toyota

  1. vipik2

    Natafuta duka la Toyota Spare kwa Dar

    Habarini wakuu na wale wazoefu mjini Dar, ni wapi nitapata spare parts za Toyota Noah, Corrola na RAV4 pia ningependa kujua wapi walipo mafundi wa kutengeneza Auto Transmission zinapokorofisha?
  2. F

    Toyota Alphard: Ubora na Mapungufu yake

    Ndugu wadau naomba kwa wale wenye uelewa juu ya aina hii ya magari, ubora wake, matumizi ya mafuta, na chochote kizuri kuhusiana na magari haya. Pia naomba kujua mapungufu yake kwa wale wenye uzoefu nayo. Je, kuna utofauti gani kati ya Toyota alphard "V" na Alphard "G" ingawa kwa macho huwa...
  3. B

    Naomba kujuzwa Uulaji wa mafuta wa Toyota V8

    Naomba kujua ulaji wa mafuta wa gari aina ya Toyota Land Cruiser V8 kwa upande wa injin ya disell na petrol per KM. Toyota Land Cruiser V8
  4. J

    Je, Toyota IST itanifaa kwa urefu wangu wa 6. 1 feet?

    Habari za saa hizi members wa forum ya magari. Najua humu kuna wazoefu wa Gari aina ya Ist. Ndio gari yangu ya kwanza nnayotaka kuinunua kwa sababu tatu. I. Utumiaji mdogo wa mafuta (nachukua yenye cylinder ya 1300) II. Nimeambiwa Haichemshi kwa safari za Dar - Moshi. III. Upatikanaji...
  5. Ndikwega

    Naomba Kufafanuliwa kuhusu Gari aina ya Toyota Belta

    Wasalaam Wanajamvi, Sina Mengi naomba mwenye Kujua kuhusu gari aina ya Belta Kiujumla Msaada kwa Ufafanuzi. Je, Belta na IST ipi gari bora katika kila Nyanja? Nawakaribisha kunitoa Tongotongo na Ahsanteni! Toyota Belta
  6. Stephen Ngalya Chelu

    Car4Sale Toyota Rumion Inauzwa

    Price: 16.5 Ml. Engine Code :ZN Mileage 100,265km Engine Size 1,500cc Registration Year * 2009 Manufacture Year ** 2009/ 10 Ext. Color Black Wheel Drive :2wheel drive Transmission: Automatic Location: kinondoni,mwanamboka Steering :Right Fuel: Petrol Seats :5 Doors :5 Dimension: 4.21x1.76x1.63m...
  7. M

    Car4Sale Toyota Raum New Model inauzwa, Mabibo- Dar es Salaam

    Sifa 1. Rangi ni gold 2. Namba za usajili ni T244 DPS 3. Ukubwa wa injini ni 1490cc 4. Idadi ya km ilizotembea ni 77,000 kms mpaka Sasa 5. Inamwaka mmoja tokea imenunuliwa 6. Inabima kubwa iliyokatiwa mwaka huu 7. Hutumika kwenda kazini na kurudi tokea imenunuliwa 8. Haijafunguliwa popote tokea...
  8. Kevin85ify

    Kenya: Toyota Kenya makes a local bridge ventilator critical for respiratory failures in Covid19 patient

    Toyota Kenya develops bridge mechanical ventilator By Sylvania AmbaniApril 24th, 2020 1 min read A pictorial view of the machine design and components. PHOTO | COURTESY Toyota Kenya has developed a bridge mechanical ventilator prototype to help support patients with Covid-19 respiratory...
  9. Mwangesela

    Nitapata wapi Engine za Toyota?

    Ndugu zangu nataka kununua gari hususani brand za Toyota kama vile IST, Raum, Wish, Ipsum, Subaru, Kluger n.k. Je, ubora na uimara wa injini nitajuaje au nifanye nini nisiingie pori?
  10. Mwangesela

    Msaada kwa mwenye uzoefu na gari aina ya Toyota Nadia

    Naomba msaada mwenye uzoefu na gari hii TOYOTA NADIA UIMARA, BEI NA ULAJI WA MAFUTA
  11. Mbayo wa Giika

    Gari ipi itanifaa kati ya Spacio na Toyota Wish?

    Wadau naombeni ushauri. Mimi si mtaalamu wa magari ila nahitaji kuwa na gari kwa ajili ya familia ya watu kama saba hadi nane na matumizi ya hapa na pale, safari za kazini na mara chache safari ndefu za mikoani na hasa vijijini. Ninahitaji gari ambalo ni rafiki kwa matunzo na mafuta na linaweza...
  12. Manjagata

    Naomba kujuzwa ubora wa Probox na Toyota Wish

    Wakuu naomba mtaalam wa magari anipe ufafanuzi wa ubora wa hizi gari nilizotaja hapo juu! Dadavua kadri unavyofahamu!
  13. koplo

    Nahitaji Engine ya Toyota CAMI 2000 HC-EJ

  14. hp4510

    Nahitaji Gari Toyota Ra4 ( kilitime)

    Nahitaji Gari tajwa hapo juu Bajeti yangu ni shilingi Milion 7 Cash Mwenye nalo anidm Gari liwe zima, linatembea, halijapata Ajali
  15. J

    Car4Sale 1998 Toyota Corolla

    1998 Toyota corolla for sale.. Cc 1490, MANUAL Transmission.. 180,0000kms..Color white..Very good Condition.. Price Tzs 4.5 million Contact 0717900640 Dar es Salaam
  16. Mr Evans

    Nauza Toyota vitz new model 2008

    SOLD BY THE OWNER TOYOTA VITZ NEW MODEL-2008 Asking Price: TZS 8,500,000 Location: Dar es salaam, Tabata Low Mileage: 64,000KMs Number: T*** DNY Imported: Dec 2017 with 59,000 KMs, New Tires installed November 2019 No accident history, elegant and minty. All documents available. Economy...
  17. N

    Gari aina ya Toyota Porte

    Ninahitaji gari aina ya porte kuanzia namba D Iwe nzuri , bajet yangu ni milion 5 cash , Mwenye nayo anione inbox tumalize biashara Asante
  18. RugambwaYT

    Toyota Raum Review: Karibu tupeane uzoefu kuhusu gari hili

    Toyota Raum ni gari dogo lililotengenezwa na kampuni ya Toyota na kuuzwa kwenye soko la ndani la Japan (JDM) kuanzia mwaka 1997 mpaka mwaka 2011 ambapo uzalishaji wake ulisitishwa rasmi. Gari hili liko kwenye kundi la magari madogo kwa ajili ya matumizi mbali mbali yajulikanayo kitaalamu kama...
  19. Jamii Opportunities

    16 jobs positions at Toyota Tanzania Limited which is opening a new branch in Mbeya

    Toyota Tanzania Limited is opening a new branch in Mbeya and is now seeking well qualified, result oriented, dynamic and enthusiastic professionals to fill in the following positions below: 1. Auto Cleaner Good car washing skills, at least two years’ experience in a reputable carwash or...
  20. J

    CCM Lumumba zimejaa Toyota Landcruiser mkonga nje za Wenyeviti wa mikoa. Ni vema CHADEMA wakajifunza matumizi mazuri ya ruzuku

    Nipo hapa Lumumba kwa kweli pamependeza kila mwenyekiti wa CCM mkoa amefika na Toyota " mkonga nje" ambazo wanazitumia kukagua utekelezaji wa ilani ya chama hadi katika maeneo yasiyofikika kirahisi. Haya magari yote ni mali ya chama na huu ni mfano mzuri wa matumizi sahihi ya ruzuku inayotolewa...
Back
Top Bottom