tpa

  1. BARD AI

    Jalada kesi ya vigogo wa Bandari TPA mbioni kusajiliwa Mahakama Kuu

    Serikali imesema ipo katika hatua za mwisho kuwasilisha taarifa muhimu Mahakama Kuu katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Madeni Kipande (66) na wenzake watano. Kipande na wenzake hao wakikabiliwa na mashtaka matatu likiwemo...
  2. BARD AI

    Upelelezi kesi aliyekuwa mkurugenzi TPA wakamilika

    Upande wa mashtaka katika kesi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Bandari ya Tanzania (TPA), Madeni Kipande na wenzake umedai kuwa upelelezi umekamilika na wapo kwenye hatua ya kuwasilisha nyaraka katika Mahakama Kuu. Washtakiwa hao wanakabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la...
  3. K

    Maboresho TPA yaongeza meli, mizigo

    Uboreshaji unaoendelea katika sekta ya bandari nchini umeongeza ufanisi na kati ya Oktoba hadi Desemba idadi ya meli zilizohudumiuwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) zimeongezeka. Msemaji Mkuu wa serikali, Gerson Msigwa alisema jana mjini Dodoma kuwa kipindi hicho meli zilizohudumiwa na TPA...
  4. BARD AI

    TPA kuanza kuendesha eneo la TICTS Januari 2023

    Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), imesema kuanzia Januari Mosi, 2023 mamlaka hiyo italiendesha eneo lililokuwa likitumiwa na Kampuni Binafsi ya Kimataifa ya Kuhudumia Makontena Tanzania (TICTS). Kauli hiyo, imetolewa leo Jumatano Desemba 21, 2022 na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Juma Kijavala...
  5. Kadoli

    Utumishi na TPA

    Poleni sana msiba mzito wa mtumishi mwenzenu kazi ya mungu haina makosa Hongereni kwa kazi njema mnayoifanya ya kuwapigania watoto wa maskini nao kupata fulsa katika taasisi mbali mbali Ila hapa TPA mlileta watumishi wapya katika matangazo mawili ya walioitwa kazini ambao ni security guard...
  6. Offshore Seamen

    TPA yaruhusu rasmi magari kuhifadhiwa kwenye bandari kavu (ICDV) kupunguza msongamano

    Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) imeruhusu rasmi kuanzia tarehe 24 October 2022, magari kupelekwa kwenye bandari kavu za nje za kuhifadhia magari kwa ajili ya kupunguza msongamano wa magari ndani ya bandari ili kuongeza ufanisi. Chini ni tangazo rasmi kutoka website ya bandari na gazeti ya...
  7. otembei

    Wizara ya ujenzi na uchukuzi, RC Mwanza na mamlaka ya bandari TPA wadai kutiwa mfukoni

    Kwa hiki kinachoendelea katika kupisha mradi wa Reli ya kisasa SGR kufika Bandarini ya Mwanza kinasikitisha sana Mmiliki wa Kivuko cha Kamanga Ferry kujinasibu kuwa serikali imewekwa mfukoni mwake na hatapisha mradi bali Mradi wa Reli Umpishe yeye Swali sisi wananchi tuliondolewa ,Shule...
  8. M

    SI KWELI Deusdedit Kakokonwa TPA akamatwa nyumbani na begi lenye USD 1,625,800

    Kuna madai kuwa Takukuru wameingia nyumbani kwa Kakoko leo ghafla na kumkuta na begi lenye $1,625,800 taslimu baada ya kusimamishwa kazi jana! Haijulikani hizo alizichota lini, lakini kama ni kweli inawezekana alikuwa akizichota pole pole kwa muda mrefu kidogo na huenda sasa hivi ana...
  9. makofia360

    Majina ya walioitwa kazini TPA kupitia Utumishi yalishatokaga?

    Pamoja na mtihani wa mchujo kuwa mkali sana TPA kupitia Utumishi wapo waliopenya vipi walishaitwaga kazini
  10. K

    Eric Hamissi aliyekuwa DG wa TPA kaonewa baada ya kukataa kuhonga wanasiasa kama enzi za zamani

    WNAJAMVI, huyu DG tangia aingie TPA amejitahidi sana kuziba mirija ikiwemo kuhakikisha kila mtu analipa anachotakiwa. Lakini makampuni kama silent ocean na GSM wamekuwa wakilazimisha wapewe eneo wawekeze kinyume ya sheria ya PPP lakini yeye aliwaeleza wafuate utaratibu wa uwekezaji...
  11. Meneja Wa Makampuni

    Tufanye yafuatayo ili kuongeza ufanisi wa ukusanyaji wa mapato katika bandari yetu ya Dar es Salaam (TPA)

