Kuna mambo ambayo yapo nje ya uwezo wetu na Katu hatuwezi kuyabadilisha hata kidogo, huenda yanatukosesha Raha au kutufanya tusijiamini mbele za watu.
Fuatana nami ule Asali!
Kuna msemo unasema ukishindwa kulibadilisha Jambo basi likubali jinsi lilivyo, hakika hawakukosea kabisa,ukilikubali...