"Utakuta watu wa route hii ya Makumbusho Posta wana ustaarabu, akikuta gari limejaa kwanza hapandi, tofauti na route za Mbagala, hata mwonekano wa kondakta na dereva wa gari la Posta uko smart, "- Sgt Amin Iddi, Traffic Dar.
"Umepanda pikipiki dereva anaenda isivyo wewe unashindwa kumwambia...
Kutokana na malalamiko ya rushwa dhidi ya askari Polisi Usalama Barabarani (Trafiki), Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, Wilbrod Mutafungwa amepiga marufuku madereva kushuka na kuwafuata askari nyuma ya gari.
Mutafungwa alitoa kauli hiyo katika mahojiano na Gazeti la Mwangaza...
Kuna magari almaarufu kama daladala , haya magari yakisimamishwa na Polisi hasa hawa wa usalama barabarani dereva akisimama tu JAMBO LA AJABU SANA KONDA HUSHUKA KAMA NINJA NA KUKIMBILIA KWA POLISI NA MARA HIYO HIYO POLISI hukenua meno na kuruhusu gari iondoke.
Nachojiuliza Mkuu wa Polisi haoni...
Utafiti wangu rasmi. Magari karibia wote ya kutembelea hayana bima. Hii but kila ninaposimamishwa barabarani kwa ajili ya ukaguzi. Huwa nashuka naenda kuangalia kama magari Yao yana bima. Na hiki ni kipindi kile bima zilikuwa zinabandikwa kwenye kio. Sasa hizi za kidijitali ndo kabisa.
Polisi...
Hii tabia ya kusimamisha mabasi kabla ya kutoka manyoni ukiwa unatoka Dodoma mpaka yafike 15 halafu mna aescort kwa kilometa kadhaa then wanaachiwa huko wapambanie msubiri ajali mbaya ya kugongana wao kwa wao kwa sababu zifuatazo
1: kwanza madereva wa mabasi wakifatana wengi wana hulka ya...
Waswahili wanasemaga kuwa iga kilicho bora.
Takukuru ya nchini Kenya inaonyesha jinsi ya angalau kupunguza rushwa ya matraffic nchini humo.
Hii style ingetufaa hapa kwetu maana haina haja ya upelelezi tena hapo.
Natoa tahadhari kwa JESHI la POLISI wawe makini na ule mfumo wao wa KUSIMAMISHA MAGARI wakiwa wamesimama katikati ya barabara Tena wakati mwingine high way.
Kuna polisi wema japo kwasasa jeshi la polisi Lina madoa mabaya Sasa ni Bora tukatoa tahadhari kuwaepusha wale wema wasije kukutana na...
tabia ya hawa trafiki kufanya mambo ya ajabu ajabu barabarani yanadhalilisha jeshi la polisi. Hii inaendana kinyume na miiko ya kazi kabisa. Wengine mtapinga ila hii tabia imekuwa too much sasa kwa trafiki. Itapelekea hadi nidhamu kushuka.
Kwenye hii video nimeshangazwa sana na kusikitika.
Katika tukio la kustaajabisha na kushangaza hadi kuacha watu midomo wazi askari wa usalama barabarani aliekuwa kasimana mita chache kutoka mataa Ubungo kama unaelekea barabara ya Mandela (geti la kwanza la kushoto songas) askari ambae alikuwa kasimama hapo akiongea na dereva wa kirikuu...
Miaka nenda rudi Njia ya Dar es Salaam - Mbeya ndio imekuwa njia ambayo ni gumzo kwa mabasi yake kwenda mbio.
Umbali wa safari ni zaidi ya kilometre 800, na njia imekuwa ikipita kwenye Milima mikali, kona kali, mbuga ya wanyama, hali ngumu ya hewa Ikiwa ni Pamela na uwepo wa ukungu mzito na...
Wakuu hbari,
Juzi kati nilikua na safari ya kwenda mikoa ya kusini sasa kila askari akinisimamisha kama nikiwa na kosa naandikiwa risiti na kuna huu utaratibu nimeuona mpya WA KUNAKIRI KOSA PEMBENI KWENYE NOTEBOOK PAMOJA NA TAARIFA ZA DEREVA.
Sijajua huu utaratibu mpya umewekwa kwa malengo...
Kijana anayekadiriwa kuwa na miaka 20-25 amefariki dunia kwa kushambuliwa na wananchi baada ya kumjeruhi kwenye taya na kidevu Askari wa Usalama Barabarani kwa kumpiga na chuma cha kupondea mawe (Moko), wakati akiwa kwenye eneo lake la kazi Mtaa wa Mwembeni, barabara ya Katoro Ushirombo...
Mimi najua serikali haijawahi kulala lakini mbona kuna mambo ya msingi sana hua yanazembewa lakini hili la jamaa hawa kukaa sa kumi na moja alfajir eti kuvizia anaepita na taa nyekund, aaaah sio kweli aisee.
Basi hata faini moja hapo hawatoagi aisee ni kuzunguka mbuyu kwakwenda mbele Vingunguti...
Ndugu zangu,
Nimekuwa nikipita barabarani ukweli ni kwamba ni ngumu sana trafiki kukamata bodaboda. Mara nyingi nimeona wanaokamatwa na trafiki ni waendesha magari sio waendesha bodaboda.
Hata kwa hii faini ya elfu kumi sioni trafiki wakikusanya wala bodaboda wakilipa. Hesabu ya bodaboda kwa...
Nimesikitika kidogo hapa. Naamini wabunge watatupambania. Kama LUKU zitakuwa na Kodi ya Majengo basi ghalama za Maisha zitapanda mara dufu.
Kinyozi lazima apandishe bei, wauza vinywa vya baridi, Wachomelea vyuma n.k. Kubwa ni pale ambapo LUKU emebebeshwa zigo la Kodi ya Nyumba. Kuanzia mpangaji...
Ni bora faini ziende serikalini, sio kwa yanayotokea njia ya Goba.
Kuanzia Massana Hospital mpaka Mbezi Mwisho ni aibu juu ya aibu. Mabasi yanasimamishwa makonda wanatoa hela wanaweka kwenye makaratasi na kugaia.
Shida sio tu kutoa hela. RTO hebu hakiki hili barabarani
Ukitokea Masana Hosp...
Pichani ni kaka mtanashati anayejifanya muuza magazeti, hapa ni mataa ya Morocco (Kinondoni) daladala zinazotoka maeneo ya Shoppers/Kawe/Msasani zinasimamishwa na Askari kisha kondakta anashuka na kumalizana na na huyo kaka muuza magazeti.
Mheshimiwa alisema watoa taarifa tutalindwa hivyo...
Askari wa kikosi cha usalama barabarani, Peter Albert Moshi anashikiliwa na Taasisi ya Kupambana Rushwa (TAKUKURU) mkoani Kilimanjaro kwa madai ya kuomba rushwa ya ngono kwa mama wa mtoto aliyegongwa na pikipiki ili aweze kukamilisha taarifa za uchunguzi wa ajali hiyo.
Kamanda wa wa Takukuru...
Iko hivi...
Wenye magari wengi tunapopeleka magari hayo kwa waosha magari (Carwash)!
Haina maana sheria za usalama barabarani zinakoma ukiwa eneo la Carwash!
Sheria inampa mamlaka traffic kuingia hata Carwash kukamata magari yanayosogezwa na waosha magari wasio na leseni ya udereva!
Tufahamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.