Karibuni sana vunjabei mtumba grade1 wauzaji wa balo za mtumba grade 1 kutoka China Dubai uturuki Canada
Tuna balo za nguo aina zote kama
Gauni jeans suruali Koti blouse skirt tshirt jeans kadeti pens Shati Viatu mabegi pazia shúka
Tunapatikana Ilala boma dar es salaam mtaa wa mwanza...
Hello tunauza mashine za kukamua juisi ya miwa
Sifa kuu inakamua na kuchuja yenyewe Huna haja ya kusumbuka
Pia Hutumia Umeme kidogo karibu sana
Tupo kariakoo mtaa wa masasi na ndanda
0774150519
Jipatie chanuo la umeme kwa bei nafuu ya Tsh 45,000 tu
Bidhaa hii inatatua changamoto zifuatazo:
1. Kuzuia nywele kuwa ngumu:
• Inafanya nywele kuwa laini na , hata katika hali ya hewa yenye unyevunyevu.
2. Kung’arisha Nywele:
• Inaongeza mng’ao kwenye nywele, hivyo...
Tunapenda kukutaarifu ya kuwa zile mashine za kupukuchulia mahindi tayari zimeshafika ofisini kwetu.
(Maize sheller machine)
✓Inauwezo wa kupukuchua (GUNIA 25 KWA SAA)
✓Inapukuchua magunzi saize Tofauti Tofauti.
✓Hutumia umeme wa majumbani single phase (Ac)
✓Inahamishika kirahisi kutoka Sehemu...
Karibu ujipatie kitabu cha Fursa za mtandaoni
👉Huku utafahamu Fursa zote zilizopo mtandaoni na Jinsi ya kuzitumia kujiingizia kipato
👉 Bei ni Tsh 5000 tu tunapatikana Dar es salaam number 0684861947 / 0692436124
Furahia umeme wa nishati ya jua (Solar Energy) kwa gharama nafuu ambazo zitakupunguzia ulipaji wa bili kubwa za umeme,utumiaji mkubwa wa mafuta kwa ajiri ya uendeshaji wa pump za maji.Karibu tukufungie Automatic Power Backup System,Solar Pumping System za gharama nafuu kabisa.
Tunapatikana...
Kufa kufaana... Karibu dukani kwetu mtaa wa Kalenga karibu na hospitali ya Taifa ya Muhimbili, njoo tukuuzie masanduku ya kisasa yakawaida na yakidijitali kwa gharama nafuu sana.
Sema biashara sahivi haijachanganya sana, mje mniunge mkono nisije nikafa njaa mkakosa majeneza yakisasa.
Unataka Ipi kati ya hizi?👇👇👇
Je, unatafuta Desktop(CPU peke yakee au Complete)?
Je, unatafuta Core 2 Dual, Core i3, Core i5 au Core i7?
Je, unatafuta yenye RAM 2GB, 4GB,8GB!?
Je, unatafuta yenye kioo inch 17', 19' 20' 22' au 24'?
Desktop complete zinaanzia tsh. Imepungua na kuanzia Tsh...
Habari zenu. tunapunguza asset ofisini kama zifuatazo:
Asset hizo na bei zake kama ifuatavyo:
1.Pressure washer tzs 150,000 (laki moja na hamsini elfu)
2.Tube filler -mashine ya kujazia vifungashio vyenye mdomo mdogo
tzs 600,000 (Laki sita)
3.Computer Apple All in One (Huhitaji CPU)
tzs...
Tunauza spare za pikipiki aina ya boxer original na HERO kwa jumla na rejareja Bei zetu ni nafuu Sana na tunatuma mikoani pia. Kwa mawasiliano tupigie 0782197274
PORTABLE GRASS CUTTER MACHINE/BRUSH CUTTER MACHINE.
■Hii ni mashine ya kisasa ya kukatia ama kufyekea majani au nyasi.
■ Inauwezo wa kukata nyasi fupi na ndefu pia hata matawi ya miti
■Mashine hiii hutumia petrol kidogo mno na hukata eneo kubwa sana.
■Wakati wa Kukata nyasi unaivaa begani...
TUNAUZA MASHINE NDOGO ZA KULIMIA
=AZWPYjHWWy-JF0dR8lwvMn1FGYNV-v2JlqCEjvPkQD8yDdDQ09V9-DMA8okDqeZ9XMSoAOweaN8fEWEK-MTDJF-7g1T4x7mlV-0T8XsjhAAZguqj9WI_rbSw3eFN6nTsMV-1oie29TdCOTuAeZ-DOMfJoa7xmB-KENL7vUiQgdmbjxDejYPI3Iex8PRdMdkZr1s&tn=*NK-R']#MINPOWERTILLER
Okoa muda/nguvu kazi pamoja na gharama...
TUNAUZA TAA ZA JOTO ZA KULELEA VIFARANGA.
(HEAT INFRARED LIGHT BULB)
●Hutoa mwanga mwekundu ambao husaidia kupunguza stress kwa vifaranga na kufanya ale vizuri.
●Taa moja hulea vifaranga 100 hadi 150.
●Huzalisha joto la kutosha hivyo humfanya kifaranga wako kufurahia maisha.
●Hudumu muda mrefu...
Tunauza mashine za kuchakata malisho ya mifugo kama vile kuku.
Mashine hii inauwezo wa kuchakata mabua na majani hadi kuwa vipande vidogo dogo sana.
Inauwezo pia wa kusaga magunzi,mahindi,mashudu na material mengineyo yanayotumika katika kutengenezea chakula cha kuku hadi kuwa unga kabisa...
Karibuni wateja tunauza viwanja na heka kwa bei nzuri.
Maeneo nimeshayataja hapo juu.
Nimazuri kwa ujenzi na shughuli zingine . Kwa kiteto kuna heka 10 zilizoshikana kila moja inauzwa laki 350,000/= na kuna heka karibu na mjini kiteto ,tunauza ml 1 , mjini kabisa tunauza ml 2 . Maji , Umeme...
Heka zipo Arusha maeneo Kingori, Kikatiti, Maji ya chai na sehemu zingine.
Heka zilizopo km 4 ni kuanzia ml 11 unaweza kulipia cash au kidogo kidogo.
Heka zilizopo km 5,6,7, na kuendelea unaweza pata kwa ml 8, 7, 6, na ni nzuri kwa kilimo, makazi, na biashara.
Nipigie simu uje ofisini twende...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.