Jawabu ni CCM.
Je ni CCM pekee ? Tulikubali hilo na tukilikubali nini matokeo yake ?
Tegemeo kuu ni mwitikio wa wananchi katika majimbo yao majimbo ambayo kwa sasa inakaribia Tanzania nzima wananchi yameshaikataa CCM,uhakika ni kuzuka kufukuzwa wagombea wa CCM mchana kweupe,tumeona baada ya...