tunauza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. V

    INAUZWA Tunauza mabalo ya nguo za mtumba

    Karibuni sana vunjabei mtumba grade1 wauzaji wa balo za mtumba grade 1 kutoka China Dubai uturuki Canada Tuna balo za nguo aina zote kama Gauni jeans suruali Koti blouse skirt tshirt jeans kadeti pens Shati Viatu mabegi pazia shúka Tunapatikana Ilala boma dar es salaam mtaa wa mwanza...
  2. Meshaki Richard

    INAUZWA Tunauza Mashine za kukamua juisi ya miwa

    Hello tunauza mashine za kukamua juisi ya miwa Sifa kuu inakamua na kuchuja yenyewe Huna haja ya kusumbuka Pia Hutumia Umeme kidogo karibu sana Tupo kariakoo mtaa wa masasi na ndanda 0774150519
  3. ahmed sereri

    INAUZWA Tunauza chanuo la umeme la kisasa

    Jipatie chanuo la umeme kwa bei nafuu ya Tsh 45,000 tu Bidhaa hii inatatua changamoto zifuatazo: 1. Kuzuia nywele kuwa ngumu: • Inafanya nywele kuwa laini na , hata katika hali ya hewa yenye unyevunyevu. 2. Kung’arisha Nywele: • Inaongeza mng’ao kwenye nywele, hivyo...
  4. M

    INAUZWA Tunauza mashine za kisasa za kupukuchulia mahindi

    Tunapenda kukutaarifu ya kuwa zile mashine za kupukuchulia mahindi tayari zimeshafika ofisini kwetu. (Maize sheller machine) ✓Inauwezo wa kupukuchua (GUNIA 25 KWA SAA) ✓Inapukuchua magunzi saize Tofauti Tofauti. ✓Hutumia umeme wa majumbani single phase (Ac) ✓Inahamishika kirahisi kutoka Sehemu...
  5. Jacky collection

    Tunauza vitabu vya fursa za kidigitali na riwaya mbalimbali karibuni

    Karibu ujipatie kitabu cha Fursa za mtandaoni 👉Huku utafahamu Fursa zote zilizopo mtandaoni na Jinsi ya kuzitumia kujiingizia kipato 👉 Bei ni Tsh 5000 tu tunapatikana Dar es salaam number 0684861947 / 0692436124
  6. HYDROVENTURE

    Tunauza na kufunga pump za maji kwa ajili ya mifumo inayotumia nishati ya jua na umeme

    Furahia umeme wa nishati ya jua (Solar Energy) kwa gharama nafuu ambazo zitakupunguzia ulipaji wa bili kubwa za umeme,utumiaji mkubwa wa mafuta kwa ajiri ya uendeshaji wa pump za maji.Karibu tukufungie Automatic Power Backup System,Solar Pumping System za gharama nafuu kabisa. Tunapatikana...
  7. Mcheza Piano

    Tunauza majeneza na sanda za kisasa... Karibuni sana wateja

    Kufa kufaana... Karibu dukani kwetu mtaa wa Kalenga karibu na hospitali ya Taifa ya Muhimbili, njoo tukuuzie masanduku ya kisasa yakawaida na yakidijitali kwa gharama nafuu sana. Sema biashara sahivi haijachanganya sana, mje mniunge mkono nisije nikafa njaa mkakosa majeneza yakisasa.
  8. B

    Computer4Sale Tunauza Desktop CPU & Complete

    Unataka Ipi kati ya hizi?👇👇👇 Je, unatafuta Desktop(CPU peke yakee au Complete)? Je, unatafuta Core 2 Dual, Core i3, Core i5 au Core i7? Je, unatafuta yenye RAM 2GB, 4GB,8GB!? Je, unatafuta yenye kioo inch 17', 19' 20' 22' au 24'? Desktop complete zinaanzia tsh. Imepungua na kuanzia Tsh...
  9. B

    Tunauza Vipuri ( Accessories)vya Laptop & Desktop.

    𝗛𝗮𝗯𝗮𝗿 𝗡𝗱𝘂𝗴𝘂, 𝗝𝗘 𝗪𝗔𝗝𝗨𝗔👉👉👉👉🔥🔥 𝗕𝗜𝗚𝗜𝗧𝗘𝗖𝗛 Siku hii ya EID 𝘁𝘂𝗻𝗮𝗸𝘂𝗹𝗲𝘁𝗲𝗮 𝗛𝘂𝗱𝘂𝗺𝗮 𝘇𝗮 𝗩𝗶𝗳𝗮𝗮 𝘃𝘆𝗮 𝗞𝗼𝗺𝗽𝘆𝘂𝘁𝗮 ( 𝗟𝗮𝗽𝘁𝗼𝗽 & 𝗗𝗲𝘀𝗸𝘁𝗼𝗽 ) 𝗽𝗮𝗺𝗼𝗷𝗮 𝗻𝗮 𝗦𝗶𝗺𝘂. 𝗧𝘂𝗻𝗮𝘂𝘇𝗮 𝗔𝗱𝗮𝗽𝘁𝗲𝗿, 𝗕𝗲𝘁𝗿𝗶, 𝗥𝗮𝗺, 𝗘𝘅𝘁𝗲𝗿𝗻𝗮𝗹 & 𝗜𝗻𝘁𝗲𝗿𝗻𝗮𝗹 𝗛𝗗𝗗 ( 𝘂𝗸𝘂𝗯𝘄𝗮 𝘁𝗼𝗳𝗮𝘂𝘁𝗶 ), 𝗠𝗼𝘂𝘀𝗲, 𝗞𝗲𝘆𝗵𝗼𝗮𝗿𝗱, 𝗩𝗶𝗼𝗼, 𝗦𝘆𝘀𝘁𝗲𝗺 𝗖𝗵𝗮𝗿𝗴𝗲, 𝗛𝗱𝗺𝗶, 𝗩𝗚𝗔, 𝗗𝗩𝗜 𝗰𝗮𝗯𝗹𝗲𝘀, 𝗖𝗮𝗺𝗲𝗿𝗮, 𝗟𝗮𝗽𝘁𝗼𝗽 𝗻𝗮 𝗗𝗲𝘀𝗸𝘁𝗼𝗽...
  10. Dr. Zaganza

