(Hotuba ya Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Ndugu Maalim Seif Sharif Hamad,Mwenyekiti wa Chama Taifa Kuhusu Masuala ya Msingi Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020)
Ndugu Watanzania,
Kama inavyofahamika, 2020 ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu. Tanzania inatarajiwa kufanya uchaguzi wa madiwani, wabunge, wawakilishi na...