ubaguzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. comte

    Uchaguzi 2020 Nimegundua na kusikitika sana kuona ilani ya ACT-Wazalendo inahimiza ubaguzi kwa misingi ya umri

    Kwenye Taifa lenye zaidi ya 80% ya watu wake wakiwa na umri chini ya miaka 35, ni dhamira yetu, kuwekeza na kutengeza sera, sheria na taratibu zitakazohakikisha kuwa vijana wa taifa hili wanakuwa kipaumbele na chachu ya maendeleo, kwao wao na kwa taifa. Serikali ya ACT-Wazalendo, imekataa kuona...
  2. Alwatan Mabruki

    Zanzibar 2020 Dkt. Hussein Mwinyi aonya ubaguzi Zanzibar

    Dkt. Mwinyi aonya ubaguzi wa kidini. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) amesema bado kuna chembechembe za ubaguzi wa kidini kati ya wapemba na waunguja, wa Tanzania bara na Wazanzibari. Ikiwamo pia ubaguzi wa kijinsia, lakini aahidi atajitahidi kadri Mungu...
  3. Zanzibar-ASP

    Nini mantiki ya Dkt. Magufuli kuikumbatia sera ya ubaguzi wa kimaendeleo?

    "Mimi niwaambieni ukweli, nimechoka kuwabembeleza ,mkiniletea madiwani na wabunge wa kutoka upande mwingine(wapinzani), siwaletei maji na huu ndiyo ukweli sipendi kuwaficha, nimechoka kuwabembeleza" Magufuli (1/Oktoba/2020, Tunduma) Hisia za ubaguzi wa kimaendeleo zilianza mara tu Rais...
  4. steve_shemej

    Ota Benga: Kijana aliyewahi kuwekwa kwaajili ya maonesho nchini Marekani

    Ota Benga alitekwa nyara kule ambako sasa hivi kunafahamika kama Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo mwaka 1904 na kupelekwa Marekani lengo likiwa nikumfanya kuwa onyesho. Mwanahabari Pamela Newkirk, ambaye ameandika mengi kuhusu suala hilo, anaangalia matukio kadhaa ya kuficha ukweli wa kile...
  5. Miss Zomboko

    Ubaguzi wa rangi: Tangazo la nywele lasababisha maandamano

    Waandamanaji nchini Afrika Kusini wamewalazimisha wenye maduka ya dawa na vipodozi kufunga maduka yao, baada ya kurushwa kwa tangazo la nywele ambalo wanadhani kuwa la ubaguzi wa rangi. Tangazo hilo linaonesha picha za nywele za kiafrika zikiwa kavu na hazina muonekano mzuri wakati nywele za...
  6. kirengased

    Uchaguzi 2020 Ubaguzi wa kiitikadi haukubaliki

    Salaam, Wandugu, binafsi nimesikitishwa sana kwa kauli za kibaguzi zilizotolewa na mgombea mmoja wakati akimnadi Diwani wa chama chake asiyekubaliwa na wananchi. Kwa kauli yake mgombea huyo wa Rais alitisha wananchi kwa kuwaambia wasipompa Diwani huyo ushindi wasimuulize yeye kuhusu maendeleo...
  7. M-mbabe

    Serikali inapopendelea maeneo yaliyokipigia kura chama kinachounda Serikali: Ubaguzi huu ni sawa na ule wa Watusi na Wahutu!

    Ukweli lazima tuuseme ili tuinusuru nchi yetu isiwe kama Rwanda na Burundi ama hata South Africa zilivyokuwa siku za huko nyuma. Tutakuwa tumeirudisha nchi yetu miaka 60 nyuma! Uhasama mkubwa na wa kutisha uliokuwepo kati ya Watusi na Wahutu katika nchi za Rwanda na Burundi ulijikita katika...
  8. Miss Zomboko

    Wachezaji wa kulipwa wa mchezo wa vikapu wamesusia kushiriki kwenye michuano ya finali wakilalamika dhidi ya ubaguzi wa rangi

    Wachezaji wa kulipwa wa mchezo wa mpira wa vikapu wanaume na wanawake hapa Marekani wamesusia wiki hii kushiriki kwenye michuano ya finali ambayo imekuwa ikiendelea wakilalamika dhidi ya polisi kumpiga risasi Jacob Blake Mmarekani Mweusi katika mji wa Kenosha, jimbo la Wisconsin mwishoni mwa...
  9. The Boss

    Ubaguzi EPL bado upo mkubwa

    Sisi Liverpool Sadio mane amekosa tuzo amepewa Jordan Henderson Mzungu mwingereza. Sasa huko Man City ndo komesha. Washaamua kumjengea sanamu David Silva...na baadae Aguero akistaafu. Leo hadi mwandishi mmoja kaenda. Kumhoji Yahya Toure kuhusu hilo. Akasema sina cha kusema kweli Yahya Toure...
  10. MAHANJU

    Vyombo vya habari Tanzania ubaguzi wenu utawaponza. Hii siyo haki

    Nianze na kuvisikitikia vyombo vya habari hasa baadhi ya TV stations kubwa kubwa hapa nchini na baadhi ya magazeti. Mnafanya ubaguzi kwa kuonesha live coverage kwa matukio ya CCM pekee. Endeleeni na ubaguzi huu iko siku mtasema ukweli. Tundu Lissu anazunguka mikoani kutafuta wadhamini na...
  11. Fundi Madirisha