    Ukusanyaji wa mapato katika Bandari ya Dar es Salaam umekuwa ni changamoto tangu taifa letu lipate uhuru, tatizo hili limesababisha kufanyika mabadiliko ya wakurugenzi wa bandari (TPA) kila inapobidi kufanya hivyo tukidhani kwamba ndio dawa ya kutibu tatizo hilo. Lakini kwa wakati mwingine...
  12. mtotomtamuu

    Nina mashaka sana na utoaji wa ajira za TPA

    Katika ajira zilizotangazwa juzi na TPA waliita watu wengi hadi ambao hawajasoma course maalu ya mambo ya Bandari ambayo inatolewa na chuo chao cha Bandari, na kwa bahati mbaya wakaita kwenye interview watu ambao hawakusoma mambo ya Bandari kwenda kwenye interview, na kwa bahati mbaya zaidi...
  13. Waibi fredy

    Baadhi ya maswali TPA

    Pepa la leo la TPA Ports operation officer: 1. Define the folowing i) feeder ship ii) Dumerrage iii) heavy lift service 2. Meanig of i) Quay transfer ii) storage operation iii) ship operation iv) delivery and receipt operation 3. Documents required in: i) general cargo clearing...
  14. M

    Waliofanya Interview ya TPA leo DODOMA

    Habari za leo wakubwa Leo ni siku nyingine inaisha kama siku nyingine. Straight to the point. 👇 Nimewaonea huruma sana leo waliofika katika interview ya TPA. Naambiwa maswali ya leo yalikuwa ya ubaguzi kabisa. Waliosoma HR,BBA,LAW,STATISTICS, ECONOMICS etc sidhan kama waliweza kujibu ule...
  15. hamza mahundu

    Mikeka ya walioitwaa interview TRA na TPA vipi imeshatoka?

    Mikeka ya walioitwaa interview TRA na TPA vipi imeshatoka au
  16. Jamii Opportunities

    Security guards at TPA 5 post

    POST SECURITY GUARDS – 5 POST POST CATEGORY(S) SECURITY EMPLOYER Tanzania Ports Authority (TPA) APPLICATION TIMELINE: 2022-05-02 2022-05-15 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. To conduct physical security and surveillance (security gates, General cargo, Motor vehicle, container etc. ...
  17. figganigga

    Bandari Salama, bandari ya TPA, itakapopokea meli kubwa ya kihistoria

    Kishindo kikuu 'Bandari Salama', bandari ya TPA, itakapopokea meli kubwa ya kihistoria. Kaa tayari kujua. Kuna jamaa kaandika; "It's our Vessel called Frontier Ace is coming direct from Singapore carrying 4342 units. Accordingly to Vessel Captain tomorrow morning at 0900Lts confirmed will be...
  18. LAZIMA NISEME

    TPA elezeni ukweli juu ya mapungufu yenu na mkwamo wa serikali kuboresha mitambo na ufanisi wa bandari ya dar es salaam bila kuuma maneno

    Nimeleta uzi huuu baada ya ile hotuba ya Rais Samia Alipokuwa akipokea Riport ya CAG na TAKUKURU..na Taarifa ya Tarehe 1/4/2022 iliyotolewa kwa wafanyakazi Wa TICS kuvunja rekodi kwa mwezi huu wa 3/2022 "Kwa siku Thelathini na moja zilizopita (31 ) kuanzia tarehe 1 - 31 Machi 2022, Kontena 61...
  19. Jamii Opportunities

    Operations Officer II - 10 post at TPA

    POST OPERATIONS OFFICER II – 10 POST POST CATEGORY(S) BANKING, ECONOMICS AND FINANCIAL SERVICES HR & ADMINISTRATION LEGAL MARKETING,MEDIA AND BRAND PROCUREMENT & LOGISTIC MANAGEMENT TRANSPORT AND LOGISTICS EMPLOYER Tanzania Ports Authority (TPA) APPLICATION TIMELINE: 2022-03-29 2022-04-11 JOB...
  20. Jamii Opportunities

    Assistant Operations Officer - 10 post at TPA

    POST ASSISTANT OPERATIONS OFFICER – 10 POST POST CATEGORY(S) HR & ADMINISTRATION LEGAL MARKETING,MEDIA AND BRAND PROCUREMENT & LOGISTIC MANAGEMENT TRANSPORT AND LOGISTICS EMPLOYER Tanzania Ports Authority (TPA) APPLICATION TIMELINE: 2022-03-29 2022-04-11 JOB SUMMARY NA DUTIES AND...
Back
Top Bottom