tpa

  1. Jamii Opportunities

    Artisan II (Mechanical) - 11 post at TPA

    POST ARTISAN II (MECHANICAL) – 11 POST POST CATEGORY(S) ENGINEERING AND CONSTRUCTION EMPLOYER Tanzania Ports Authority (TPA) APPLICATION TIMELINE: 2022-03-29 2022-04-11 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To undertake repair works or fabricate equipment parts scheduled by respective...
  2. Jamii Opportunities

    Operations Clerk C - 10 post at TPA

    POST OPERATIONS CLERK C – 10 POST POST CATEGORY(S) TRANSPORT AND LOGISTICS EMPLOYER Tanzania Ports Authority (TPA) APPLICATION TIMELINE: 2022-03-29 2022-04-11 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To perform tallying activities; ii.To ensure no cargo/goods are taken out of the ports...
  3. Jamii Opportunities

    Head Boatman - 3 post at TPA

    POST HEAD BOATMAN – 3 POST POST CATEGORY(S) TRANSPORT AND LOGISTICS EMPLOYER Tanzania Ports Authority (TPA) APPLICATION TIMELINE: 2022-03-29 2022-04-11 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To perform cleaning of Wheelhouse, accommodation, chipping and painting on main deck ii.To assist...
  4. Jamii Opportunities

    Engine room assistant - 4 post at TPA

    POST ENGINE ROOM ASSISTANT – 4 POST POST CATEGORY(S) TRANSPORT AND LOGISTICS EMPLOYER Tanzania Ports Authority (TPA) APPLICATION TIMELINE: 2022-03-29 2022-04-11 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To work within the daily work schedule; ii.To maintain tug log book showing Main engines...
  5. Jamii Opportunities

    Cargo Foreman at TPA 3 posts

    POST CARGO FOREMAN – 3 POST POST CATEGORY(S) TRANSPORT AND LOGISTICS EMPLOYER Tanzania Ports Authority (TPA) APPLICATION TIMELINE: 2022-03-29 2022-04-11 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To operate winch, cranes as per approved procedures and policies; ii.To provide quality services...
  6. Jamii Opportunities

    Security assistant - 5 post at TPA

    POST SECURITY ASSISTANT – 5 POST POST CATEGORY(S) HR & ADMINISTRATION LEGAL EMPLOYER Tanzania Ports Authority (TPA) APPLICATION TIMELINE: 2022-03-29 2022-04-11 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To assist in preparation of roster and supervises Security guards for general security...
  7. K

    Nafasi za kazi TPA

    Chekini mkeka huo.
  8. Suzy Elias

    Tatizo la ubovu wa kijiko cha bandari ya Tanga lakwamisha makumi ya malori ya kubeba shehena ya clinker

    Hii nchi ina vituko sana! Huko Tanga wheel loader ama kijiko kwa lugha maarufu kimekwama kupakia maroli ya kubeba shehena ya material ya kutengenezea cement yaani clinker kwa ubovu wa kuvuta miss. Hali hiyo imesababisha makumi ya maroli kukwama kubeba shehena hiyo kwa sababu hilo la mashine...
  9. Memento

    Sakata la DP WORLD: Rais Samia asema Serikali itatafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar, sasa kuchangia robo tatu ya bajeti ya nchi

    Nimeona Rais akisema Serikali kutafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar es Salaam ili kuleta ufanisi na kuongeza mapato. Ni kweli tunahitaji mbia wa kuiendesha bandari ya Dar? Sisi wenyewe imeshindikana kabisa? Tumewahi kufanya hivi kwenye reli, shirika la ndege lakini tunajua kilichotukuta...
  10. B

    TPA na kampuni ya Dangote waingia makubaliano ya kibiashara kupitia bandari ya Mtwara

    Mamlaka ya usimamizi wa bandari Tanzania (TPA) Leo Jumatano Machi 16, 2022 imeingia makubaliano ya kibiashara na kiwanda cha Saruji cha Dangote kilichopo Mkoani Mtwara yenye lengo la kurahisisha usafirishaji wa Saruji kwa kutumia bandari ya Mtwara. Makubaliano hayo Yanawezesha kampuni ya...
  11. J

    Meli 3 zinazohudumu katika ziwa Nyasa zimeharibika, RC Homera achachamaa awataka TPA na Wizara waseme ukweli nini kinaendelea!

