tunauza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Chipukizi

    Tunauza mizinga na makundi ya nyuki

    Kwa mwenye huitaji Tunauza Mizinga na Makundi ya Nyuki kuanzia April 18. Tutakuwepo kwenye Viwanja vya 88 Morogoro Karibu tukuhudumie Toa order yako mapema!
  2. N

    Tunauza Kuku aina ya Kuroiler tupo Bunju "A" Kituo kwa Baharia

    Tunauza kuku aina ya Kuroiler F1, tunapatikana Bunju A, kituo "kwa Baharia", jirani na Kituo cha Mafuta cha GUDAL. Bei ni kuanzia 14,500-18,000..kutokana na uzito wa kuku. Bei ya jumla kuanzia kuku 10 tunafanya 15,000. Weka oda yako mapema na karibu tukuhudumie kwa uaminifu kabisa...
  3. Printing n Packaging

    Tunauza na kuprint mifuko ya kuweka unga na mchele

    Mifuko yetu ni imara haina shida aina yeyote, haitoki rangi zake na inadumu muda mrefu. Kama huna nembo tunakudesignia. Mikoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa. Tunapatikana Dar Es Salaam. call& Whatsapp 0683557564
  4. Mancobra

    INAUZWA Tunauza suti kwa bei nafuu kabisa

    Suti mseleleko ni wauzaji wa suti za kike, kiume na suti za watoto kwa wateja wa Dar-es - salaam na mikoani. Bei zetu ziko poa kabisa zinaendana na gharama ya fedha yako. Kwa mawasiliano zaidi wasiliana Nasi kupitia namba; WhatsApp number: 0712878245 Suti za kiume(mikoani)...
  5. H

    INAUZWA Tunauza vitanda size zote

    Tunauza vitanda 6x6 TSH,650,000/= 6x5 TSH,550,000/= 6x4 TSH,450,000/= Tunapatikana kawe bearch No:0682-132999 Punguzo labei pia lipo kalibuni sana.
  6. hemed rasuli

    INAUZWA Tunauza makabati ya zipu ya nguo na viatu

    Nauza makabati ya nguo na viatu ya zipu Ni imara na zinapendezesha nyumba Yapo ya rangi mbalimbali Wateja wa dar unaletewa buree Unafungiwa pia buree Kwa wateja wa mkoani tunatuma kupitia mabasi kwa gharama za mteja Milango 2 tsh 65,000 Milango 3 tsh 75,000 Mawasiliano; KUPIGA SIMU NA MESEJI...
  7. T

    INAUZWA Tunauza funiture za nyumbani na ofisini Kwa bei rahisi

    Karibu ujipatie causal leser bench kwa matumizi ya ofisini, dinning room, sitting room na chumbani. Tunapatikana tabata 0767601018. causal leser bench 150,000. Mito 20,000 mmoja Zulia 15,000 Tunafanya delivery Dar na mikoani.
  8. P

    Umasikini wetu umesababishwa na wingi wa Rasilimali tulizonazo?

    Mimi najiuliza tu, Nchi yangu Tanzania, inakila aina ya rasilimali ya utakachotaka, Inazo rasilimali za kila aina, ajabu hakuna chochote tunajivunia licha ya kuwepo Rasilimali nyiiingi kiasi kwamba nyingine hazijawahi kuguswa tangu dunia iumbwe..! Najuiliza pia, Ni kwa nini Mungu alitupa Hizi...
  9. S

    INAUZWA Tunauza Samaki Sato kwa bei ya jumla, karibu kwa order

    Tunauza samaki aina ya sato kutokea Ziwa Victoria.. Usafiri kutoka Mwanza hadi Dar juu yetu. Tunauza kwa bei ya jumla tu, kuanzia kilo 50. Bei: Bei kwa kilo moja ni Tsh 8,500/- Malipo: Utalipia mzigo ukifishakufikia ulipo. Location: Tunapatikana, Banana Dar esalaam. Delivery: Tunafanya...
  10. jo nyaluke

    INAUZWA Watengenezaji na wauzaji wa mashine aina zote

    Tunatengeneza mashine za kusaga pamoja na kukuboa mahindi,pia mashine za chakula Cha kuku,mixer za udongo pamoja na mashine za kufyatulia matofali,nk,karbuni sana wateja wetu tunapatikana mabibo mwisho,wasililiana nasi kwa namba zifuatazo 0754043910, 0764753158
Back
Top Bottom