toyota

  1. Kasomi

    Majina ya Magari ya TOYOTA Na maana yake

    MAJINA YAMAGARI YA TOYOTA NA MAANA ZAKE. Kampuni ya Toyota ilianzishwa na mtu anayeitwa toyoda na si Toyota kama wengi wanavyofikiria . mwanzo ilikuwa ikijulikana kwa jina la katakana . kampuni ya Toyota ni ya mtu na famila yake . katika ukuaji wa biashara , katakana co.ltd , ilibadilishwa ...
  2. JituMirabaMinne

    Experience yangu mbaya na gari za Toyota

    Katika kufanya diagnosis na kurekebisha matatizo mbali mbali kwenye magari. Asilimia kubwa ya gari nilizokutana nazo ni gari za japan mathalani gari za toyota japo nishakutana pia na gari za ulaya kama BMW, Land Rover na VW na gari za US kama Jeep na Ford. Experience yangu mbaya kwenye kufanya...
  3. F

    Msaada: Nini nifanye ili niweze kutatua tatizo la gari yangu aina ya Toyota Corolla Fielder

    Habarini wapendwa kwema!!! Nina gari yangu aina ya Toyota corolla fielder shida kubwa kila nikiiwasha inawaka halafu inazimika nikirudia tena bado inazimika, ila ukiiwasha halafu ukaikanyangia moto hata kwa dk 3 mpk 5 ikishapata moto engine ndo inawaka. Nimeshaipeleka kwa fundi lkn bado shida...
  4. polokwane

    Hii ya kubadilisha KM za gari hivi ni kweli ipo? Kuna gari namba BAC ina KM 38900 TOYOTA KLUGER jamaa anaiuza

    Nimepata mashaka makubwa sana baada ya kutizama hizo kilometre na usajili wa gari yaani gari imesajiliwa muda mrefu lakin imetembea km chache sana nika muuliza kulikoni gari inausajili wa BAC wa muda mrefu lakini gari imetembea km chache kiasi hiki? Akanijibu tangu imenunuliwa ilikuwa haitumiki...
  5. MAMESHO

    Car4Sale Inauzwa pick-up double cabin Toyota Hilux JTD5 2.4 Diesel

    Pick-up double cabin White Imported from: great britain Manufactured: 2004 Manual 2kd D4d Current location : moshi Whatsapp /call 0713683422 Owner is a doctor Reason for selling: requires automatic same vehicle due to left leg injury Price: 28 million
  6. G

    Naomba kufahamu oil ya gear box ya Toyota Sienta na bei yake

    Naomba kujua bei ya oil ya gear box ya Toyota sienta, Pia nikiwasha gari nyakati za asubuhi au injin inapokuwa imepoa huwa inatoa muungurumo wa juu kana kwamba nimekanyaga mafuta... Kisha baada ya dk 1 inatulia. Msaada tafadhali
  7. D

    Car4Sale Toyota Verossa inauzwa

    Habari, Nauza gari Aina ya Toyota Verossa number DAK haina tatizo lolote unawasha gari na kwenda safari kokote, gari ni yangu mwenyewe nauza ili nibadilishe au pia tunaweza kubadilisha na.ukaniongeza hela. Bei ni 6.8M hata ukiwa mkoani unafikishiwa kwa usalama na uaminifu. Kwa picha naomba...
  8. D

    Nahitaji Toyota Voltz

    Mwenye nayo tuwasiliane iwe na sifa zifuatazo: 1. Engine 1ZZ 2. 2WD 3. Isiwe imerudiwa rangi Offer 10m Tuma pic 0715140001
  9. B

    Naomba nijue ubora na udhaifu kati Toyota Kluger na Harrier new model

    Wakuu habari za leo, Nina mpango wa kuagiza gari Japan, ninafikiria zaidi Harrier New model au Toyota Kluger za mwaka 2004-2006, nahitaji kujua ubora na udhaifu kati ya hayo magari mawili, na ushauri wa lipi niweze kuagiza. Pia anaejua kuhusu calculation za mapato TRA na kulitoa gari...
  10. Komeo Lachuma

    Ukiacha body Toyota Noah nini kingine shida?

