tujifunze

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. CONSISTENCY

    Watanzania tujifunze na kujadili hatma ya vizazi vyetu, hali ya nchi ni mbaya sana

    Kuna mambo mengi ya hovyo yanaendelea nchini, Bandari Utalii Madini Mikopo ya kijinga Ufisadi CAG report Mfumuko wa bei n.k Wanasiasa tumewapa dhamana kubwa ya kutuongoza ila nasikitika kusema wengi wa wanasiasa nchini Tanzania ni walafi, vibaraka na watumwa wa wageni. Nasikitika kusema Rais...
  2. Pascal Mayalla

    Watanzania tujifunze kukubali kuna vitu hatuwezi, tunaposhindwa tukubali kusaidiwa au tukomae? Baada ya Bandari ni ATCL na SGR au Tusubirie?

    Wanabodi, Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa. Hii ndio makala ya leo swali la wito kwa Watanzania wenzangu, jee jjifunze kujikubali kuwa hatuwezi kila kitu!, hakuna nchi yoyote duniani wanaweza kila kitu wao wenyewe!. Kuna vitu sisi Watanzania...
  3. mdalamishi

    Hujuma waliofanyiwa wachezaji wetu wa Yanga tunatakiwa tujifunze

    Habari zenu wakubwa, Kwanza nipende kuwashukuru wachezaji wetu wa Yanga kwa kuweza kuitangaza Tanzania kuwa tunaweza kupambana, pia nipende kutoa shukrani Kwa mashabiki, wadau wa mpira na pia mheshimiwa Rais wetu mpendwa kuwapa Ari ya kufanya vizuri. Tumejionea hujuma zilizofanywa na wachezaji...
  4. Y

    Tujifunze kwa Maendeleo ya Watu

    Hii ni kauli mbiu ya Chuo Kikuu Mzumbe S.L.P.1 Mororgoro, Tanzania. kutokana na hii kauli mbiu imewafanya viongozi wengi ambao wamepitia katika chuo hiki kuwa na hamu pamoja na uchungu katika kuleta maendeleo kwa wananchi hasa wale wenye uhitaji zaidi na hawana mtu wa kuwasemea changamoto zao...
  5. Ester505

    Tujifunze kwa Yusufu Baba wa Yesu

    Kama YUSUFU alimlea YESU, Nawashauri wanaume muache kuhangaika na DNA. Tulieni tu, maana huwa NI mipango ya Mungu. Na huwezi kujua huyo unayemlea Leo kesho atakuja kukusaidia kwa kiasi gani. Hata wewe unayekataa kumlea mtoto wa mwanamke uliyemkuta NAE hii inakuhusu. NIKO PALE NIMEKAA...
  6. Artifact Collector

    Tujifunze ujasiri wa Zelensky Rais wa Ukraine

    Usipokua mtu wa kuappreciate mambo mazuri wanayoyafanya wenzako ni ngumu sana kujifunza na kufanikiwa Sisi waafrika hatu-appreciate mambo mazuri ya watu wengine ndo maana tuko vilevile, ni rahis sana kwa mwafrika kumuona mwezake amefanikiwa balaa ya ku-appreciate ataanza kumtuhumu ni...
  7. F

    Waalimu, madaktari, wasomi na watu wa sekta nyingine tujifunze kwa wafanyabiashara wa Kariakoo kuzungumzia kero zetu.

    Wafanyabiashara wa Kariakoo wameonesha weledi mkubwa katika kuelezea kero zao mbele ya waziri mkuu Kassim Majaliwa. Wengi wa wafanyabiashara hawajasoma sana kama waalimu, wahadhiri, madaktari, nk. Wasomi tunashindwa wapi! Waalimu wana kero nyingi lakini hawathubutu kuzungumzia kero zao...
  8. Mwanadiplomasia Mahiri

    Wenye picha za huko Rondo tunaomba mzitupie hapa tujifunze kitu

    Haya wale mliopo huko Rondo Chipota tunaomba mturushie picha za huko kijijini Rondo ili Watanzania wanyonge tuweze kujifunza kitu. Natanguliza shukrani zangu
  9. Kalaga Baho Nongwa

    Ifike mahala vijana wenzangu tukue na tujifunze kuvikubali vilivyo vyetu na tuvipende

    Juzi nimesikitika mnoo. Koloz wameolewa lakini kiunaume, mnajidanganya wazee kuolewa kuolewa tu. Hongereni pia kuiwakilisha Afrika Mashariki ma kati na kwa hatua ile mliyofikia Kyle Moroko. Nina hakika hata hili la NbC hapa kwetu mtalisikia kwenye Bomba. Leo nina machache sana ya kushea, Moja...
  10. Tanzanite klm

    Nini cha kuzingatia unapoandika title ya research yako?

