ubaguzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Duniahadaa

    Zifahamu aina 4 za ubaguzi duniani

    Aina za ubaguzi duniani Ubaguzi ni hali ya mtu au kikundi cha watu kujiona ni bora zaidi na kuwachukulia wengine kama daraja la chini au kutokustahili haki fulani fulani. Kuna aina 4 za ubaguzi duniani kama zinavyofafanuliwa hapa chini: Ubaguzi wa rangi. Mfano ni ule uliopo USA dhidi ya...
  2. Z

    Njoo hapa tulaani ubaguzi unafanya na wadada kuchuna, kutupiga mizinga baadhi wanaume

    Wadada hasa Tanzania licha ya kusema Nchi ya kijamaa wanawake 95% ni wa baguzi sana kuna wanaume hawawachuni wala kuwapiga mizinga lakini wengine ambao weupe (handsome) tunachunwa mpaka basi. Kama Marekani na Ulaya wameandamana kwanini tusianamane kupinga ubaguzi, nipo tayari kufa nikipinga...
  3. Analogia Malenga

    Boris Johnson: Waandamanaji wa Ubaguzi wa Rangi wamekuwa ni wafanya fujo

    Waziri Mkuu wa Uingereza, amesema raia wana haki ya kuandamana lakini wanaoleta fujo wanapaswa kuchukuliwa hatua. Amesema wameacha lengo la msingi la maandamano hayo na kufanya fujo Waandamanaji mjini London wamewafanya polisi kukimbia baada ya kuwashambulia kwa chupa. Polis 8 wamejeruhiwa na...
  4. FRANC THE GREAT

    Rais Donald Trump kulihutubia taifa wiki hii. Ajenda kuu | Ubaguzi wa rangi na umoja wa kitaifa

    Habari! Katika kipindi kifupi kijacho, rais wa Marekani Donald Trump anatarajiwa kulihutubia taifa la Marekani kulingana na vyanzo kutoka Ikulu ya White House huku ajenda kuu ikiwa ni masuala ya ubaguzi wa rangi pamoja na umoja wa kitaifa. Jambo jingine linalotarajiwa kuzungumziwa zaidi na...
  5. comte

    Tatizo kumbe ni polisi wala siyo ubaguzi

    Hapa naona dereva mweusi na askari polisi weusi wanaonyeshana kazi
  6. B

    Je, nadharia ya karma ina ubaguzi?

    Kwa mujibu wa nadharia hii ni kwamba kwa kila tendo liwe zuri au baya utapokea malipo yake hapahapa duniani kabla haujafa. Kwa baadhi ya watu nadharia hii inafanya kazi ila kwa watu wengine inakataa kwa nini? Kwa mfano viongozi wa nchi ya Marekani wameamrisha mauaji ya watu wengi duniani...
  7. lbaraka

    Ubaguzi wa rangi(racism) dhidi ya mtu mweusi upo na hautakaa uishe duniani

    Habari wakuu, Napenda kuliongelea suala la ubaguzi wa rangi unaopigiwa kelele kwa sasa duniani. Kwanza kabisa tuelewe kwamba haya mambo hayajaanza leo. Yana historia ndefu sana kuanzia enzi za Nuhu na watoto wake watatu. Hamu, yule aliemchungulia baba yake, alilaaniwa kwamba atakuwa mtumwa...
  8. RAKI BIG

    Madee: Siamini katika ubaguzi wa rangi

    Rais wa Manzese Madee Ali amesema kuwa haamini kwenye ubaguzi wa Rangi unaotajwa kuendelea Duniani na hata George Floyd inawezekana alikuwa mhalifu. Madee amezungumza hayo kupitia kipinfi cha XXL cha *CloudsFm. Nikimnukuu Madee "Siamini kwenye ubaguzi wa rangi, hata yule jamaa aliyekatishwa...
  9. T

    Texas Marekani wazungu wawapigia magoti weusi na kuwaomba radhi ya ubaguzi waliowafanyia miaka mingi

    Hulo Texas Marekani wazungu wafanya maombi ya toba na msamaha kwa Mungu na watu weusi wasamehewe kwa ubaguzi wa rangi, chuki na unyanyasaji waliowafanyia kwa miaka mingi.
  10. technically

    Marekani wanasumbuliwa na Umasikini sio Ubaguzi

    Marekani ni taifa lenye watu wengi wenye hali mbaya kimaisha mfano 40% ya watu weupe wanaishi kwenye umasikini. Pia watu wengi weusi wanaishi kwenye umasikini na msongo wa mawazo, yaani tuseme wanapata pesa ya kula na kulipia pango basi ili tatizo lipo pia South Africa na Kenya. Mifumo ya...
  11. Chief Mtangi

    Kifo cha George Floyd: Mashirika ya haki za binadamu yanaiogopa Marekani?

    Tokea tukio la kikatili na kibaguzi lililopelekea kifo cha George Floyd, mashirika ya haki za binadamu yapo kimya sana tofauti na ilivyo upande wa mataifa ya kiafrika. Tumezoea kuona mashirika haya yakikemea vitendo vya uvunjifu wa haki za binadamu katika nchi za ki-Africa lakini leo hii...
Back
Top Bottom