toyota wish naomba tujuzane tafadhali. Ahsanteni
  5. GAGL

    Car4Sale Toyota Noah Roadtour namba C au D inahitajika

    Kuna mtu anahitaji Toyota Noah, roadtour yenye namba C au D. Ana kianzio cha shilingi mil tano, nyingine atamalizia baadae. Kama unayo au kuna mtu anayo anataka kuisukuma, tafadhali, weka namba zako hapa, utapigiwa simu.
  6. Ramon Abbas

    Car4Sale Toyota caldina for sale at Magomeni Dar es Salaam

    Gari inauzwa. full AC mileage 121,000 haina tatizo lolote. asking price 3.5mil 0713096076
  7. 100 others

    Filamu ya James Bond ikionyesha Land Cruiser Toyota inavyozipa shida na kuziharibu Range Rovers

    Mwezi huu wale wazee wa torrent imetoka hii filamu ya James Bond kwa jina la no time to die ,katika kutazama hii filamu nimeona scene ambayo imenifikirisha kwa nini na kuna maana gani? Mapema land rover walitoa video fupi ya no time to die ambayo ipo YouTube, cha kushangaza ni James Bond...
  8. ommytk

    Nataka gari aina ya Toyota IST, bajeti 5 to 6m

    Nahitaji gari aina ist bajeti yangu ni 5 to 6m gari iwe yako sio dalali sinunui kwa dalali
  9. Ramon Abbas

    Car4Sale Toyota Vitz namba BV cc 990, kwa milioni 3

    .......
  10. J

    Car4Sale Toyota allion for sale

    TOYOTA ALLION NAMBA D ENGINE 1800CC IKO DAR BEI 6.4M(NEGOTIABLE) CONTACT 0762295954
  11. Sitachoka

    Car4Sale Toyota IST inauzwa Tsh. milioni 10.5

    TOYOTA IST NAMBA D NZURI (Mwaka 2004) Haina tatizo lolote, Haijafunguliwa engin Well maintained, Full paid documents Engine Type 2nz, Engine capacity 1290 Haijarudiwa rangi, Full aircondition Bei 10.5million maongezi yapo PiGa 0621604087 WhatsApp 0621604087 Call 0621604087
  12. Junnie27

    Car4Sale Toyota crown for sale

    Toyota Crown Year:2005 EngineCC:2500 Price 8,800,000/= Call/what's app 0626409908 dsm
  13. Ramon Abbas

    Car4Sale Toyota IST no DLW inauzwa kwa 8mil. Dar es salaam

    iwahi, bei haina udalali. cc 1290. imenyooka call 0713096076 nikuunganishe kwa boss mkaongee zaidi.
  14. Junnie27

    Car4Sale Turbo Glanza for sell

    glanza turbo manual transmition 5.5m dsm 0626409908
  15. C

    Car4Sale Inauzwa/For sale: 2007 Toyota IST

    Toyota IST ya 2007, 1490 CC, 63,800 KM. Price/Bei: TSh 14.5 million Inuzwa na mmiliki (hakuna dalali). Ipo Mbweni malindi/Mbweni JKT, Dar es Salaam. Wasiliana 0759970963/ Whatsapp 0625536529 2007 Toyota IST Details Price negotiable: Yes Condition: Used Year: 2007 Make: Toyota Model: IST...
  16. N

    Gari Inauzwa Toyota Mark II Gx 100 Tzs. 2.5m

    Assalaam Wanabodi, Nauza gari yangu aina ya Toyota Mark II Gx 100. Gari hii iko katika hali nzuri. Haijaguswa Engine wala Gearbox kwa matengenezo yoyote. Changamoto kidogo iko kwenye bodi, sehemu ndogo sana ya juu imelika kutokana na chumvi ya bahari hapa Dar es Salaam. Na hii ni kutokana na...
  17. C

    Toyota fielder Msaada

    Ambae ameimiliki hii gari ,utumiaji Mafuta,Spea, comfortability yake,utulivu barabarani nk, M-barikiwe saana
  18. N

    Nani anamiliki Toyota Filda humu?

    Mwenye kuwahi itumia Toyota fielder namuomba inbox plsss cc 1500. Ubarikiwe
  19. JituMirabaMinne

    Athari za kutoa masega kwenye gari (catalytic converter)

    Bila Catalytic Converter kuna sumu zinazotoka kwenye moshi ambazo zitakuwa zinaingia kwenye hewa. Sumu hizo hazifanani kulingana na aina ya engine, Engine za petrol hutoa Hydrocarbons, Carbon monoxide pamoja na Oxygen gas. Engine za Diesel hutoa NOX, Oxygen gas pamoja na Carbon dioxide...
  20. polokwane

    Hivi kuna fundi anaye weza kuubalisha mlango wa TOYOTA SIENTA wa kuburuza kuwa mlango wa kawaida kama wa Rav4, IST?

    Msaada hapo tafadhari naipenda hii gari muundo wake ila ule mlango wake tu wa kuburuza kama wa noah ndio kikwazo kwangu nataman ufunguke kama wa Rav 4 au gari zingine zenye mlango kama hizo. Kama kuna mtaalamu wa kufanya modification na ukakaa safi kabisa niunganishwe naye anihakikishie.
Back
Top Bottom