Karibuni wateja wetu ,
Tunayo mashamba na viwanja maeneo yafuatayo ,
Kiteto tunayo mashamba kwa bei nafuu inaanza laki saba mpaka ml 1 na laki moja , hayapo mbali na mji huduma zote zakijamii zinapatikana. Zipo za kijijini ni laki 4 tu.
Pi kuna viwanja vipo arusha, boma kwa bei nafuu unalipia...
Pata gari yako kwa kuanzia kulipia kidogo kidogo au kwa 40% tu ya gharama nzima na upate mkopo wa 60%marejesho ndani ya miezi 12 mpk 24, ukikizi vigezo na utaratibu wote utapata gari yako ndani ya masaa 48 ya kazi Tunapatikana Dar es salaam kwa mawasiliano zaid Call or Whatssap (0719415519)...
Pata gari yako kwa kuanzia kulipia kidgo kidogo au kwa 40% tu ya gharama nzima na upate mkopo wa 60%marejesho ndani ya miezi 12 mpk 24, ukikizi vigezo na utaratibu wote utapata gari yako ndani ya masaa 48 ya kazi Tunapatikana Dar es salaam
kwa Mawasiliano zaid Call or Whatssap {0719415519}
List...
Associated Press
Djibouti walicheza ngoma bandarini siku ya kwanza.
Leo Djibouti wanalia machozi, DP World wamefukuzwa, Djibouti wanasema wameibiwa, wamelipa madola ya mafaini na magharama ya kesi za kimataifa. Hukumu ya siku za karibuni ilitoka mwezi May 2023 Washington DC.
Kesi mahakamani...
Tunauza Samaki aina ya Sato kwa Bei ya TSH 9,000 tu kwa kilo moja
Kwenye kilo moja unapata samaki 4 - 6 wenye uzito wa 250g - 150g
Samaki wetu ni wakufugwa, wanafugwa kitaalamu na aquaculture experts, mabwawa yetu ni concrete pond hivyo samaki wetu Wana radha nzuri na muonekano mzuri Sana...
Bidhaa zote za kielectronic Simu, Pc, Tablet, Sabufa, Tv na Fridge vinapatikana kwa bei rahisi sana, simu zetu zipo used from Dubai na Full boxed mpya kabisa tunauza Iphone, Samsung, Google pixel, Sony, Oppo na Infinix warranty ni uhakika Tv pia zipo Hisense, Samsung ukubwa tofauti tofauti...
Tunauza engine used za boti aina ya Mercury Outboard 2-Stroke zenye 40horse power.
Engine hizi zina 697cc ni inline 3 cylinder, zinatumia petrol na 2 stroke oil ,uwashaji wake ni wa kuvuta kick na usukani ni wa mkono.
Engine zimekaguliwa na kutestiwa baada ya kufika Zanzibar, Engine...
Ninauza Alizeti, Mashudu ya Alizeti, Mafuta ya Alizeti.
Pia, ninayo mahindi mapya mwaka huu, na Mahindi ya mwaka Jana. Alizeti ni ya mwaka Jana. Karibuni sana waungwana.
Pia, Kwa ushauri wa kilimo cha Alizeti, Mbaazi, Mahindi, Dengu na karanga
Tunauza sabuni za magadi kutoka Kigoma kwa bei ya jumla na rejareja.
Tsh 29,000 Ukichukua carton zaidi ya 25 ni, na Tsh 30,000 kwa carton 1-25.
Tunapatikana Kinyerezi Mwisho, Dar es Salaam. Tunafanya delivery ndani na nje ya Dar es Salaam.
Unapochukua carton 100 au zaidi utaletewa sabuni...
Kama Tangazo linavyosema tunauza rim paper cartoon moja sh 65,000/= kwa aina zote za rim, kwa aliyeko dar ukichukua cartoon Zaid ya mbili unaletewa bure na tunatuma mpaka mikoani zifuatazo ni mfano wa zilizopo.
255713520180
Tunauza miti (mirunda) Kwa ajili ya ujenzi wa magorofa , nyumba za kawaida au matumizi mengine tuna mirunda takribani 900 PCs bei yetu ni nafuu sana
Mawasiliano. sangmelina85@gmail.com
Kwa mahitaji ya tshirt kali na Truck suits za kijanja. Karibu sana kwenye duka letu linalopatikana MTAA WA CONGO NA MARUNG’OMBE. Kwa bei nafuu kabisa.
Tshirts 16,000/-
Trucksuits 28,000/-
Pensi 18,000/-
Pia tunauza kwa bei ya JUMLA.
Wasiiana nasi whatsapp au piga simu
0719 100 591.
Asante kwa...
Urari wa biashara kati ya Tanzania na Kenya umeimarika sana. Leo niliona bungeni Rashid Shangazi akiliongelea hili nikaona nijiridhishe.
Kulingana na data za benki kuu ya Kenya kuishia mwaka jana Tanzania iliuza Kenya bidhaa zenye thamani ya trilioni 1.15 huku yenyewe ikinunua zenye thamani ya...
Habari wana-jamiiforums,
Tunauza mashine za kutengeneza Icecream (Icecream Makers Machines). Mashine zetu ni mpya kabisa. Pia endapo utanunua kwetu, tutakuelekeza jinsi ya kutengeneza icecream sambamba na kukuagizia spares moja kwa moja kutoka kiwandani endapo utahitaji. Sifa za mashine zetu ni...
UNAWEZA UKANUNUA KWA CASH AU MKOPO.
TARATIBU ZA KUPATA MKOPO WA GARI NI KWA CHASIS NUMBER TU.
●mteja utalipa 50%ya pesa kama utangulizi
●Gari lazima ikatwe bima kubwa&car track(gprs)ndio Dhamana yetu
●Muda wamkopo kuanzia miezi3,6,9,12 kwa magari madogo ama binafsi,kwa magari ya biashara kama...
Tunauza Submeter kwajili ya wapangaji rejareja na jumla kwa bei ya shilling 15,000 kuanzia submiter mbili kwendelea pia mkoani
tunapatikana Dar Es salama, Karikoo, Tanzania.
Tunatuma mawasiliano 0712 708245
Wadau wa vyombo vya majini tunauza material za fiber, spea za injini za Boti,injini za Boti, Jet Ski, Marine Quadbikes,GPS na Fish finders.
Kwa wanaohitaji Jumla na rejareja Jet Ski,water sports tools, outboard engines, Garmin GPS na Garmin Fish finders zinapatikana. Tunatoa mafunzo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.