    Gwajima hapa ulionesha ubaguzi wa kiimani. Usitegemee hawa unaowasema wakupe kura Kawe

    Sitaongeza chochote video inajisema.
  12. Usher-smith MD

    Ubaguzi wa makabila katika kuoa

    Hivi huu ubaguzi wa makabila bado upo hadi leo? Nimekutana hii clip ya baba akimuonya mwanae asimpeleke mchumba wake wa Machame kwake, toka siku nyingi nasikia tu Usioe wa Machame, wana Jf wachagga mtusaidie, wanawake wa machame waliwafanya nini wanaume wengine wa kichagga?! Mshana Jr hebu...
  13. N

    Je, ubaguzi hufanywa na ‘weupe’ pekee?

    Aliyekuwa kocha wa Yanga ametimuliwa kwa kutamka maneno yanayoaminika ni ya kibaguzi kwa mashabiki kwa kuwafananisha washabiki na nyani na mbwa kubweka bweka hovyo. Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar ndugu Paul Makonda wakati akikabidhi ofisi amesema wakati anafanya kazi kuna mbwa mwitu walikuwa...
  14. Zacht

    Theory ya Darwin imechangia kwa sehemu kubwa ubaguzi wa rangi

    Ubaguzi wa rangi ulikuwepo muda mrefu sana kabla ya Darwin na theory yake au kuja kuipa nguvu maana inasemekana yeye sio mwanzilishi, lakin pindi tu ilivyo kuja huyu bwana na habari zake ubaguzi wa rangi uliongezeka kwa kiwango kikubwa. Katika kitabu chake cha 1871 The Descent of Man Darwin...
  15. Tabutupu

    Ubaguzi wa kisiasa anaouonesha Magufuli hadi CCM wenyewe wanamshangaa

    Tumekua tukisikia kwamba mkuu wa nchi ni mbaguzi hasa linapokuja swala la mitazamo ya kisiasa, kitu ambacho si kuzuri na hakifai kwa mkuu wa nchi. Tofauti na viongozi wengine, hata marais waliopita, Mheshimiwa hapa amefeli na inaonyesha anafanya makusudi. Jana akiwa Msoga, diwani wa hilo eneo...
  16. B

    Haki msingi wa amani, na haki ni kwa wote, kokote, bila ubaguzi - Jenerali Ulimwengu

    9 Julai 2020 Haki msingi wa amani, na haki ni kwa wote, kokote, bila ubaguzi - Jenerali Ulimwengu Source : Jenerali Online Dhana ya Msamaria Mwema niliyoitumia kuhitimisha makala yangu ya mwisho ni muhimu sana katika falsafa ya kisasa kwa maana kwamba inaelezea wema unaotendwa na mtu ambaye...
  17. Return Of Undertaker

    Mbona CCM wanaanza kampeni mapema, tena wanapigiwa na wakuu wa mikoa na wilaya? Huu ubaguzi unajenga chuki na chanzo cha kulipiza kisasi

    Huu ubaguzi unaofanywa na tume ya uchaguzi na wahusika wake wanaojiita serikali ya CCM mwisho wake sio mzuri. Kiukweli, hata mnaposikia magaidi hawakuamka na wakawa magaidi bali ni kuminywa na kunyimwa haki katika nchi zao mwisho wa siku ndio bora tukose wote. Hii naona hali inajengeka kwa kasi...
  18. L

    Ubaguzi wa rangi nchini Marekani na matumizi ya nguvu ya polisi dhidi ya Wamarekani wenye asili ya Afrika

    George Floyd Mauaji ya Mmarekani mwenye asili ya Afrika GeorgeFloyd yamesababisha wimbi kubwa la maandamanondani nan je ya Marekani, watu wa rangi tofautiwakiungaika pamoja kupigania haki zao. Kifo hichopia kimeibua maswali mengi kwa watu wa ngazimbalimbali, kuangalia kwa makini maisha yao...
  19. L

    Je, vifaa vya utawala wa Trump ni “Ubaguzi” na “Kuwajibisha pande nyingine”?

    Rais Donald Trump ametoa tena hoja ya ubaguzi ambayo imeleta ufuatiliaji wa vyombo vya habari. Katika mkutano mkuu wa kampeni uliofanyika jimboni Oklahoma, rais Trump ameipatia virusi vya Corona jina la ubaguzi “Kong Flu”, ambalo limeleta swali kwamba je, vifaa vya utawala wa Trump ni “Ubaguzi”...
  20. Mukulu wa Bakulu

    Vladimir Putin wa Urusi akosoa maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi Marekani. Asema yale sio maandamano, ni fujo

    Rais wa Jamuhuri ya Urusi Bwana Vladimir Putin amekosoa vikali maandamano yanayoendelea nchini Marekani ya kupinga ubaguzi na kusema yale sio maandamano bali ni fujo. Putin anasema zile ni fujo zilizojificha kwenye mgongo wa maandamano ya kudai haki za usawa na ubaguzi wa rangi. Binafsi...
Back
Top Bottom