Serikali imesema ipo katika hatua za mwisho kuwasilisha taarifa muhimu Mahakama Kuu katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Madeni Kipande (66) na wenzake watano.
Kipande na wenzake hao wakikabiliwa na mashtaka matatu likiwemo...
Upande wa mashtaka katika kesi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Bandari ya Tanzania (TPA), Madeni Kipande na wenzake umedai kuwa upelelezi umekamilika na wapo kwenye hatua ya kuwasilisha nyaraka katika Mahakama Kuu.
Washtakiwa hao wanakabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la...
Uboreshaji unaoendelea katika sekta ya bandari nchini umeongeza ufanisi na kati ya Oktoba hadi Desemba idadi ya meli zilizohudumiuwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) zimeongezeka. Msemaji Mkuu wa serikali, Gerson Msigwa alisema jana mjini Dodoma kuwa kipindi hicho meli zilizohudumiwa na TPA...
Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), imesema kuanzia Januari Mosi, 2023 mamlaka hiyo italiendesha eneo lililokuwa likitumiwa na Kampuni Binafsi ya Kimataifa ya Kuhudumia Makontena Tanzania (TICTS).
Kauli hiyo, imetolewa leo Jumatano Desemba 21, 2022 na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Juma Kijavala...
Poleni sana msiba mzito wa mtumishi mwenzenu kazi ya mungu haina makosa
Hongereni kwa kazi njema mnayoifanya ya kuwapigania watoto wa maskini nao kupata fulsa katika taasisi mbali mbali
Ila hapa TPA mlileta watumishi wapya katika matangazo mawili ya walioitwa kazini ambao ni security guard...
Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) imeruhusu rasmi kuanzia tarehe 24 October 2022, magari kupelekwa kwenye bandari kavu za nje za kuhifadhia magari kwa ajili ya kupunguza msongamano wa magari ndani ya bandari ili kuongeza ufanisi.
Chini ni tangazo rasmi kutoka website ya bandari na gazeti ya...
Kwa hiki kinachoendelea katika kupisha mradi wa Reli ya kisasa SGR kufika Bandarini ya Mwanza kinasikitisha sana Mmiliki wa Kivuko cha Kamanga Ferry kujinasibu kuwa serikali imewekwa mfukoni mwake na hatapisha mradi bali Mradi wa Reli Umpishe yeye
Swali sisi wananchi tuliondolewa ,Shule...
Kuna madai kuwa Takukuru wameingia nyumbani kwa Kakoko leo ghafla na kumkuta na begi lenye $1,625,800 taslimu baada ya kusimamishwa kazi jana!
Haijulikani hizo alizichota lini, lakini kama ni kweli inawezekana alikuwa akizichota pole pole kwa muda mrefu kidogo na huenda sasa hivi ana...
WNAJAMVI,
huyu DG tangia aingie TPA amejitahidi sana kuziba mirija ikiwemo kuhakikisha kila mtu analipa anachotakiwa.
Lakini makampuni kama silent ocean na GSM wamekuwa wakilazimisha wapewe eneo wawekeze kinyume ya sheria ya PPP lakini yeye aliwaeleza wafuate utaratibu wa uwekezaji...
Ukusanyaji wa mapato katika Bandari ya Dar es Salaam umekuwa ni changamoto tangu taifa letu lipate uhuru, tatizo hili limesababisha kufanyika mabadiliko ya wakurugenzi wa bandari (TPA) kila inapobidi kufanya hivyo tukidhani kwamba ndio dawa ya kutibu tatizo hilo.
Lakini kwa wakati mwingine...
Katika ajira zilizotangazwa juzi na TPA waliita watu wengi hadi ambao hawajasoma course maalu ya mambo ya Bandari ambayo inatolewa na chuo chao cha Bandari, na kwa bahati mbaya wakaita kwenye interview watu ambao hawakusoma mambo ya Bandari kwenda kwenye interview, na kwa bahati mbaya zaidi...
Pepa la leo la TPA
Ports operation officer:
1. Define the folowing i) feeder ship
ii) Dumerrage
iii) heavy lift service
2. Meanig of
i) Quay transfer
ii) storage operation
iii) ship operation
iv) delivery and receipt operation
3. Documents required in:
i) general cargo clearing...
Habari za leo wakubwa
Leo ni siku nyingine inaisha kama siku nyingine. Straight to the point. 👇
Nimewaonea huruma sana leo waliofika katika interview ya TPA. Naambiwa maswali ya leo yalikuwa ya ubaguzi kabisa. Waliosoma HR,BBA,LAW,STATISTICS, ECONOMICS etc sidhan kama waliweza kujibu ule...
POST SECURITY GUARDS – 5 POST
POST CATEGORY(S) SECURITY
EMPLOYER Tanzania Ports Authority (TPA)
APPLICATION TIMELINE: 2022-05-02 2022-05-15
JOB SUMMARY NA
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To conduct physical security and surveillance (security gates, General cargo, Motor vehicle, container etc. ...
Kishindo kikuu 'Bandari Salama', bandari ya TPA, itakapopokea meli kubwa ya kihistoria. Kaa tayari kujua.
Kuna jamaa kaandika;
"It's our Vessel called Frontier Ace is coming direct from Singapore carrying 4342 units. Accordingly to Vessel Captain tomorrow morning at 0900Lts confirmed will be...
Nimeleta uzi huuu baada ya ile hotuba ya Rais Samia Alipokuwa akipokea Riport ya CAG na TAKUKURU..na Taarifa ya Tarehe 1/4/2022 iliyotolewa kwa wafanyakazi Wa TICS kuvunja rekodi kwa mwezi huu wa 3/2022
"Kwa siku Thelathini na moja zilizopita (31 ) kuanzia tarehe 1 - 31 Machi 2022, Kontena 61...
POST OPERATIONS OFFICER II – 10 POST
POST CATEGORY(S) BANKING, ECONOMICS AND FINANCIAL SERVICES
HR & ADMINISTRATION
LEGAL
MARKETING,MEDIA AND BRAND
PROCUREMENT & LOGISTIC MANAGEMENT
TRANSPORT AND LOGISTICS
EMPLOYER Tanzania Ports Authority (TPA)
APPLICATION TIMELINE: 2022-03-29 2022-04-11
JOB...
POST ASSISTANT OPERATIONS OFFICER – 10 POST
POST CATEGORY(S) HR & ADMINISTRATION
LEGAL
MARKETING,MEDIA AND BRAND
PROCUREMENT & LOGISTIC MANAGEMENT
TRANSPORT AND LOGISTICS
EMPLOYER Tanzania Ports Authority (TPA)
APPLICATION TIMELINE: 2022-03-29 2022-04-11
JOB SUMMARY NA
DUTIES AND...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.