ttcl

  1. Dive

    Hivi TTCL na TCRA wanashindwa kuzuia matapeli kwa njia ya simu?

    Kiukweli inasikitisha sana Kwa mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) ambayo ilielekeza lines zote za simu zisajiliwe Kwa kutumia vitambulisho vya NIDA ilu ktambua watumiaji na kuepusha uhalufu lakini leo hii lines za simu hasa hasa za TTCL zinatumika sana kutapeli watu. Kumekuwa na ongezeko la...
  2. TTCL Customer Care

    Taarifa dhidi ya uzushi unaosambaa mitandaoni kuhusu kampuni ya TTCL

    Kumekuwa na baadhi ya watu kupost picha ya Ttcl ikiwa na ujumbe unaosomeka TIA TUKUTIE.
  3. Buza Kwa Mpalange

    Changamoto za Mtandao wa TTCL kwa wateja wake

    Hatimaye TTCL wameanza kukosa ubunifu kabisaaa 👉Now wapowapo tu ubunifu ni 0.05%. Badala ya kuumiza kichwa kuboresha huduma, wameenda kumsainisha Nandy kwenye lebo yao ya Rudi Nyumbani Kumenoga ili wazurure kufanya shoo mikoani. 👉Unapiga menyu yao ya kuangalia salio. Ujumbe unakuja kuletewa...
  4. Ushimen

    Call For Interview UTUMISHI At MU, TCB, Tanga-UWASA, IRUWASA ,UDSM, MNH, TANESCO & TTCL On 24th May 2021

    INTERVIEW ANNOUNCEMENT Click below to download pdf file:
  5. GENTAMYCINE

    TTCL msipobadilika 'nawachongea' kwa Rais Samia

    Haiwezekani nyie kila siku tu ni lazima muwe na tatizo la Kimtandao (hasa hasa) linalohusu Miamala yenu ya T-Pesa. Mbona mlikuwa hamna Upuuzi huu wakati Mwendazake Hayati Rais Dkt. Magufuli yupo Hai na Madarakani? Tuwaeleweje nyie TTCL? Na kinachonipandisha Hasira zangu ni kwamba natambua nyie...
  6. K

    Msaada kuhusu Written Interview ya TTCL nafasi ya Afisa Mauzo

    Habari za jioni wadau. Ninaomba msaada kwa waliowahi kuhudhuria interview Utumishi kwa nafasi ya SALES OFFICER . Ni maswali gani wanapendelea kutoa? Asanteni sana.
  7. Q

    Mashirika 11 ya Umma hayakupeleka hesabu zao kukaguliwa ikiwemo TANESCO, TTCL, NHIF, Posta na Muhimbili

    Taasisi ambazo hazikuwasilisha hesabu zake kukaguliwa. 1. Hospitali ya Taifa ya Muhimbili 2. Kampuni ya Mbolea Tanzania 3. Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya 4. Mfuko wa UTT 5. Shirika la Magazeti Tanzania 6. Shirika la Posta Tanzania 7. Shirika la Reli Tanzania 8. Shirika la Simu Tanzania 9...
  8. Ushimen

    UTUMISHI Jobs At Tanzania Telecommunications Corporation Limited (TTCL), April 2021- (61 Posts)

    1. JOB TITLE: SALES OFFICER II - (10 POSTS) ● Sales/Marketing – (5 POSTS) ● Entrepreneurship – (5 POSTS) 7.2.1 DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. To ensure proper maintenance of customer documentations and records including sales data and monthly bills ii. To provide first hand support to all...
  9. I am Groot

    Nyumbani kumenoga: TTCL wamerudi kwenye mstari wao

    Siku mbili tu bila kutumia internet ni kama mwaka mzima gerezani. Ahsante sana Ttcl NB: Kama kawaida eneo ulilopo ndio litaamua speed ya mtandao
  10. F

    TTCL huu ndio muda wenu wa kuvuna wateja wa voda, tigo, airtel, nyinyi shusheni bei ya internet - kodi tra wanawasamehe ki siri siri

    TTCL ni shirika la uma, limefufuka ila halina wateja wa kutosha Sasa huu ndio muda wa kuvuna wateja.. serikali iwabebe kama ilivyoibeba NHIF... Tigo, voda , hallotel mtawapora wateja wote
  11. J