    Kichwa cha habari cha utafiti ni muhimu sana kwa sababu kinapaswa kuwa na maneno yanayoelezea kwa usahihi na kwa ufupi lengo la utafiti wako. Hapa kuna mambo muhimu ya kuzingatia unapotafuta kichwa cha habari cha utafiti: Eleza kwa usahihi na kwa ufupi lengo la utafiti wako: Kichwa cha habari...
  11. daydreamerTZ

    Fahamu kuhusu hisa za kampuni binafsi (shares of private company)

    HISA ZA KAMPUNI BINAFSI Hisa za kampuni binafsi ni hisa zinazomilikiwa na watu wachache ambao wamealikwa na kampuni kushiriki katika umiliki wake. Kampuni binafsi mara nyingi hazina nia ya kuorodheshwa kwenye soko la hisa na kuuza hisa zao kwa umma. Kwa kawaida, hisa za kampuni binafsi...
  12. Song of Solomon

    Jifunze maneno ya haya ya Kiswahili

    TUJIFUNZE KISWAHILI: 1. Charger - kimemeshi 2. Remote - kitenzambali 3. Password - nywila 4. Akala (bladder shoes) - kirikiri 5. Passion fruit - karakara 6. Kangaroo - bukunyika 7. Fridge - jokofu 8. Juice - sharubati 9. Chips - vibanzi 10. PHD - uzamifu 11. Masters degree - uzamili 12. Degree -...
  13. Pascal Mayalla

    Ili kupata Viongozi Bora baadae, Watanzania tujifunze kuwasoma watu kwa asili zao. Mjue Samia alivyo kwa asili yake

    Wanabodi, Humu JF, mimi najihesabu ni mmoja wa waalimu wa somo gumu kabisa kwa watu wa kawaida. Hili ni somo la kitu kinachoitwa "psychoanalysis" Kuijua psychoanalysis ni nini na ni ya kazi gani? tembelea hapa Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide...
  14. Hismastersvoice

    21/01/2023 CHADEMA walifanya uzinduzi wa mikutano, baada ya hapo ratiba ya mikutano itafuata

    Wengi wanadhani Chadema walianza rasmi mikutano yao hapana, baada ya uzinduzi huo kitakachofuata ni ratiba rasmi ya mikutano na ndiyo itakayotoa huenda yote wanayoyatarajia watanzania kulingana na itakavyofanyika. Kuna watu wanaodhani kwenye uzinduzi utaongelea matatizo yote ya nchi, hapana...
  15. kyagata

    Tujifunze kuachana na ma Ex wetu vizuri

    Leo nimeamka nikiwa sina hata mia mbovu mfukoni,kila mshikaji niliyekua namuomba aniazime hata elfu 10 tu wote wakawa wananikataa.nikapekua simu yangu nikakuta jina la ex wangu ofcoz huyu dada tuliachana tu coz ya harakati za maisha na huwa tunachat mara moja moja tu kupeana salamu na vitu kama...
  16. gem platnumz

    Tujifunze maisha ya ndoa hapa

    Watu wengi leo tumebaki na tunajiuliza kwanini wimbi la kuvunjika kwa ndoa linakua kwa kasi sana mashauri Mahakamani kuhusu taraka yamekuwa Mengi kiasi kwamba yanataka kuzidi Mashauri ya kesi za Ardhi? Siku moja alinifata ndugu mmoja akawa ananisimulia kisa chake mke wake amekuwa akimfumania...
  17. Webabu

    Kufuatia ajali ya Precision Air tujifunze kutokana na makosa na tupongezane tulipofanikiwa

    Watu 19 wamefariki na 26 kuokolewa kwenye ajali mbaya ya ndege huko Bukoba.Innaa Lilaahi wainna ilayhi raajiuun. Kwanza ni wazi kuwa ni ajali iliyotokana na mipango ya Mwenyezi Mungu.Shirika la ndege na rubani hawana cha kulaumiwa.Zaidi ni kuwa rubani kwa haraka kabla uchunguzi anaweza...
  18. Ali Nassor Px

    Kwa vile bado tupo hai basi tujifunze haya

    Katika maisha ya mwanadamu kuna mambo mengi lakini mawili ni muhimu zaidi. 1. Kujielewa yeye ni nani na anahitaji nini. 2. Kujithamini kabla ya kuthaminiwa. Ukishafahamu hayo kila kitu utakiweka panapostahiki. Kuna watu wa kila aina ndani ya jamii zetu. • Kuna waungwana • kuna watwana...
  19. Etugrul Bey

    Tujifunze Kujikubali!

    Kuna mambo ambayo yapo nje ya uwezo wetu na Katu hatuwezi kuyabadilisha hata kidogo, huenda yanatukosesha Raha au kutufanya tusijiamini mbele za watu. Fuatana nami ule Asali! Kuna msemo unasema ukishindwa kulibadilisha Jambo basi likubali jinsi lilivyo, hakika hawakukosea kabisa,ukilikubali...
  20. Wilhelm Johnny

    Naomba kujuzwa tofauti ya 2.4GHz WLAN na 5GHz WLAN na kazi zake kwa matumizi ya Wi-Fi maofisini na nyumbani

    Wakuu Nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano Tanzania. Twende kwenye mada wakuu nilikua naomba kujuzwa tofauti ya 2.4GHz WLAN na 5GHz WLAN na kazi zake kwa matumizi ya Wi-Fi maofisini na nyumbani
Back
Top Bottom