    Wahi Leo!Ofisi Yetu Tunauza Asset Hizi Kwa Bei Ya Kutupa

    Habari zenu. tunapunguza asset ofisini kama zifuatazo: Asset hizo na bei zake kama ifuatavyo: 1.Pressure washer tzs 150,000 (laki moja na hamsini elfu) 2.Tube filler -mashine ya kujazia vifungashio vyenye mdomo mdogo tzs 600,000 (Laki sita) 3.Computer Apple All in One (Huhitaji CPU) tzs...
  11. B

    INAUZWA Nauza spare za baiskeli

    Tunauza spare za pikipiki aina ya boxer original na HERO kwa jumla na rejareja Bei zetu ni nafuu Sana na tunatuma mikoani pia. Kwa mawasiliano tupigie 0782197274
  12. MRBIASHARA

    INAUZWA Tunauza mashine ya kufyekea nyasi #brush cutter mashine

    PORTABLE GRASS CUTTER MACHINE/BRUSH CUTTER MACHINE. ■Hii ni mashine ya kisasa ya kukatia ama kufyekea majani au nyasi. ■ Inauwezo wa kukata nyasi fupi na ndefu pia hata matawi ya miti ■Mashine hiii hutumia petrol kidogo mno na hukata eneo kubwa sana. ■Wakati wa Kukata nyasi unaivaa begani...
  13. S

    Tunauza slot machine (dubwi)

    nauza dubwi 1700000, dogo 1200000
  14. MRBIASHARA

    INAUZWA Tunauza mashine ndogo za kulimia

    TUNAUZA MASHINE NDOGO ZA KULIMIA =AZWPYjHWWy-JF0dR8lwvMn1FGYNV-v2JlqCEjvPkQD8yDdDQ09V9-DMA8okDqeZ9XMSoAOweaN8fEWEK-MTDJF-7g1T4x7mlV-0T8XsjhAAZguqj9WI_rbSw3eFN6nTsMV-1oie29TdCOTuAeZ-DOMfJoa7xmB-KENL7vUiQgdmbjxDejYPI3Iex8PRdMdkZr1s&tn=*NK-R']#MINPOWERTILLER Okoa muda/nguvu kazi pamoja na gharama...
  15. MRBIASHARA

    Tunauza taa za joto za kulelea vifaranga. (heat infrared light bulb)

    TUNAUZA TAA ZA JOTO ZA KULELEA VIFARANGA. (HEAT INFRARED LIGHT BULB) ●Hutoa mwanga mwekundu ambao husaidia kupunguza stress kwa vifaranga na kufanya ale vizuri. ●Taa moja hulea vifaranga 100 hadi 150. ●Huzalisha joto la kutosha hivyo humfanya kifaranga wako kufurahia maisha. ●Hudumu muda mrefu...
  16. MRBIASHARA

    INAUZWA Tunauza mashine ya kuchakata malisho ya mifugo chaff cutter machine

    Tunauza mashine za kuchakata malisho ya mifugo kama vile kuku. Mashine hii inauwezo wa kuchakata mabua na majani hadi kuwa vipande vidogo dogo sana. Inauwezo pia wa kusaga magunzi,mahindi,mashudu na material mengineyo yanayotumika katika kutengenezea chakula cha kuku hadi kuwa unga kabisa...
  17. Ramoth Gilead Appliances

    Tunauza na kufunga AC unalipa baada ya kufungiwa

    karibuni
  18. Rozela

    Tunauza Rozela safi toka shambani. Agiza popote ulipo nchini Tanzania

    Mzigo umeisha
  19. Unique Flower

    Tunauza Viwanja /Arusha/Boma /Kiteto

    Karibuni wateja tunauza viwanja na heka kwa bei nzuri. Maeneo nimeshayataja hapo juu. Nimazuri kwa ujenzi na shughuli zingine . Kwa kiteto kuna heka 10 zilizoshikana kila moja inauzwa laki 350,000/= na kuna heka karibu na mjini kiteto ,tunauza ml 1 , mjini kabisa tunauza ml 2 . Maji , Umeme...
  20. Unique Flower

    Tunauza heka Arusha

    Heka zipo Arusha maeneo Kingori, Kikatiti, Maji ya chai na sehemu zingine. Heka zilizopo km 4 ni kuanzia ml 11 unaweza kulipia cash au kidogo kidogo. Heka zilizopo km 5,6,7, na kuendelea unaweza pata kwa ml 8, 7, 6, na ni nzuri kwa kilimo, makazi, na biashara. Nipigie simu uje ofisini twende...
Back
Top Bottom