    Waziri Dkt Ndugulile aipongeza TTCL uboreshaji vituo vya huduma kwa wateja

    Na Mwandishi wetu - Zanzibar Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe Dkt Faustine Ndugulile aipongeza Shirika la Mawasiliano Tanzania kwa kuboresha muonekano wa Vituo vya Huduma kwa Wateja nchi nzima ili kuongeza mvuto kwa wateja wa huduma za mawasiliano. Amesema hayo katika hafla...
  12. J

    Dkt. Faustine Ndugulile azindua rasmi Kituo cha Huduma kwa Wateja cha TTCL Corporation Kijangwani, Zanzibar

    Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Dkt Faustine Ndugulile azindua rasmi Kituo cha Huduma kwa Wateja cha TTCL Corporation Kijangwani, Zanzibar. Pia katika uzinduzi huo alikuwepo Mkurugenzi Mkuu wa TTCL Corporation ndug. Waziri Kindamba #RudiNyumbaniKumenoga
  13. I am Groot

    Naomba kujulishwa: TTCL internet configuration settings

    Kama ninavyosomeka hapo juu. Watz nahitaji kufahamu configuration za internet ya ttcl
  14. Miss Zomboko

    Serikali yaagiza wanaodaiwa na TTCL kukatiwa huduma baada ya Januari 31 endapo hawatalipa madeni

    Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt Faustine Ndugulile ameliagiza shirika la mawasiliano Tanzania TTCL kufuatilia madeni ya malimbikizo yote inayoyadai mashirika mengine ya Umma na yakishindwa kulipa hadi januari 31 yakatiwe huduma. Huduma hizo ni simu na intaneti ambapo hadi sasa...
  15. guwe_la_manga

    Ili niweze kufanya kazi TTCL natakiwa nisomee masomo gani na kozi gani chuoni?

    Miye ni muhitimu wa kidato cha nne mwaka 2012 kwa masomo ya HGL, ningependa kupata mwongozo wa nini nifanye. Je, HGL yangu ya div 2 inatosha? Au kuna somo inabidi niyareseat? Na kama kwa HGL inawezekana ni chuo kipi kinatoa masomo hayo kwa ngazi ya diploma?
  16. Miss Zomboko

    Serikali yatoa siku 30 kwa Taasisi zinazodaiwa na TTCL kulipa madeni ya huduma waliyopewa

    WAZIRI wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dk Faustine Ndugulile amezipa siku 30 taasisi za umma zinazodaiwa na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) zilipe shilingi bilioni 30 ndani ya mwezi mmoja. Dk Ndugulile alitoa agizo hilo jana alipotembelea TTCL na kuzungumza na wajumbe wa Bodi...
  17. FrankLutazamba

    Serikali kwanini wahitimu wa bachelor of arts with education wasiwe mawakala wa ttcl na airtel nchi nzima wakati wakingoja fursa

    Najua vijijini na kwenye kata hakuna mawakala wa ttcl na airtel, kwanini msiwaajili walimu hawa wanaojua customer service vizuri wakawa mawakala kwa kuwapa mafunzo kidogo ya kutatua matatizo ya mtandao. Mh Dr. Jakaya Kikwete aliwahi sema 'degree yeyote mtu anaajiliwa kazi yeyote kutoa sheria na...
  18. FrankLutazamba

    Iweje simu za mezani Ttcl walizipatia sana na zinasikika vyema na washindwe kuboresha simu za mkononi?

    Jamani inakuwaje kuwaje ukitumia simu za mezani za ttcl mambo poa,hata kwa sie wa siku nyingi walileta mradi wa simu za box unadumkiza sarafu unapiga,nazo zikawa safi na wakaweza ila za mkononi zinasuasua,tatizo nini?bora waniajili nikaongezee nguvu.
  19. B

    Mnaotumia Voda, Tigo ama Airtel katika bando, vipi huko hali ikoje maana TTCL bando halikai kabisa

    Husiku na kichwa cha habari hapo juu, Nimekua mteja wa TTCL muda sasa toka nilipoanza kutumia yapata miaka kadhaa. Mabadiliko mengi yakatokea mimi nipo tu. Kwa mabadiliko haya ya gharama za data zao naamini watampoteza mteja mmoja. TTCL mna threads zenu humu ndani (JF) namna mtaboresha huduma...
Back
Top Bottom