    Meli zote tatu zinazotoa Huduma katika ziwa Nyasa zimeharibika na meneja wa TPA amesema matengenezo yanasubiri kwanza tathmini kutoka Shirika la Bima la taifa (NIC) Naye Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mh Homera ameitaka TPA makao makuu pamoja na Wizara ya uchukuzi kueleza ukweli tatizo la meli hizo ni...
  12. Jamii Opportunities

    Captain at TPA

    POST: CAPTAIN – 1 POST POST CATEGORY(S): TRANSPORT AND LOGISTICS EMPLOYER: Tanzania Ports Authority (TPA) APPLICATION TIMELINE: 2022-01-07 2022-01-20 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES Piloting Ships for safe berthing & un-berthing within the Port Ensure that the outgoing ships have...
  13. Idugunde

    Wahasibu na Kibarua TPA kizimbani kwa kuisababishia TPA hasara ya mil 600

    WAHASIBU NA KIBARUA TPA, KIZIMBANI WAHASIBU wanne wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na Kibarua mmoja, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye shtaka moja la kuisababishia Bandari hasara ya zaidi ya Sh. Milioni 600...
  14. Richard

    Ushauri kwa Rais Samia; Azingatie bodi mbili tofauti kuendesha TPA na napendekeza "two tier board of directors"

    Kwako Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan. Kwanza pole na majukumu makubwa ya kuongoza taifa hili, au nchi hii na bila shaka umethibitisha kwamba nchi hii ni ngumu. Moja ya mambo mazito yanoisumbua nchi hii ni uwajibikaji na baadhi ya wananchi kupenda kupata bila jasho au kupiga kama ambavyo...
  15. S

    Rais Samia ashtukia upigaji Mamlaka ya Bandari Tanzania(TPA)

    Kutoka ziara ya Rais Samia, Bandari Kuu Dar es Salaam. Ujenzi wa matenki ya kuhifadhia mafuta, kwanini TPA ilianza ujenzi wa matenki mapya wakati PUMA ina matenki yako tupu na hayatumiki kwanini yasitumike hayo kulikuwa na sababu gani ya kujenga mapya kama sio uchochoro wa kupiga fedha??? 2...
  16. Martine Joseph Siwa

    Clearing & forwarding agent available

    Natoa huduma ya clearlence kwa mizigo,pamoja na magari kutoka duniani kote,kwa haraka na kwa bei rafiki kabisa kwa maelezo Zaidi tupigie: +255710323599 au +255679132109
  17. Bemendazole

    PSSSF, TPA mmekubali tupigwe na Wakenya kwa knock out?

    Kama mnavyojua majirani wanapenda kuishi kwa janja janja nyingi. Kutokana na uwezo mdogo wa kujenga majengo marefu, they are cheating kwa kupandisha minara mireefu juu ya majengo yao ili kuyaingiza kwenye chati za uongo na kweli za majengo marefu. Hili sio jambo geni. Mtifuano kama huu...
  18. SankaraBoukaka

    Kwanini taasisi kama TRA, NSSF, TPA na zinginezo zisiwe na timu za mpira wa miguu?

    Ukiangalia kwa makini kwenye huu ukanda wetu wa Afrika Mashariki na KATI na hata Afrika kwa ujumla wake, soka linaendeshwa sana sana na Taasisi za Serikali, watu binafsi wenye hela na makampuni maana ndo waajiri ambao wana uhakika wa kulipa mishahara na kuhudumia timu kwa uhakika.. ZAMBIA na...
  19. Zanaco

    Rais Samia komesha unadishaji wa mizigo bandarini

    Mama samia raisi wetu mpendwa mama yetu msikivu naomba tondole hii kero ya muda mrefu sana wazuie TRA na TPA wasiuze mizigo ya Watanzania bandarini kwakisingizio cha kukosa pesa za kulipia kodi mizigo. umewatia watu wengi umasikini mtu anaagiza mzigo kutoka nje ya nchi mzigo unafika...
  20. S

    Hili la wizi wa mafuta TPA linaumiza vichwa

    Kwanza kabisa nimpongeze DC wa Kigamboni kwa swala zima la kuwabaini wezi wa mafuta kwenye mabomba ya mafuta ya mamlaka ya Bandari tanzania (TPA) kule Kigamboni cha kushangaza kabisa eti TPA nao wanadiriki kupongeza juhudi za mkuu wa Wilaya katika kuwabaini wezi wa mafuta. Hii ni aibu kubwa...
Back
Top Bottom