    Hizi Toyota Noah za namna hii watu wamekuwa wakilalamika sana kuhusu body yake kuwa si imara. Actually hii ni gari ya mizunguko ya town si ya kwendea shamba. Ukiacha malalamiko ya kuwa Body yake ni nyanya nini kingine tatizo kwa gari hii? Kuna ndugu yangu anataka inunua kama gari ya family...
  11. MagariTanzania

    Car4Sale Toyota Land Cruiser inauzwa

    Diesel Auto Ipo katika hali nzuri, inatembea. Ipo Dar es Salaam. Bei 17mil. Mawasiliano 0784225000.
  12. L

    Car4Sale Toyota Harrier Lexus

    PRICE: 8,000,000 (maongezi yapo) Model: Toyota HARRIER Lexus Registration Number: A.... Colour:Silver Engine: Petrol 2994cc VTI Year 1999 Seat Capacity 5 Music redio Full AC Full documents (File) Clean Seats Trans Automatic Imported from Japan Kama upo serious , Whatsapp number 0764111116
  13. MagariTanzania

    Car4Sale Toyota Rav4 old model

    1995 model 3s petrol engine Automatic Gear Transmission Full option PRICE IS 19.5 MILLION TSHS PLUS REGISTRATION Call/Whatsapp 0784225000
  14. MagariTanzania

    Car4Sale Toyota IST 2004 Model for sale

    1490cc engine capacity Metallic black color TRD sports version Clean piece PRICE IS 13.8 MILLION TSHS PLUS REGISTRATION CALL/WHATSAPP 0784225000
  15. Bujibuji Simba Nyamaume

    Ijue Toyota Coaster new model Fourth Generation

    The fourth Generation Toyota Coaster ilitambulishwa rasmi mnamo tarehe 22 December 2016 na kuwekwa sikoni Japan kwa ajili ta mauzo tarehe 23 January 2017. Gari hii inapatikana ikiwa na aina za injini zilezile za matoleo ya machaguo ya model zilizopita ambazo ni 3B,13B,14B,15B-T,1HZ,1HZ-T na...
  16. NewGapi

    Suzuki Jimny 1.3L 2013 Vs Toyota IST 2007

    Habari za muda wakuu, Naomba ushauri juu ya haya magari mawili. Lipi ninunue 1. SUZUKI JIMNY 2013 1.3L, manual transmission. Hii gari ilinunuliwa mpya 0 km, hivyo usajili wake ni no. C. Ilikuwa ni ya shirika moja la kimataifa wao huuza gari likifika miaka 7 au km 70,000 mileage. Hivyo nina...
  17. profesawaaganojipya

    Toyota Noah Old Model, 4doors, ipi ni nzuri kwa kupiga ruti za mikoani to Dar

    wanajamvi nataka ninunue toyota noah old model, milango minne, ili niwe nabeba abiria mbeya to Dar, sasa nasikie kuna aina nyingi za toyota noah. Mfano, field tour, town ace, super lymo extra nk, Sr40, Sr 50, Ipi ni nzuri kwa uimara, kusevu mafuta, uvumilivu kwenye ruti ndefu. Nawasilisha.
  18. MagariTanzania

    Car4Sale Toyota Landcruiser HZj 78 series for sale

    Recently registered number DT Pick up single cabin African specs from Toyota Tanzania special for Africa 2010 model year 1hz diesel power with black top 16-valve New four tires by GT-RADIAL mounted with original cruiser rims Wide screen dashboard The car is clean with a very immaculate condition...
  19. Nkuruvi

    User manual (mwongozo wa mtumiaji) ya gari aina ya toyota probox

    Wakuu, Naomba Mdau yoyote mwenye User Manual (Mwongozo wa Mtumiaji) gari ya aina ya Toyota Probox anisaidie. Nahitaji soft copy ya mwongozo huo. Waweza attach hapa. Asante
  20. MagariTanzania

    Car4Sale Toyota vanguard for sale 32mil

    Recently regisered no.DUJ Black mettalic color 2008 model 5-seater passenger 2.4cc engine capacity 2AZ-FE VVTI Engine 4-cylinder 16-valve Automatic Gear Transmission •Low mileage 72,855km All four new tyres with original rim sports Clean and neat car The car has all necessary documents...
Back
Top Bottom